Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Nachukia wanoutumia Ukristo kuwaumiza Waislaam, kama Nyerere na Ndalichako.

Wewe kibibi imaonekana umechika mara nyingi kiasi kwamba umepata msongo wa mawazo. Ndiyo maana unapiga jalamba ndani ya jf.
 
Mbona udini umetawala sana hapa jamani kulikoni???? Hivi watanzania tumefikia huko??? I wish Nyerere angekuwepo aone haya kwa macho yake mwenyewe!!!!

Udini umetawala sana kwa sasa mkuu, sa hivi ikitokea kuna mtu kateuliwa kushika nafasi ya juu watu wanaanza kwanza kufuatili dini yake na si weledi alionao, kwamba sa hivi tunamuangilia kiongozi kama anatufaa au hatufai kwa misingi ya dini na si vinginevyo yaani kama kiongozi ni wa dini tofauti na wewe moja kwa moja anakuwa hafai. But for me i don't think ts the right time ku wish kama Nyerere angekuwepo ingekuwaje? Nachoamin mimi kwamba ni muda muafaka kwa mimi na wewe na watanzania wengine kupigania kuuondoa udini kwasababu Nyerere has arleady gone and we can't change the past na ukizingatia tayari amesha play part yake so i think ts the time kwa sisi kama watanzania pamoja viongozi wetu wa sasa kuhakisha kuwa tunapigania kuundoa Udini, hatuwezi kuondoa udini ambao unaendelea kushamiri kwa Ku "wish" Nyerere angekuwepo, kitu cha msingi kuendeleza yale mema aliyoyafanya.
 
FaizaFoxy,

Mie sitii neno nakusoma na miwani ya 3D huku nakula zangu Faluda, endelea kumwaga data na facts za haja.

Tuongee ukweli ritz, hivi unasapport arguments za ff kiroho safi? da nchi hii haina future.
 
Last edited by a moderator:
Hata hiyo laptop yako hapo aliigundua muislam. Na huko Ulaya wanakokimbilia waSyria nako kunaongozwa na waislam.

Uliona idara ipi inayoongozwa na Muislaa ikawa majanga? tunaona maendeleo tu. Hata nchi, alivyoshika nyerere ni majanga ya kufa watu, alipoingia Mwinyi "ruksa" "ruksa" 'ruksa". Kuingia Nkapa, mama yangu wee! hapo ndio mpaka nyumba za Serikali wakauziana kwa bei poa! Kuingia Kikwete? maendeleo kwa kwenda mbele, mabarabara, mashule, vyuo vikuu, utalii, biashara, wageni maarufu. Mambo waa waa!

Na huko nna uhakika akishika Muislaam tutaona mafanikio makubwa sana, ndugu zetu nyie bado, imani yenu haiwafundishi kuongoza mnafundishwa kuongozwa tu (kondoo).
 
Hata angeteuliwa malaika kuongoza necta haitasaidia kubadili matokeo ya watoto ambao hawafundishwi wawapo mashuleni.Njia mbadala ya kutatua tatizo hili sugu ni kuwaondoa hawa majangili,majambazi wa ccm kwani wao ndio waliosababisha na wanaosababisha yote haya.
 
Wewe hata uliposikia Waislaam wamefelishwa na Ndalichako nna uhakika uligonga "like"
Hilo unalodai 'waislamu wamefelishwa', NECTA walishalitolea ufafanunuzi na sina sababu ya kurudia huo mjadala. Hata hivyo, mimi na wewe si wasemaje wa NECTA.

Lakini, hoja ya msingi ni kuwa ni vizuri tukajifunza kuweka pembeni tofauti zetu za kidini, kiitikadi, kikabila, kijinsia n.k. ili tujadili mambo yanayotuhusu mustakabali wa nchi yetu kama watanzania na sio 'sisi' au 'wao'. Kuna tatizo kubwa katika mfumo wetu wa elimu na tunayaona na kuyasikia kuptia matokeo ya mitihani ni sehemu ndogo tu ya tatizo. Badala ya kutibu chanzo cha tatizo, tuko busy tunajadili 'dini' ya mtu anayeongoza taasisi fulani. Nikuhakikishie tu kuwa hata kama atapewa 'muislam' hiyo nafasi ya ukurugenzi NECTA kama unavyotaka, bado hawezi kufanya chochote kama matatizo ya kimfumo hayatashughulikiwa.

Mifano tunayo mingi, ingawa wakati mwingine hatupendi kujifunza kutokana na makosa ya nyuma. Kuna wakati uwaziri wa fedha uligawiwa kwa 'mwanamke' si kwa sababu ya weledi, uzoefu na ujuzi wake katika masuala ya fedha na uchumi lakini kwa sababu ni 'mwanamke'. Leo hii nani anaweza kusimama na kusema huyo waziri wa fedha mwanamke alifanya nini kuimarisha uchumi na hali ya maisha ya watanzania? Vivyo hivyo, wazee wa CC ya sisiemu wakaona sasa ni zamu ya mwanamke kuongoza bunge. Yanayoendelea sasa kila mtu ni shahidi yameturudisha nyuma nafikiri miaka kama 50 hivi au zaidi iliyopita.
 
Wale wazee wa "wali na ubwabwa" bila shaka watafurahi sana...
 
