macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 29,232
- 60,334
Zezeta katika ubora wake. Sorry kama ni baba yako au mumeo. Siku zote CCM imekuwa inamtumia kama nyumbuZezeta siyo!!?..wazee wa matusi mso adabu,babaako ni zezeta au!?
Zezeta katika ubora wake. Sorry kama ni baba yako au mumeo. Siku zote CCM imekuwa inamtumia kama nyumbuZezeta siyo!!?..wazee wa matusi mso adabu,babaako ni zezeta au!?
DuhAnauguzaa miguu imejaa maji sanaaa c unajuaa amesimama Sanaa miezi miwili nyumaa ,😄😄
Kazi na umriii
Nadhani ima linaumwa au limechoka.Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.
Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Kwani zezeta ni tusi!!?Zezeta siyo!!?..wazee wa matusi mso adabu,babaako ni zezeta au!?
Ccm nasikia wana mbinu lukukiSio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.
Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Ninyi mmeweka watu wasio mazezeta, lakini nakuhakikishia hao mazezeta ndio watakaoshinda na ninyi mtabaki mitandaoni kwasababu ninyi mna akili za mitandaoni tu! Mbwa koko nyie!Hivi hamkuona alivyokuwa analala majukwaani? Yule hana tena energy ya kufanya siasa za majukwaani. Walimwangushia jumba bovu tu kwa sababu Samia alitaka hiyo nafasi akae zezeta. Ni woga wa kuondolewa kwenye kinyang'anyiro cha urais, kama akikaa mtu anayejitambua.
Wasira muda wake umeisha, analala majukwaani. Hata sisi mbwa koko tunalijua hili.Ninyi mmeweka watu wasio mazezeta, lakini nakuhakikishia hao mazezeta ndio watakaoshinda na ninyi mtabaki mitandaoni kwasababu ninyi mna akili za mitandaoni tu! Mbwa koko nyie!
Duh!Amerudi Bunda kula mkutira na supu ya furu.
ILE KAUL YK YA CCM HAITOKI HD YESU KRISTO ARUDI IMEMGHARIMUSio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.
Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Na ataendelea kuwapo hadi mwisho wa uhai wake kwasababu CCM inathamini utu. Mungu akimpenda, atatafutwa mwingine.Wasira muda wake umeisha, analala majukwaani. Hata sisi mbwa koko tunalijua hili.
Hayo maswali yako mawili baada ya hilo la kwanza yanafikirisha sana hasa hilo la mwisho sana sana.Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.
Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Anayeweza kujibu swali lako ni huyo huyo Wasira tu!..hii ni harakati ya kushiriki uchaguzi au kuzuia uchaguzi?
Ninyi mmeweka watu wasio mazezeta, lakini nakuhakikishia hao mazezeta ndio watakaoshinda na ninyi mtabaki mitandaoni kwasababu ninyi mna akili za mitandaoni tu! Mbwa koko nyie!