Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Ndugai slivyogombewa kama mpira wa kona, na wale wenyeviti wa CCM Mikoa na yule mwenezi wa Njombe, nikajua jua limemchwea Ndugai.
Walimgawana kila mmoja akajipigia....hadi balozi wa nyumba kumii..ila kwel kigezo kikubwa kuwa ccm ni kichwa kiwe box afu uwe na masters ya unafikii
 
Nimeisikiliza hotuba ya Mama Samia!
Ilikuwa nzuri sana!

Kuna waliimchokoza mama, wametikisa kiberiti. Mama kasema kimejaa!

Mchokozi namba moja ni wa ule mhimili, Jobu Ndugai. Ndugai kajibiwa vizuri na kwa mantiki juu ya swala la mikopo. Hata hivyo imebainika, swala si mikopo, ni watu kujipanga 2025!

Na mama karusha dongo, kule bungeni kwa Kassim.

Tutege sikio, vichwa vitaanguka sasa hivi!.
1641361166424.jpg

Hii kitaalamu kule tukuyu inaitwa ISAGHA KHUMASO KWIKOSI MBHIMBHI!!😀
 
Mbona hiyo simple sana, unachomoa tu kadi ya CCM na mtu anaanguka kama jiwe.

Vijana hamkuwepo Aboud Jumbe tena rais wa Zanzibar, alivyodinda.
Ikachomolewa kadi ya CCM ikabidi aishi uhamishoni Kigamboni maisha yake yaliyibaki.
Mambo siyo rahisi kama unavyodhani.

Mwenyekiti wa CCM enzi hizo alikuwa ni Nyerere kumbuka,semi god chamani,serikalini tena pre multiparty era.

CCM ile ilikuwa bado wenyewe wako hai siyo hii academia.
 
Mambo siyo rahisi kama unavyodhani.

Mwenyekiti wa CCM enzi hizo alikuwa ni Nyerere kumbuka,semi god chamani,serikalini tena pre multiparty era.

CCM ile ilikuwa bado wenyewe wako hai siyo hii academia.
Utashangaa, Ndugai akijitia kiburi hicho kitendo cha kuvuliwa kadi ya CCM atakipata tu.
Hana ubavu wa kukipinga ndani ya chama.
 
Kwenye kuhujumiana hakuna think tank! Mama keshajifanya mjinga sana ili awajue maadui zake kina nani! Sasa keshawajua ni kupiga nyundo za utosini tu
Tena bila kumung'unya maneni, mama kamwita Ndugsi kuwa adui yake aliyevaa gwanda la kijani.
 
Mambo siyo rahisi kama unavyodhani.

Mwenyekiti wa CCM enzi hizo alikuwa ni Nyerere kumbuka,semi god chamani,serikalini tena pre multiparty era.

CCM ile ilikuwa bado wenyewe wako hai siyo hii academia.
Mkuu wewe uwepo uwepo tu na uone sakata linavyojifungua hadharani.
 
Kwa nafasi yake Mama yetu huyu hakupaswa kuongea yale aliyoongea jana ni UNAFIKI wa hali ya juu mno, isitoshe Mh. Job Ndungai alimuomba msamaha sasa mtu mzma kaka yeye kaombwa msamaha halafu hakusamehe anataka anyenyekewe vipi?

Aache kujikweza yeye ndiye yeye, tulikuwa na Magufuli sasa yu wapi? Huu wimbo wa 2025 ameuimba sana anajuaje atafika huko? Kumbuka miaka minne ni mingi mno kwetu sisi binadamu lolote linaweza tokea.
So what..?, Kila kitu kina mwisho, hata wewe pia,,, hata jpm,,, hata mufti,,. ,hata ngwajima au pengo,,
Nothing is permanent,, so hiyo remark in groundless and im material [emoji851][emoji851]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Riz ndo anakua prime minister.
Wangekaa pembeni wale mimali yao taratibu, maisha ni mafupi sana, lakini Mwenyezi Mungu akikunyima peace of mind ni lazima utakuwa unaitafuta shida mwenyewe maana kila ulichonacho utakiona ni kidogo na hakitoshi !!! Hiyo ndio huwa adhabu ya kukosa peace of mind !!
 
Mama inaonekana kukosolewa hapendi, Ndugai hajasema chochote cha ajabu au kibaya, na sioni chochote kibaya wengine kuutaka uraisi, kama anataka uraisi apambane kwa sera nzuri na uchapa kazi hakuna free lunch, ajibu hoja kwa hoja sio kuwasingizia wengine wana stress za 2025 na atumie nguvu zake kupitisha agenda zake maana sio kila mtu lazima akubaliane naye, kukosoana na kutokubaliana kila kitu hata kama ni chama kimoja sio jambo baya
 
Mambo siyo rahisi kama unavyodhani.

Mwenyekiti wa CCM enzi hizo alikuwa ni Nyerere kumbuka,semi god chamani,serikalini tena pre multiparty era.

CCM ile ilikuwa bado wenyewe wako hai siyo hii academia.
Ngoma bado mbichi.
Utamu wa ngoma uingie kuucheza mdundo.
Ndugai kajaribu kuchomoka kwa kuomba msamaha mama kamrudisha kwenye ngoma.
Kalikoroga na alinywe.
 
Samia hataki watu wahoji, anataka hiyo kazi ifanywe na wapinzani pekee ili wasiwasikilize, anapotokea wa kuhoji ndani ya chama chake anamuona adui, bado hajawa matured politically.
Siyo kwel! Kwan alishindwa kuhoju ndan au kabla?
 
Back
Top Bottom