Wrong. Mimi nilifanya kazi miaka mingi sana lakini sio Serikalini, kwa sasa ni semi retired (nachukuwa kazi moja moja za "consultancy", na nnakula nilichokichuma na nilichokirithi kwa wazee wangu, mashamba mkoa wa pwani na nyumba, Kariakoo, Ilala, Magomeni, Mbezi beach, Msasani na Sinza. Waliona mbali eeeh?

umesahau kuwaambia kuwa wewe ni mjumbe wa NEC na shoga wa Sophia Simba. Pande ulipigiwa na shemeji yake Kikwete, bi Chiku wa Mbagala Kiburugwa
 
Wewe kibibi imaonekana umechika mara nyingi kiasi kwamba umepata msongo wa mawazo. Ndiyo maana unapiga jalamba ndani ya jf.

Nakumbuka wakati nipo shule kuna mwalimu wangu alikuwa anapenda kutumia msemo mmoja wa kingereza unasema
"Don't argue with a fool"
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Hivi zile namba za mtihani zinaonyesha jina la mwenye namba hiyo kuwa ni dhehebu gani? Sasa huo uonevu unatolewaje? Au ni kwenye ule ule mtihani wa dini tu?
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Sidhani kama dini ndiyo itatoa machungu maana hata ARABU wanawake wanalalamika kunyimwa nafasi za shule na hata kuendesha magari, sasa sijajua kama ni mfumo, dini, utamaduni ama mapokeo. Any way, mambo nyeti kama haya hayataki kufanyiwa majaribio, ndiyo maana hata siye mnaotuita wapagani tumenyamaza kwa kujua kuwa si dini ndiyo itafanya hayo bali ilimu.
 
Hilo unalodai 'waislamu wamefelishwa', NECTA walishalitolea ufafanunuzi na sina sababu ya kurudia huo mjadala. Hata hivyo, mimi na wewe si wasemaje wa NECTA.

Lakini, hoja ya msingi ni kuwa ni vizuri tukajifunza kuweka pembeni tofauti zetu za kidini, kiitikadi, kikabila, kijinsia n.k. ili tujadili mambo yanayotuhusu mustakabali wa nchi yetu kama watanzania na sio 'sisi' au 'wao'. Kuna tatizo kubwa katika mfumo wetu wa elimu na tunayaona na kuyasikia kuptia matokeo ya mitihani ni sehemu ndogo tu ya tatizo. Badala ya kutibu chanzo cha tatizo, tuko busy tunajadili 'dini' ya mtu anayeongoza taasisi fulani. Nikuhakikishie tu kuwa hata kama atapewa 'muislam' hiyo nafasi ya ukurugenzi NECTA kama unavyotaka, bado hawezi kufanya chochote kama matatizo ya kimfumo hayatashughulikiwa.

Mifano tunayo mingi, ingawa wakati mwingine hatupendi kujifunza kutokana na makosa ya nyuma. Kuna wakati uwaziri wa fedha uligawiwa kwa 'mwanamke' si kwa sababu ya weledi, uzoefu na ujuzi wake katika masuala ya fedha na uchumi lakini kwa sababu ni 'mwanamke'. Leo hii nani anaweza kusimama na kusema huyo waziri wa fedha mwanamke alifanya nini kuimarisha uchumi na hali ya maisha ya watanzania? Vivyo hivyo, wazee wa CC ya sisiemu wakaona sasa ni zamu ya mwanamke kuongoza bunge. Yanayoendelea sasa kila mtu ni shahidi yameturudisha nyuma nafikiri miaka kama 50 hivi au zaidi iliyopita.

si useme Zhakia Meghji, ukweni kwa JK
 
Miaka 24 mfululizo Nyerere alileta maendeleo yepi? zaidi ya kuiwacha nchi hohehahe!

Kibibi, mpaka leo mzimu wa Nyerere bado unakuandama, inaonekana chuki uliyonayo dhidi ya marehemu huyu inakusababishia maumivu ya moyo. Angalia usije ukalost kabla ya siku.
 
Huwa nacheka sana linapokuja suala la Waislam na serikali Chadema wote wanarudi CCM teh teh te!!

Halafu mnaota ndoto eti mtaitoa madarakani CCM.

Hapo unachemka Ritz hakuna anaerudi CCM ..

Labda tunaonekana kuwa upande wa serikali..

Na sababu ni.. Serikali yetu haina dini..wala haiongozi kwa misingi ya kidini..

Na CCM tutaiondoa ..siyo mbali 2015..
 
Last edited by a moderator:
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Judging someone by the color of their skin,dini,kabila,mahali anapotoka ni {ujinga} ignorant.....
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

wanaokuita "the white widow" hawakosei.nilidhani wanakuonea.
 
nlikuwa nasubiri post ya udini kama hii nijue msimamo wenu
kwa hivo akiwekwa muislamu ndio watafaulu sana wanafunzi au?
Nampongeza aliemteua anaekaimu kwa sasa
Bakwata undeni baraza lenu la mitihani na mjitenge na NECTA kama mnaona mnaonewa
nlidhani bibie Faiza ana upeo kumbe kichwani zero kabisa

Hata zero inatumikaga mfano 10,30..1000..140000!! Ila huyu hana hata thamani ya zero..
 
Back
Top Bottom