Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Gwaj anawadanganya[emoji2] ye mwenyewe yalimshinda akategewa kamera ya mkono wa baunsa
Hajawahi shindwa vita licha hyo bado akaingia bungeni.
Anabadili mbwinu tu ukiwa against nae hutoboi Ndugai kwishaaa!!!
Mungu wa Gwajiboy sio wa mchezo mchezo.
 
Mama ni mroho wa madaraka yeye kila kitu anawazia 2025 tu na hataki wengine washiriki,huu ni udikteta. Ila asijiaminishe kiviiiiile kwani hata dhalim alikuwa mbogo na kuwaza kutawala milele lakini leo hii funza wanajitafunia tu mzoga wake.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Nyie vichwa vya panzi mnaambiwa mikopo ni kwa ajili ya kuongeza mxunguko wa pesa kwenye uchumi na kuendeleza elimu, hamuelewi.
 
Hajawahi shindwa vita licha hyo bado akaingia bungeni.
Anabadili mbwinu tu ukiwa against nae hutoboi Ndugai kwishaaa!!!
Mungu wa Gwajiboy sio wa mchezo mchezo.
Alishindwa akaungana nao! Sema ndo hivyo alitumia akili ya ziada! Yule naye kajaliwa kidogo
 
[emoji1787]
IMG-20220106-WA0006.jpg
 
Kwahiyo hâta wewe hatakuteua?
Kwa Ma-RC nina wasiwasi na hawa:-
1. Simiyu (japo amekuwa kama maji ya mtungi lkn lzm mzimu wa Escrow umzukie tena, madhali watuhumiwa wamefunguliwa wako huru)
2. Mtwara
3. Bk
4. Dodoma (JPM alilazimisha jina lake baada ya kukataliwa kwenye vetting)
5. Tanga (alifanyiwa figisu kwy 2015 Mkuranga ili kuondoa wasomi Coast abaki yule wa Kskzn ya mkoa tu ili inapokuja kuundwa cabinet basi huyo mmoja ndiyo aingie)
6. Mara
7. Njombe
8. Singida (age inamsuta)
9. Coast na Dar spidi zao kama ya konokono ila salama ya wa Dar ni swahiba.
 
Kwahiyo hâta wewe hatakuteua?
Mkuu,

CCM bora uwe mwanachama bila cheo utaenjoy uhuru kuliko kuwa na cheo lakini mdomo umeshonwa. Job akae kimya hata mjengoni asifungue domo lake, akitaka kufungua domo namshauri atoroke kwanza kama Lissu na Lema.

Nisichojuwa ni kuwa sakata hili likimuibulia tatizo la kiafya je, atapata tena fursa ya matibabu ughaibuni? Japo sheria/kanuni zipo zinazowapa haki Wakuu wote wa Mihimili kupata huduma za afya nje ya mipaka ya Jamhuri awe kazini au amestaafu. God forbid this.
 
Riz ndo anakua prime minister.
Nape sasa kuukwaa ama Uspika au Naibu Spika!
Ila upande mwingine ikitokea Ndugai naye akaamua "kudinda" kwenye mhimili "wake", huyo Mama atakuwa na wakati mgumu.

Ikumbukwe hata ministers watakaoachwa watalazimika kuungana na Ndugai "kuisulubu" serikali bungeni.

Huu mgogoro inabidi CHAWA waushabikie kimachale.
Mzena haijafungwa ile...
 
Huyu sio mwanamke tu Kama wanawake wenu, huyu ni Rais...akiamua wote mnalala SAA nne asubuhi na hamna cha kumfanya.


Mnh wewe nawe [emoji57][emoji57]

Napata shaka juu ya kiwango chako cha ufahamu wa mambo!

Anapaswa kuongoza kwa mujibu wa sheria tulizojiwekea.

Mamlaka na ridhaa ya kutuongoza inatokana na sisi wananchi kwa mujibu wa Katiba tulojiwekea.

Je unafahamu hayo machache?
 
Mnh wewe nawe [emoji57][emoji57]

Napata shaka juu ya kiwango chako cha ufahamu wa mambo!

Anapaswa kuongoza kwa mujibu wa sheria tulizojiwekea.

Mamlaka na ridhaa ya kutuongoza inatokana na sisi wananchi kwa mujibu wa Katiba tulojiwekea.

Je unafahamu hayo machache?
Ufahamu gani labda?
Mnamletea dharau kisa mwanamke, narudia huyo sio mwanamke Kama hao WA huko usukumani, huyo ni Rais...tena hiyo Katiba unayoizungumzia imempa mamlaka makubwa, next to God Yani...hamna WA kumwajibisha awapo madarakani.
 
Nimeisikiliza hotuba ya Mama Samia!
Ilikuwa nzuri sana!

Kuna waliimchokoza mama, wametikisa kiberiti. Mama kasema kimejaa!

Mchokozi namba moja ni wa ule mhimili, Jobu Ndugai. Ndugai kajibiwa vizuri na kwa mantiki juu ya swala la mikopo. Hata hivyo imebainika, swala si mikopo, ni watu kujipanga 2025!

Na mama karusha dongo, kule bungeni kwa Kassim.

Tutege sikio, vichwa vitaanguka sasa hivi!.
Hakuna geni chini ya jua
 
Back
Top Bottom