Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.


mnataka kupewa maksi za bure? kama vilaza ni vilaza tu, sio ashike muslam afu tuone kina AL-Muntazir kibao top 10.
 
Nasikitika kuwa Charles Msonde ndiyo anakaimu hii nafasi nyeti. Msonde hana maadili kuitumikia hiyo nafasi maana ni mwizi. alipokuwa udsm kama kiongozi wa wanafunzi aliiba hela,alichonga mihuri feki ya malipo mpaka wa jeshi. Aliandika barua ya kukiri uwizi akalipa kidogo

Asante sana kikilo kwa taarifa njema. Nina imani usalama wa taifa wanapita humu ili wapate taarifa muhimu za kufanya vetting kwa mwizi huyu kuiongoza taasisi nyeti kama ile. Ila sitashangaa kuwa ile barua aliyoandika alishatumia madaraka yake na hongo kuinyofoa!!! Kila kitu kinawezekana Tanzania.
 
hivi wakuu mnaonaje zile shule za kanisa zilizokuwa zimetaifishwa na serikali zirudishwe kwa wamiliki wa awali...maana sasa serikali inauwezo wa kujenga shule na kuzihudumia..
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Hapo ndipo tulipofikishwa! Bila shaka na hilo la zamu ya 'dini yetu' ni sera ya wapinzani wa CCM!

Hayo madai yako FF, ni kwa mujibu wa Ibara gani ya Katiba, ai kifungu gani cha sheria?

Cc: Ritz, MS, Ally Kombo, et al. Mnasemaje?
 
Tunasomeshwa kuhusu uadilifu toka madrasah, hapo hautuingii hata umalize vyuo vikuu vyote alivyotembelea Slaa.

Na hilo ndo linawachelewesha na mtashika mkia mpaka Mungu arudi. mnakalia fikra za kipuuzi tu.
 
Kama ameenda sabbatical ni kitu cha kawaida sana kwa wanataaluma jamani. Dr Ndalichako ni academic kwahiyo ni haki yake ya msingi kupata sabbatical leave. Kwani huu ndio wakati ambapo wanataaluma anapata muda wa kutosha wa kufanya utafiti na kuaanda machapisho. Kwahiyo atarudi baada ya mwaka mzima, hii ipo sana tu, ondoeni hofu tafadhari...
 
Huyu mama kulinda heshima yake na elimu yake ilikuwa aachie nafasi pale serikali ilipoamua kukarabati alama za matokeo ya mitihani ktk utaratibu wa kichina wa kuangamiza elimu.

Nakubaliana na wewe. Siyo yeye tu. Hata huyo Mukandala mwenyewe. Ile ilikuwa ni aibu ya kutosha. Ikumbukwe serikali kupiyia Lukuvi ilikubali makosa yalikuwa ya waziri. Lakini kwa kuwa Sifuni alimbeba sasa amezawadiwa ukatibu mkuu. Halafu eti wanakataa the Hague. No way. Ndalichako unauzika. Take your time ukafanye tafiti zako dunia itakutambua.
 
Huwa nacheka sana linapokuja suala la Waislam na serikali Chadema wote wanarudi CCM teh teh te!!

Halafu mnaota ndoto eti mtaitoa madarakani CCM.
 
Nilikuwa nakuheshimu sana dada yangu lakini kwa mchango wako huu,

Umejipunguzia Heshima ya Utu wako na Umewapatia Heshima ya Mashaka

watu waliokuheshimu kwa muda mrefu pamoja na waislamu wenzako.

Nijambo la aibu ktk zama hizi kuingiza chembechembe za udini kwenye Professionalism
ktk utendaji. hupaswi kujutia kuwa muislamu, kinachotakiwa ni kusoma kwa juhudi
na mhimizane kubadilika. Nyinyi upande wa pili wa dini kuna mambo fulani mlishakosea
huko nyuma ndo kinachowatafuna hadi sasa na mnadhani adui yenu ni NECTA
chini ya NDALICHAKO, Real you are fighting the wrong enemy.

Hapa ndo mnaponikumbusha Luddism na chartism huko England.

I stand to be corrected.

Nadhani ulikosa mtu wa kuheshimu!!
 
Wewe unafikiri sakata linalomuondoa hapo ni lipi?

We una laana tu....lazima utakuwa na frustrations za maisha...huwezi uleta extreme udini wako hapa...sisi tunaongelea mambo ya maana we unaleta mambo ya Udini...Look at you
 
hivi wakuu mnaonaje zile shule za kanisa zilizokuwa zimetaifishwa na serikali zirudishwe kwa wamiliki wa awali...maana sasa serikali inauwezo wa kujenga shule na kuzihudumia..

sasa serikali siîtabaki na shùle za kata tu. pugu,minaki, forodhani, ndanda, tabora boys, mtwara tech etc zote hizo wenyewe wanafahamika.
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

We mama hatutowi vyeo kwa kungalia dini ya mtu... kama unataka haya nenda kaanzishe nchi yako ufanye ujinga wako!!!!
Mbona tangu umeolewa na mumewo anakupiga vitu miaka yote na yeye ni muislam ukusema sasa unataka vitu vya mkristo....

Ficha ujinga wako!!!!
 
Kwani BAKWATA hiyo?vitu vingine ni proffesional, basi muwekeni ponda kabsa
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
 
Huenda ukawa mfuasi wa Al-Shaabab, hivi akiwa mwislamu atawafanyia mitihani? hapa jambo la mhimu ni shule za kiislamu kupunguza mafunzo ya ahera, watoto waelimishwe na elimu dunia kwa ufasaha, mkiendelea na elimu ahera watoto wataishia kujifunza namna ya kulipua tu, na kusubiri kwenda kuwa wahandisi huko ahera
Mkuu, huyo dada yako nauhakika kama ana ndugu mkristo au ndugu wa mumewe kama yupo Mkristo, nahakika hiyo nyumba hua hakanyagi! Dada anaonekana anachuki kubwa mno na watu wa imani ya Kikristo.
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Hata rais hajawahi kuwa muislam. Nyie maislamu cjui mna matatizo gani. Rais hata akiwa muislamu atateua wakristo tu coz ndo wenye akili na wamesoma......endeleeni kupiga soga na kujifunza mbinu za alshababu
 
Huwa nacheka sana linapokuja suala la Waislam na serikali Chadema wote wanarudi CCM teh teh te!!

Halafu mnaota ndoto eti mtaitoa madarakani CCM.

We subiri tu uone October 2015...Kama wewe tunakuweka ndani kwa kuuza dona ........
 
Na wewe nawe! Huyo kila kitu anakiona kwa mtazamo wa uislamu vs Ukatoliki basi!

Mkuu, Faiza Fox amenikumbusha signature ya Member mmoja humu JF inayosema; What we believe affects how we live!
 
Back
Top Bottom