kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,896
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Yesu gani huyo?...Yesu yesu wa ukweli hawezi kukusaidia kupata kazi kwenye Shirika lililoundwa kukandamiza wanyonge?...Yesu ameacha kuchagua watu wenye sifa akakupa ww usie na sifa?...Yesu atakupeleka Sudan kusaidia kuchora michongo ya kuiba mafuta ya masikini wa afrika?..Aliyekupa kazi ni mzungu acha kumsingizia yesu!