Yuko wapi Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Wassira?

Yuko wapi Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Wassira?

Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Yupo karibu kurudisha jezi! Miaka 80 ndiyo miaka ya kikomo tuliyoahidiwa na Mungu!
 
Maika 86 alishauriwa muda huu uliobakia hapa Duniani akae acheke cheke na wajukuu kagoma, ati anataka kupambana na vijana damu ya moto akina Pambalu - haya sasa kitu kinaingia kingi.
 
Uhakika wa kushinda kwa kuiba uchaguzi!!??
CCM hii imekuwa hovyo sana kwa kuwa na mazwazwa yanayothibitisha kile wenye akili tunakisema na kukiandika kila leo.

Kuna maana gani ya kupiga kura kama upande fulani wana uhakika wa ushindi!!!??

Yaani kama wapiga kura tupo 100, basi wewe umeshahakiki kuwa utapata kura 51+!!!???
Umeingia kwenye mioyo, nafsi na akili za hao wapigakura 1000, au hao ni maroboti!!???
Baada ya kutoa maoni yako., unafikiri nani zezeta?
 
Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Toka wamemjerui padri Mzee hayuko sawa lilimuumiza sana
 
Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Last time I saw him was like he needs help stepping down from the platform!
 
Yuko hoi kwa sasa ,alijaribu siasa za enzi za giza kipindi hakuna mitandao zimemgomea maana huyu ni wale wazee wa cold war ukiipinga serikali wanasema una mpango wa kuleta vurugu halafu ukimbie nchi za mabeberu na ilhali huko huko kwa mabeberu bado wanatembeza bakuli la msaada.

Na wazee kama hawa wakiona unaishi nje ya nchi wanaona wewe ni kama msaliti ilhali na wao wamesoma nje ya nchi pia na wana watoto nje ya nchi na wengine hawakuwahi kurudi Tanganyika.
IMG-20250122-WA0047.jpg
 
Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Ni maombi ya Mkoloni mpya Zanzibar wetu ashindwe Wacha tufungue Tena wiki saba ,Mungu wa Milima ya Mbeya na bonde la ufa hajawahi kutuacha katika maombi yetu.
Gad vauzan,gad vauzan,gad vauzan.....
 
Last time I saw him was like he needs help stepping down from the platform!
Wacha azimike,wanaiba mpaka wanaona watuletee kichwa cha locomotive na sio mtu,Biden mwenyewe USA wameona enough is enough,Tz nao wakapita na bibi na babu,shame kwa mafisadi.
 
Back
Top Bottom