Amemaliza kila kitu.Tulia uandike vizuri.
Nawewe Ni CCM au? Sisiemu hakuna kilaza Kama wewe asiyejua kuwa ndugayi (spika) Ni mhimili unaounda serikali, hivyo mama Hana mamlaka juu yake.Mama fukuza Jobu Ndugai ni mtu hatari sana kwako
Kimeumana#MBOWE SIO GAIDI# Gaidi ndugai!!Nimeisikiliza hotuba ya Mama Samia!
Ilikuwa nzuri sana!
Kuna waliimchokoza mama, wametikisa kiberiti.
Mama kasema kimejaa!
Mchokozi namba moja ni wa ule mhimili, Jobu Ndugai.
Ndugai kajibiwa vizuri na kwa mantiki juu ya swala la mikopo.
Hata hivyo imebainika, swala si mikopo, ni watu kujipanga 2025!
Na mama karusha dongo, kule bungeni kwa Kassim.
Tutege sikio, vichwa vitaanguka sasa hivi!.
Mama kaamua liwalo na liwe, huwezi kunenepa kwa ARV za msaada halafu uinange mikopo.
Sio rahisi hivyo, utaondoa vitawi mashina yatabaki na yatachipuka. Hivyo ngoma ndio imeanza sasaSukuma gang chaliii🤣🤣🤣🤣, mlijitapa sana kwa kuonea watu, na badoooi
Tuwekee hiyo CLIP mkuu.Mama karusha dongo makusudi.
Kuna clip, Majaliwa majuzi kalalamika kurukwa kiprotokali katika uwekaji sahihi mradi wa SGR.
Wajuvi tukajua kuna fukuto.
Huyu sio mwanamke tu Kama wanawake wenu, huyu ni Rais...akiamua wote mnalala SAA nne asubuhi na hamna cha kumfanya.Ndugai kaniangusha sana, ila kanda ya ziwa hatutetemeshwi na Mwanamke. Tusubili 2025
Kama haingiliwi alikuwa analilia nini jana.Nawewe Ni CCM au? Sisiemu hakuna kilaza Kama wewe asiyejua kuwa ndugayi (spika) Ni mhimili unaounda serikali, hivyo mama Hana mamlaka juu yake.
Mhimili wa bunge hufanya kazi independently bila kuingiliwa na mhimili wa urais au wa mahakama.
Njoo nikufundiashe somo ka uraia Uwe smart kichwani
Wafanye nini ndugu? Nazi haiwezi kushindana na jiwe. Mama aliambiwa na Mabeyo kama zilivyo tamaduni, vyombo vitamlinda, vitamheshimu na kumtii. Ile kauli haikuandikwa kwenye speech kwa bahati mbaya. Walijua kuna mabumunda yatajitokeza tuSitaki kuamini Wafuasi wa Hayati wamepiga magoti mapema hivi
Unapiga mbususu kwa Ndomu ya mkopo halafu unainanga mikopo!Mama kaamua liwalo na liwe, huwezi kunenepa kwa ARV za msaada halafu uinange mikopo.
Watu wanayumbishwa na hawaelewi kama wanayumbishwa. Kuna rafu nyingi zilichezwa kwa hiyo hii lazima ifanyike kusawazisha hali. Wameisha tusoma tunawazaje ! ha ha haha ahaaaa! 'Tawi maalumu' balaa ha haaa!hivi kesi ya mbowe ,imefikia wapi ,
Tangu lini mgogo akawa na akili, huwezi kuta wanaume wa shoka kutoka zanaki land, sukuma land na kurya land wanalamba miguu ya mwanamke. Never ever on earth bola nikose hiyo nafasi humuoni polepole alivyo na msimamo.Ndugai inabidi achague moja amefeli sana,
Ila Samia andhihirisha jinsi gani anawahi kureact hiyo ni kura ya
turufu kwa mahasimu wake wakujua kuitumia.
Kuna maraisi bwana huyu wetu bado anajifunza bado hata hizo kauli hawezi zitoa kabisaHuyu sio mwanamke tu Kama wanawake wenu, huyu ni Rais...akiamua wote mnalala SAA nne asubuhi na hamna cha kumfanya.
Inabidi ampoke kadi ya CCM au alivunje binge.Uspika wa Job utayeyuka moja kwa moja.Mama fukuza Jobu Ndugai ni mtu hatari sana kwako
Wanajitoa ufahamu, kama spika anawakiwa vile sisi makapuku si itakuwa hatari??Huyu sio mwanamke tu Kama wanawake wenu, huyu ni Rais...akiamua wote mnalala SAA nne asubuhi na hamna cha kumfanya.
Tumewapa kazi hio endeleeni nayoSamia hataki watu wahoji, anataka hiyo kazi ifanywe na wapinzani pekee ili wasiwasikilize, anapotokea wa kuhoji ndani ya chama chake anamuona adui, bado hajawa matured politically.
Ndugai slivyogombewa kama mpira wa kona, na wale wenyeviti wa CCM Mikoa na yule mwenezi wa Njombe, nikajua jua limemchwea Ndugai.Kwa mchambo huu kwa Ndugai sidhani
Ndugai amekula ugali wa kutosha ajiuzuru hiyo heshima kidogo iliyobaki.Tangu lini mgogo akawa na akili, huwezi kuta wanaume wa shoka kutoka zanaki land, sukuma land na kurya land wanalamba miguu ya mwanamke. Never ever on earth bola nikose hiyo nafasi humuoni polepole alivyo na msimamo.
Akinyanganywa kadi ya CCM hana chakeNawewe Ni CCM au? Sisiemu hakuna kilaza Kama wewe asiyejua kuwa ndugayi (spika) Ni mhimili unaounda serikali, hivyo mama Hana mamlaka juu yake.
Mhimili wa bunge hufanya kazi independently bila kuingiliwa na mhimili wa urais au wa mahakama.
Njoo nikufundiashe somo ka uraia Uwe smart kichwani