Nilikuwa nakuheshimu sana dada yangu lakini kwa mchango wako huu,
Umejipunguzia Heshima ya Utu wako na Umewapatia Heshima ya Mashaka
watu waliokuheshimu kwa muda mrefu pamoja na waislamu wenzako.
Nijambo la aibu ktk zama hizi kuingiza chembechembe za udini kwenye Professionalism
ktk utendaji. hupaswi kujutia kuwa muislamu, kinachotakiwa ni kusoma kwa juhudi
na mhimizane kubadilika. Nyinyi upande wa pili wa dini kuna mambo fulani mlishakosea
huko nyuma ndo kinachowatafuna hadi sasa na mnadhani adui yenu ni NECTA
chini ya NDALICHAKO, Real you are fighting the wrong enemy.
Hapa ndo mnaponikumbusha Luddism na chartism huko England.
I stand to be corrected.