Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Nchi hii kuna mhimili mmoja tu ambao jiwe alishasema umejichimbia chin zaid
Nawewe Ni CCM au? Sisiemu hakuna kilaza Kama wewe asiyejua kuwa ndugayi (spika) Ni mhimili unaounda serikali, hivyo mama Hana mamlaka juu yake.

Mhimili wa bunge hufanya kazi independently bila kuingiliwa na mhimili wa urais au wa mahakama.

Njoo nikufundiashe somo ka uraia Uwe smart kichwani
 
Nimeisikiliza hotuba ya Mama Samia!
Ilikuwa nzuri sana!

Kuna waliimchokoza mama, wametikisa kiberiti. Mama kasema kimejaa!

Mchokozi namba moja ni wa ule mhimili, Jobu Ndugai. Ndugai kajibiwa vizuri na kwa mantiki juu ya swala la mikopo. Hata hivyo imebainika, swala si mikopo, ni watu kujipanga 2025!

Na mama karusha dongo, kule bungeni kwa Kassim.

Tutege sikio, vichwa vitaanguka sasa hivi!.
Atakuja shangaa sisiemu robo tatu wanamchekea usoni ndani wanammega... atulize mhemuko aongoze nchi...
 
Mwenye madaraka ndiye mwenye nguvu.
Nadhani ili Ndugai akae vizuri asiwe victim of circumstance ni ku-opt for early retirement. Pia itamsaidia katika ku-recover health-wise. Alichofanya na alipofika vinatosha kibinadamu. Nadhani hata jimbo angekabidhi tu.
 
Acha hizo, hiyo ilikuwa staili ya Mwendazake.
Mbona alimtema hadharani Mwandisya alipolaumu mambo yake ya ajabu ajabu kama kumweka ndani Sugu na kupigwa risasi Lissu.
Akamfukuza u Chancellor wa MUST.

Haiwagi rahisi hivyo. Mnavyowajua ninyi watu si anavyowajua Rais wa nchi. Msipende kutumia mifallasies katika mambo ya aina Hii. Samia atafanya vile ambavyo mazingira na sheria zinamruhusu. Sio kila kitu mbona marehemu. Hao wanawake mnaolala nao wakiwa kila siku wanaongelea mitindo ya maex wao. Utaendelea wewe.
 
Tusubiri baraza jipya la mawaziri. [emoji848]
Nilivyosikia jipu limepasuka kuwa kuna list mpya inakuja nimepata shida kubwa sana juu ya hawa: Kitila, Waitara, Gekul, Molel, Kabudi, Biteko, Jafo, Bashe et al.

Ila nina wasiwasi na Riz na mamake huenda mmoja wao akaingia ndani.
 
Mgogo ajiuzulu tu ameshanuka vibaya sana na moto unazidi kuwaka yaani akiwa kwenye kile kiti waliopo mjengoni wote watakuwa wanaona wanaongozwa na msaliti wa chama chao.
 
Aangalie asiondoke yeye. Tanzania yetu hii, muda utaongea, sio kwenye madudu haya yanayoendelea.
Ni kweli, unajuwa tatizo ni kuwa siasa za Tanganyika ziko tofauti na siasa za Zenj. Hata Abeid Karume zilimpa shida kidogo hadi kuzielewa, Mwinyi Senior vivyo hivyo. Huu ni ukweli ambao wengi hawatafuti kuufahamu.
 
Amalizie muda wake atoke, nchi hii inahitaji visionary leaders sio wapiga vijembe.
 
Mama kaamua liwalo na liwe, huwezi kunenepa kwa ARV za msaada halafqqq
Mwenye madaraka ndiye mwenye nguvu.
Usiichezee serikali, inaonekana JoB kachimbwa mkwara mzito akaamua kuitisha press confrence kuomba msamaha ila ndio hivyo keshaachwa uchi mzee mwenzagu.

Hakutakiwa kuitisha confrence na kuongea upuuzi ule kanisikitisha sana.
 
Samia hataki watu wahoji, anataka hiyo kazi ifanywe na wapinzani pekee ili wasiwasikilize, anapotokea wa kuhoji ndani ya chama chake anamuona adui, bado hajawa matured politically.
Upinzani upi wa kuhoji.
Jiulize Lissu alipo,
Lema alipo na Mbowe yupo wapi,
Ngoja tusubiri maana Ndugai naye katoa maoni sijui yeye ataelekea wapi.
 
Ndugai alifikaje kuwa spika wa bunge? Maana mtu aliyecheza na wabarikiwa kule uyahudi sio wa kispot spot. Anafikiria mambo ya Bethlehemu tu na kuwa mfalme
 
Upinzani upi wa kuhoji.
Jiulize Lissu alipo,
Lema alipo na Mbowe yupo wapi,
Ngoja tusubiri maana Ndugai naye katoa maoni sijui yeye ataelekea wapi.
Mhimili wa Bunge lazima unywee na hauogopwi kwa sababu hauna coercive apparatus kama Serikali yenye vikosi na Mahakama yenye lupango. Bunge haliingizi hata senti moja (ni parasitic institution), Serikali inakusanya kodi, Mahakama inakusanya maduhuli. Sasa Bunge halina ela, Bunge halina coercive apparatus, linategemea hekima tuu, ni shidaaa....
 
Sitaki kuamini Wafuasi wa Hayati wamepiga magoti mapema hivi
Mkuu ulishawahi kuwa pilot wa ndege vita nini maana una manuver ya hatariii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom