masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,621
- 14,577
Watanzania tunapenda vya bure.Kaamua kuchomoa betri Hadi kwa tanesco.
Watanzania tunapenda vya bure.Kaamua kuchomoa betri Hadi kwa tanesco.
Magu alikuwa vindictive, mtu wa visasi, na mtu mwenye roho mbaya.Haiwagi rahisi hivyo. Mnavyowajua ninyi watu si anavyowajua Rais wa nchi. Msipende kutumia mifallasies katika mambo ya aina Hii. Samia atafanya vile ambavyo mazingira na sheria zinamruhusu. Sio kila kitu mbona marehemu. Hao wanawake mnaolala nao wakiwa kila siku wanaongelea mitindo ya maex wao. Utaendelea wewe.
Kassim ni kiongozi waserikali bungeni..Kauli ya "bungeni kwa Kassim" inafikirisha
Hili hata baba wa taifa alilitabiri miaka mingi nyumaTunataka kufahamu yule aliyemueleza watakao kusumbua ni ccm na sio wapinzani ni nani?.
Nashauri ndugai aondoe ile ratiba ya kuomba bungeni
Kassim slitakiwa kuchomolewa siku nyingi.Kauli ya "bungeni kwa Kassim" inafikirisha
Kwahiyo hâta wewe hatakuteua?Nilivyosikia jipu limepasuka kuwa kuna list mpya inakuja nimepata shida kubwa sana juu ya hawa: Kitila, Waitara, Gekul, Molel, Kabudi, Biteko, Jafo, Bashe et al.
Ila nina wasiwasi na Riz na mamake huenda mmoja wao akaingia ndani.
Kumbuka na Lissu nae hakusamehewa na alifukuzwa ubunge akiwa anaugulia maumivu makubwa na makali ya risasi..MaCCM bhana!Mtu ameomba msamaha ila bado anapigwa mawe![emoji16][emoji16][emoji16]
Kwahiyo hâta wewe hatakuteua?Nilivyosikia jipu limepasuka kuwa kuna list mpya inakuja nimepata shida kubwa sana juu ya hawa: Kitila, Waitara, Gekul, Molel, Kabudi, Biteko, Jafo, Bashe et al.
Ila nina wasiwasi na Riz na mamake huenda mmoja wao akaingia ndani.
Na Majaliwa je?Nilivyosikia jipu limepasuka kuwa kuna list mpya inakuja nimepata shida kubwa sana juu ya hawa: Kitila, Waitara, Gekul, Molel, Kabudi, Biteko, Jafo, Bashe et al.
Ila nina wasiwasi na Riz na mamake huenda mmoja wao akaingia ndani.
Hii post inaweza kukuletea shida,, kumbuka mtambo wa israel upo na unaweza kukutrap vizuri tu[emoji3][emoji3]Kikubwa na yeye ana tundu lissu mawili.
Sitakiwi kumtaja TUNDU LISSU?Hii post inaweza kukuletea shida,, kumbuka mtambo wa israel upo na unaweza kukutrap vizuri tu[emoji3][emoji3]
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yeye ni mama na nyie ni vijana...
Mkimzingua anawazingua...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rafu zetu hazipo huko..
Muulze kikwete alimuweka Jiwe bila kupenda kwa hofu ya Lowasa.
Ko kikwete na mkapa nguvu alukua nazo mkapa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jiwe alibebwa na Mkapa, si Kikwete.
Riz ndo anakua prime minister.Nilivyosikia jipu limepasuka kuwa kuna list mpya inakuja nimepata shida kubwa sana juu ya hawa: Kitila, Waitara, Gekul, Molel, Kabudi, Biteko, Jafo, Bashe et al.
Ila nina wasiwasi na Riz na mamake huenda mmoja wao akaingia ndani.
😳😳😳😳Daah acha maskhara banaaa 🤣🤣🤣🤣Riz ndo anakua prime minister.
Vasco DA gama, nae anataka mwanae awe top kule juu, mbna mwenzake mwanae anacheza ktk jumba jeupe la Unguja?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Daah acha maskhara banaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tumia akili basi hata hizo kidogo ulizonazoMama kaamua liwalo na liwe, huwezi kunenepa kwa ARV za msaada halafu uinange mikopo.
🤣🤣Tangu lini mgogo akawa na akili, huwezi kuta wanaume wa shoka kutoka zanaki land, sukuma land na kurya land wanalamba miguu ya mwanamke. Never ever on earth bola nikose hiyo nafasi humuoni polepole alivyo na msimamo.