Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Hapana, job anaanzaje kusema nchi itapigwa mnada, unaona ile kauli ni nyepesi. Halafu pia job ni mtu ambaye kwenye politics wana mrengo mmoja anaanze kumzunguka??!! Dharau na kiburi pamoja na uchu wa madaraka tuu wa job na genge lake
Sasa kama tunataka kupigwa mnada asiseme?!
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Nimeisikiliza hotuba ya Mama Samia!
Ilikuwa nzuri sana!

Kuna waliimchokoza mama, wametikisa kiberiti. Mama kasema kimejaa!

Mchokozi namba moja ni wa ule mhimili, Jobu Ndugai. Ndugai kajibiwa vizuri na kwa mantiki juu ya swala la mikopo. Hata hivyo imebainika, swala si mikopo, ni watu kujipanga 2025!

Na mama karusha dongo, kule bungeni kwa Kassim.

Tutege sikio, vichwa vitaanguka sasa hivi!.
Mkuu what if Mhimili wa Mjengo ukijiwahi kupiga kura ya kutokuwa na imani na mama wakati ambao mama hajajipanga vya kutosha kuingia ulingoni 2025? Unadhani kama Mchambuzi kipi kitatokea?
 
20220104_221258.jpg
 
Ogopa kutofautiana na bosi .....

Ila haya mambo ya siasa, kilichobaki ni kupiga kimya tu....
Kweli mkuu, yanapoteza muda sana, yanapoteza rasilimali sana, yanapoteza tija sana, yanapoteza uhusiano mzuri uliojengwa kwa miaka mingi na kwa gharama kubwa! yana-shake chama.... na kujenga mitandao.

Kuna dalili naziona kama za Kenya za Deep State kutunyemelea mdogomdogo... Huenda kampeni zikaanza mapema sana kabla ya muda wa NEC huru kuwadia.
 
Back
Top Bottom