Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Sitaki kuamini Wafuasi wa Hayati wamepiga magoti mapema hivi
Tuliwaambia lkn hawakutuelewa kuwa zamu yao ya kusononeka inakaribia.

Leo hii Ndugayi atakuwa hata usingizi hakupata pamoja na mihela yake yoote.
 
We umri umeenda lakini mnafiki,we na sukuma gang wenzio sindio mnaongoza humu kumtukana Rais,tuliwambia siku zote tutawatia adabu, Sasa maumivu yaja, mmebebwa hambebeki
Wacha wateseke
 
Tangu lini mgogo akawa na akili, huwezi kuta wanaume wa shoka kutoka zanaki land, sukuma land na kurya land wanalamba miguu ya mwanamke. Never ever on earth bola nikose hiyo nafasi humuoni polepole alivyo na msimamo.
Mbona hao Kuryaland kila siku wanalamba matako ya wachagga kina mbowe
 
Ufahamu gani labda?
Mnamletea dharau kisa mwanamke, narudia huyo sio mwanamke Kama hao WA huko usukumani, huyo ni Rais...tena hiyo Katiba unayoizungumzia imempa mamlaka makubwa, next to God Yani...hamna WA kumwajibisha awapo madarakani.
Kweli kabisa !!
 
Samia hataki watu wahoji, anataka hiyo kazi ifanywe na wapinzani pekee ili wasiwasikilize, anapotokea wa kuhoji ndani ya chama chake anamuona adui, bado hajawa matured politically.
Jiwe alikuwa worse, hakutaka watu wa chama chake wahoji(wala hawakuthubutu) na pia hakutaka hata wale wa nje ya chama chake wahoji.
Kuhoji madhara yake ilikuwa kifo, kutekwa au kudhuriwa kwa namna yoyote.
 
Jiwe alikuwa worse, hakutaka watu wa chama chake wahoji(wala hawakuthubutu) na pia hakutaka hata wale wa nje ya chama chake wahoji.
Kuhoji madhara yake ilikuwa kifo, kutekwa au kudhuriwa kwa namna yoyote.
Jiwe hatakuwa worse kwa maneno yako..
Mnahangaika kila siku kututangazia ubaya wake toka 2016 hadi leo,
hamjafanikiwa hamjiulizi kwa nini?
 
Jiwe alikuwa worse, hakutaka watu wa chama chake wahoji(wala hawakuthubutu) na pia hakutaka hata wale wa nje ya chama chake wahoji.
Kuhoji madhara yake ilikuwa kifo, kutekwa au kudhuriwa kwa namna yoyote.
Tulipitia ktk njia yenye miiba na matumbawe na hakika tuliteseka sana na Mungu wacha aitwe Mungu.
 
Hayawi hayawi yamekuwa.
Wameanza kulinywa!
Mbabe wa mhimili wa Bunge ndio kasambaratishwa. Kundi lake ambalo lipo na Mama analijua limeshaanza kushughulikiwa.
Nani yumo, nani hayumo hiyo ni siri ya Mama.

Kimsingi Ndugai ali seriously underestimate uwezo wa Mama Samia, na alifikiri kumwomba radhi juujuu tu na kusema amekosayeye, amekosa sana, na amekosa yeye, basi Mama Samia atamwelewa.
Na akamwalika mama Samia kwa hafla ya Maobi ya kuombeasijui ilikuwa mvua au Taifa, tarehe29/1/2022.
Masikini hakujua kuwa tayari mambo yanaenda kasi bila yeye kujua.
Ndugai pengine vile vile hakujua kuwa mtandao wao umeshajulikana na umeanza kushughulikiwa.
Weekend njema wakuu.
 
Back
Top Bottom