Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

🤣🤣
Kwa hiyo kumheshimu na kumtii Rais wa nchi ni kuilamba miguu jinsia yake?!!!

Mkuu Nyboma banaaa yaani watu wasikiheshimu kiti cha urais kisa kinaongozwa na mama?!!!🤣🤣

Karibu Kahawa komredi...
Kwa nafasi yake Mama yetu huyu hakupaswa kuongea yale aliyoongea jana ni UNAFIKI wa hali ya juu mno, isitoshe Mh. Job Ndungai alimuomba msamaha sasa mtu mzma kaka yeye kaombwa msamaha halafu hakusamehe anataka anyenyekewe vipi?

Aache kujikweza yeye ndiye yeye, tulikuwa na Magufuli sasa yu wapi? Huu wimbo wa 2025 ameuimba sana anajuaje atafika huko? Kumbuka miaka minne ni mingi mno kwetu sisi binadamu lolote linaweza tokea.
 
Ila upande mwingine ikitokea Ndugai naye akaamua "kudinda" kwenye mhimili "wake", huyo Mama atakuwa na wakati mgumu.

Ikumbukwe hata ministers watakaoachwa watalazimika kuungana na Ndugai "kuisulubu" serikali bungeni.

Huu mgogoro inabidi CHAWA waushabikie kimachale.
 
Hatujawahi kupewa vya Bure mkuu, vyote tunagharia sisi na kuwalipa viongozi maisha mazuri kama wapo peponi vile
Itakuwa wewe ni machinga, si unakumbuka?
Eti wanyonge wapiga kura wangu wasibugudhiwe!
Tumerudi kwenye ukweli na uhalisia.
 
Kwa nafasi yake Mama yetu huyu hakupaswa kuongea yale aliyoongea jana ni UNAFIKI wa hali ya juu mno, isitoshe Mh. Job Ndungai alimuomba msamaha sasa mtu mzma kaka yeye kaombwa msamaha halafu hakusamehe anataka anyenyekewe vipi?

Aache kujikweza yeye ndiye yeye, tulikuwa na Magufuli sasa yu wapi? Huu wimbo wa 2025 ameuimba sana anajuaje atafika huko? Kumbuka miaka minne ni mingi mno kwetu sisi binadamu lolote linaweza tokea.
Mkuu Nyboma umeongea kwa "hisia" sanaaaa.....

Mh.Samia wala hajikwezi....
Kufikia kuongea yale...hwenda yamemfika KOONI.....si Rais wa kwanza kuongea kwa HERUFI KUBWA.....nakukumbusha sakata la korosho pale alipoambiwa hadharani mtendaji mkuu wa serikali kuwa ataje idadi ya majimbo ya kwao....akaelezwa wakiendelea na misimamo yao yuko RADHI kutozihitaji kura zao na "kumpoteza hata yeye katika cabinet".....

Hayo yalikuwa ni maamuzi MAGUMU.....Kuna kipindi kiongozi HAYAKWEPI......

SIEMPRE JMT🙏
 
Ila upande mwingine ikitokea Ndugai naye akaamua "kudinda" kwenye mhimili "wake", huyo Mama atakuwa na wakati mgumu.

Ikumbukwe hata ministers watakaoachwa watalazimika kuungana na Ndugai "kuisulubu" serikali bungeni.

Huu mgogoro inabidi CHAWA waushabikie kimachale.
Mbona hiyo simple sana, unachomoa tu kadi ya CCM na mtu anaanguka kama jiwe.

Vijana hamkuwepo Aboud Jumbe tena rais wa Zanzibar, alivyodinda.
Ikachomolewa kadi ya CCM ikabidi aishi uhamishoni Kigamboni maisha yake yaliyibaki.
 
Nawewe Ni CCM au? Sisiemu hakuna kilaza Kama wewe asiyejua kuwa ndugayi (spika) Ni mhimili unaounda serikali, hivyo mama Hana mamlaka juu yake.

Mhimili wa bunge hufanya kazi independently bila kuingiliwa na mhimili wa urais au wa mahakama.

Njoo nikufundiashe somo ka uraia Uwe smart kichwani
Kwani Spika anatokana na nini?anaweza kufutwa kazi kama akifutwa uanachama
 
Mbona hiyo simple sana, unachomoa tu kadi ya CCM na mtu anaanguka kama jiwe.

Vijana hamkuwepo Aboud Jumbe tena rais wa Zanzibar, alivyodinda.
Ikachomolewa kadi ya CCM ikabidi aishi uhamishoni Kigamboni maisha yake yaliyibaki.
Vijana hawasomi katiba! Ndugai cheo chake kimeshikiliwa na ubunge wake na ubunge wake umeshikiliwa na kadi yake ya ccm

Wakichomoa kadi ya Ccm tu si lolote si chochote! Si spika wala si mbunge
 
Kwani Magufuli aliruhusu watu kuhoji?
Umesahau Membe alivyotaka kumchallange kwenye nafasi yake alifukuzwa uanachama!!

CCM ni ile ile wacha kazi iendeleee [emoji23][emoji23][emoji23]
Tutaona na kusikia mengi, bado najiuliza ni kwanini inakuwa hivi ?? Wako wapi think tank ya ccm ambao walikuwa na uwezo wa kubadili upepo
 
Kwenye kuhujumiana hakuna think tank! Mama keshajifanya mjinga sana ili awajue maadui zake kina nani! Sasa keshawajua ni kupiga nyundo za utosini tu
Tutaona na kusikia mengi, bado najiuliza ni kwanini inakuwa hivi ?? Wako wapi think tank ya ccm ambao walikuwa na uwezo wa kubadili upepo
 
Kwa nafasi yake Mama yetu huyu hakupaswa kuongea yale aliyoongea jana ni UNAFIKI wa hali ya juu mno, isitoshe Mh. Job Ndungai alimuomba msamaha sasa mtu mzma kaka yeye kaombwa msamaha halafu hakusamehe anataka anyenyekewe vipi?

Aache kujikweza yeye ndiye yeye, tulikuwa na Magufuli sasa yu wapi? Huu wimbo wa 2025 ameuimba sana anajuaje atafika huko? Kumbuka miaka minne ni mingi mno kwetu sisi binadamu lolote linaweza tokea.
Amewashika pabaya.
 
Back
Top Bottom