Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,165
- 29,866
Nimeisikiliza hotuba ya Mama Samia!
Ilikuwa nzuri sana!
Kuna waliimchokoza mama, wametikisa kiberiti. Mama kasema kimejaa!
Mchokozi namba moja ni wa ule mhimili, Jobu Ndugai. Ndugai kajibiwa vizuri na kwa mantiki juu ya swala la mikopo. Hata hivyo imebainika, swala si mikopo, ni watu kujipanga 2025!
Na mama karusha dongo, kule bungeni kwa Kassim.
Tutege sikio, vichwa vitaanguka sasa hivi!.
UPDATE
Hayawi hayawi yamekuwa.
Wameanza kulinywa
Kama nilivyotabiri.
Mbabe wa mhimili wa Bunge ndio kasambaratishwa. Kundi lake ambalo lipo na Mama analijua limeshaanza kushughulikiwa.
Nani yumo, nani hayumo hiyo ni siri ya Mama.
Kimsingi Ndugai ali seriously underestimate uwezo wa Mama Samia, na alifikiri kumwomba radhi juujuu tu na kusema amekosayeye, amekosa sana, na amekosa yeye, basi Mama Samia atamwelewa.
Na akamwalika mama Samia kwa hafla ya Maobi ya kuombeasijui ilikuwa mvua au Taifa, tarehe29/1/2022.
Masikini hakujua kuwa tayari mambo yanaenda kasi bila yeye kujua.
Ndugai pengine vile vile hakujua kuwa mtandao wao umeshajulikana na umeanza kushughulikiwa.
Weekend njema wakuu.
Ilikuwa nzuri sana!
Kuna waliimchokoza mama, wametikisa kiberiti. Mama kasema kimejaa!
Mchokozi namba moja ni wa ule mhimili, Jobu Ndugai. Ndugai kajibiwa vizuri na kwa mantiki juu ya swala la mikopo. Hata hivyo imebainika, swala si mikopo, ni watu kujipanga 2025!
Na mama karusha dongo, kule bungeni kwa Kassim.
Tutege sikio, vichwa vitaanguka sasa hivi!.
UPDATE
Hayawi hayawi yamekuwa.
Wameanza kulinywa
Kama nilivyotabiri.
Mbabe wa mhimili wa Bunge ndio kasambaratishwa. Kundi lake ambalo lipo na Mama analijua limeshaanza kushughulikiwa.
Nani yumo, nani hayumo hiyo ni siri ya Mama.
Kimsingi Ndugai ali seriously underestimate uwezo wa Mama Samia, na alifikiri kumwomba radhi juujuu tu na kusema amekosayeye, amekosa sana, na amekosa yeye, basi Mama Samia atamwelewa.
Na akamwalika mama Samia kwa hafla ya Maobi ya kuombeasijui ilikuwa mvua au Taifa, tarehe29/1/2022.
Masikini hakujua kuwa tayari mambo yanaenda kasi bila yeye kujua.
Ndugai pengine vile vile hakujua kuwa mtandao wao umeshajulikana na umeanza kushughulikiwa.
Weekend njema wakuu.