TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,505
- 28,437
Kama ni kweli twamuombea Apone haraka. Amen. Huu ndiyo utu.
Siasa za jikoni Mbaya!Watu wazima wanaongea ulongo!Kwa kupenda kuthibitisha kutoka waziri majaliwa anaweza sema wasira yupo anaendelea na kazi mikoani
Ndiyo maana wanapelekana kwa siriJamani kujitapa kote tumeboresha hospital halafu wao hawazitumii tena? 😂😂😂😂😂
KAH!Ooh Yeah..!!!
Figo zikibuma ni vizuri kuanza kuaga , hiyo ni ticket kamili ya safariHuu mzigo aliobeba na kwa umri wake hapo yazidishwe maombi tu, mapafu yamejaa maji, ana tezi dume, ana bawasiri, kisukari na figo zimebuma.
Sio kwa kiongozi wa ummaUnajuwaje ? Magonjwa na tiba ni vitu binafsi
AiseeBabu Wassira yupo India week ya 2 sasa kwa matibabu hali yake si nzuri. Ila si haba anasubiri Yesu arudi. Huyu mzee engine ipo vizuri kabisa. Kinanda. Body tu ndo imechoka kwa mujibu wa maelezo yake.
View attachment 3335834
Naomba mungu ampende zaidiBabu Wassira yupo India week ya 2 sasa kwa matibabu hali yake si nzuri. Ila si haba anasubiri Yesu arudi. Huyu mzee engine ipo vizuri kabisa. Kinanda. Body tu ndo imechoka kwa mujibu wa maelezo yake.
View attachment 3335834
Huyu mzee akifa CCM ndio wakuwajibikaBabu Wassira yupo India week ya 2 sasa kwa matibabu hali yake si nzuri. Ila si haba anasubiri Yesu arudi. Huyu mzee engine ipo vizuri kabisa. Kinanda. Body tu ndo imechoka kwa mujibu wa maelezo yake.
View attachment 3335834
Msabato ila anauhusiano mzuri na wakatolikiKwani Wa-hasira nae ni Mkatoliki?
We pray for him 🙏🙏🙏Atakuwa anakusanya nguvu
He is retired but not tired, similarly retired but drive and energy