Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Samia hataki watu wahoji, anataka hiyo kazi ifanywe na wapinzani pekee ili wasiwasikilize, anapotokea wa kuhoji ndani ya chama chake anamuona adui, bado hajawa matured politically.
Hapana, job anaanzaje kusema nchi itapigwa mnada, unaona ile kauli ni nyepesi. Halafu pia job ni mtu ambaye kwenye politics wana mrengo mmoja anaanze kumzunguka??!! Dharau na kiburi pamoja na uchu wa madaraka tuu wa job na genge lake
 
Samia hataki watu wahoji, anataka hiyo kazi ifanywe na wapinzani pekee ili wasiwasikilize, anapotokea wa kuhoji ndani ya chama chake anamuona adui, bado hajawa matured politically.
Kwani Magufuli aliruhusu watu kuhoji?
Umesahau Membe alivyotaka kumchallange kwenye nafasi yake alifukuzwa uanachama!!

CCM ni ile ile wacha kazi iendeleee [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tunataka kufahamu yule aliyemueleza watakao kusumbua ni ccm na sio wapinzani ni nani?.

Nashauri ndugai aondoe ile ratiba ya kuomba bungeni
 
Samia hataki watu wahoji, anataka hiyo kazi ifanywe na wapinzani pekee ili wasiwasikilize, anapotokea wa kuhoji ndani ya chama chake anamuona adui, bado hajawa matured politically.
Acha hizo, hiyo ilikuwa staili ya Mwendazake.
Mbona alimtema hadharani Mwandisya alipolaumu mambo yake ya ajabu ajabu kama kumweka ndani Sugu na kupigwa risasi Lissu.
Akamfukuza u Chancellor wa MUST.
 
Nimeisikiliza hotuba ya Mama Samia!
Ilikuwa nzuri sana!

Kuna waliimchokoza mama, wametikisa kiberiti.
Mama kasema kimejaa!

Mchokozi namba moja ni wa ule mhimili, Jobu Ndugai.
Ndugai kajibiwa vizuri na kwa mantiki juu ya swala la mikopo.
Hata hivyo imebainika, swala si mikopo, ni watu kujipanga 2025!

Na mama karusha dongo, kule bungeni kwa Kassim.

Tutege sikio, vichwa vitaanguka sasa hivi!.
Kassim nae alikuwa na kikao chake Lindi kupanga safu yake. Je Mama ana jua hilo?
Je ana taarifa kwamba Mwigulu nae ana taka urais come 2025??
 
We umri umeenda lakini mnafiki,we na sukuma gang wenzio sindio mnaongoza humu kumtukana Rais,tuliwambia siku zote tutawatia adabu, Sasa maumivu yaja, mmebebwa hambebeki
Mama bado mchanga ila kwa kuwa ameamua kupasua chupa 2025 si mbali. Tuombe kheri na uzima
 
Back
Top Bottom