Watakaotemwa uwazir ni wale wa race to 2025 tutawajua sana mapema tuNgoja tuone wa 2025 tuwajue labda wakae kimya
Hivi PolePole ni kabila gani?Tangu lini mgogo akawa na akili, huwezi kuta wanaume wa shoka kutoka zanaki land, sukuma land na kurya land wanalamba miguu ya mwanamke. Never ever on earth bola nikose hiyo nafasi humuoni polepole alivyo na msimamo.
huyu ni mwalimu weweKuna maraisi bwana huyu wetu bado anajifunza bado hata hizo kauli hawezi zitoa kabisa
Kalikuwa kaondoke toka wakati uleee!
Hata huyu hakuwa na muda mrefu kwa Hayati awamu ya pili alikuwa anaondoshwa, ashukuru Mungu alimchukua JPM bila hivyo pale alikuwa anaondoka.Kalikuwa kaondoke toka wakati uleee!
Ati mwendazake anapiga mzigo Ikulu.
Kwa uelewa wangu Kanda ya ziwa ina ufuasi asilimia arobaini kwa upinzani, sittini ndio kwa CCM. Hata 2020 Magufuri alipata shida kwenye kampeni, Kama sio msaada wa system Kuna majimbo mengi yangeenda upinzani, kwa mfano Geita mjini na Musoma Mjini Jimbo pekee ambalo Magufuri alipata kura chache. Hivyo mwaka 2025 upinzani washindwe wenyewe. Hasa mama akapitishwa na CCM.Ndugai kaniangusha sana, ila kanda ya ziwa hatutetemeshwi na Mwanamke. Tusubili 2025
Mama atspeta tu.Kwa uelewa wangu Kanda ya ziwa ina ufuasi asilimia arobaini kwa upinzani, sittini ndio kwa CCM. Hata 2020 Magufuri alipata shida kwenye kampeni, Kama sio msaada wa system Kuna majimbo mengi yangeenda upinzani, kwa mfano Geita mjini na Musoma Mjini Jimbo pekee ambalo Magufuri alipata kura chache. Hivyo mwaka 2025 upinzani washindwe wenyewe. Hasa mama akapitishwa na CCM.
Kesi ya mbowe ilisogezwa mbele nadhani wiki ijayo ndio inaendelea. pia itakuwa nchi ya kipumbavu Kama viongozi wakubwa Kama Rais na speaker watumike kusawazisha hali. Mimi nadhani kinachotokea Ni reality na si kingine.Watu wanayumbishwa na hawaelewi kama wanayumbishwa. Kuna rafu nyingi zilichezwa kwa hiyo hii lazima ifanyike kusawazisha hali. Wameisha tusoma tunawazaje ! ha ha haha ahaaaa! 'Tawi maalumu' balaa ha haaa!
Aanze tuu kuwafinyaNimeisikiliza hotuba ya Mama Samia!
Ilikuwa nzuri sana!
Kuna waliimchokoza mama, wametikisa kiberiti.
Mama kasema kimejaa!
Mchokozi namba moja ni wa ule mhimili, Jobu Ndugai.
Ndugai kajibiwa vizuri na kwa mantiki juu ya swala la mikopo.
Hata hivyo imebainika, swala si mikopo, ni watu kujipanga 2025!
Na mama karusha dongo, kule bungeni kwa Kassim.
Tutege sikio, vichwa vitaanguka sasa hivi!.
Ok. Muda utatupa majibu.Mama atspeta tu.
Hakuna kitu kitafanywa ktk hii nchi na rais wa Tanzania hakijuiKassim nae alikuwa na kikao chake Lindi kupanga safu yake. Je Mama ana jua hilo?
Je ana taarifa kwamba Mwigulu nae ana taka urais come 2025??
Huyo tulimkana siku alipo shadadia bwagamoyo port.Wafuasi wa Magu maji ya pua sasaiv