Amerudi Bunda kula mkutira na supu ya furu.
Ana uzoefu wa miaka 80.Atachambua kuliko karanga.Wait 'n see!Supu ya furu na uzee ule. Miiba itakwama kwenye koromeo
Atakuwa anakusanya nguvuSio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.
Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
KhaaaaaEti walimuweka ili wapate mwakilishi Kanda ya ziwa, mwakilishi sasa dhohofuli hali.
NIMEULIZA KWA NIABA YA WASIRA, NI SWALI LA WATANZANIA WENGI 😀Anayeweza kujibu swali lako ni huyo huyo Wasira tu!
Subiri hadi hapo atakapojitokeza tena, utajibiwa.
Engine yake ndio nini?Babu Wassira yupo India week ya 2 sasa kwa matibabu hali yake si nzuri. Ila si haba anasubiri Yesu arudi. Huyu mzee engine ipo vizuri kabisa. Kinanda. Body tu ndo imechoka kwa mujibu wa maelezo yake.
View attachment 3335834
Babu Wassira yupo India week ya 2 sasa kwa matibabu hali yake si nzuri. Ila si haba anasubiri Yesu arudi. Huyu mzee engine ipo vizuri kabisa. Kinanda. Body tu ndo imechoka kwa mujibu wa maelezo yake.
View attachment 3335834
Jamani kujitapa kote tumeboresha hospital halafu wao hawazitumii tena? 😂😂😂😂😂Babu Wassira yupo India week ya 2 sasa kwa matibabu hali yake si nzuri. Ila si haba anasubiri Yesu arudi. Huyu mzee engine ipo vizuri kabisa. Kinanda. Body tu ndo imechoka kwa mujibu wa maelezo yake.
View attachment 3335834
Una maanisha moyo unataka,lakini mwili u dhaifu!Babu Wassira yupo India week ya 2 sasa kwa matibabu hali yake si nzuri. Ila si haba anasubiri Yesu arudi. Huyu mzee engine ipo vizuri kabisa. Kinanda. Body tu ndo imechoka kwa mujibu wa maelezo yake.
View attachment 3335834
Unajuwaje ? Magonjwa na tiba ni vitu binafsiHuu mzigo aliobeba na kwa umri wake hapo yazidishwe maombi tu, mapafu yamejaa maji, ana tezi dume, ana bawasiri, kisukari na figo zimebuma.