Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

nikweli, ndalichako aondolewe kabisa na mfumo mzima wa necta ubadilishwe.
peri
===>Kuondoka ataondoka maana hakuna mtu atakae kaa pale milele,lakini tuliangalie suala hili kwa jicho la tatu,
1---ubora wa elimu yetu na ufaulu wa watoto wetu utabadilishwa na kuondoka kwa ndalichako?
2---Maslahi ya walimu yanarekebishwa na kiongozi mpya wa NECTA atakae kuja?
3---Uhaba wa madawati,Maabara na nyumba za walimu zitaletwa na kiongozi mpya wa NECTA?
===>Twende mbali zaidi jamani,Ndalichako ni mpimaji tu wa hiyo elimu
 
Last edited by a moderator:
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

NON SENSE..
Hapo umeyumba umeeleza hisia zako kuwakilisha wenzako, watu hawaajiliwi kwa vigezo vya dini yao..ikitokea huko mbele ukawa human resource utawaua wenzako. mabadiliko hayaji kwa namna hiyo. inaonesha kumkataa aliyekaimu kabla ya kuanza kazi.
 
Hakuna asiyekuwa na dini labda huijuwi maana ya dini. Hata kama huabudu basi hiyo ndio dini yako, kuto-kuabudu.

Nenda kajifunze ni nini maana ya dini kabla hujaongelea dini.

Ujinga wako ndo unakufanya hutaki kuelezwa ukweli na hutaki kubadilika. Kuto kuabudu nae ni dini! Kuanzia leo nakuona wewe "kiazi" tu!
 
Wrong. Mimi nilifanya kazi miaka mingi sana lakini sio Serikalini, kwa sasa ni semi retired (nachukuwa kazi moja moja za "consultancy", na nnakula nilichokichuma na nilichokirithi kwa wazee wangu, mashamba mkoa wa pwani na nyumba, Kariakoo, Ilala, Magomeni, Mbezi beach, Msasani na Sinza. Waliona mbali eeeh?

Kasoro mkia, kumbe pamoja na kumchukia Nyerere wazazi wako walifaidika katika uongozi wake. Kumbe wewe ni kikongwe maana umefanyakazi na ku retire, kwanini unatema pumba? Mtu kama wewe huwezi kuwa consultant maama huna hata punje ya hekima.
 
magohe
===>Hapo hamfanyi haki kabisa,tueimishane jamani,kuna kuna watu wanatuchonganisha wakati wao hawatimizi wajibu wao?
Tumuulize FaizaFoxy mambo kama haya:
1---Ameshawahi kuzitembelea shule kama Ilboru,Mzumbe,Kibaha na Tabora Boyz hivi karibuni?
2---Anajua kuwa idadi ya watoto wanaochaguliwa katika shule hizo wanaoripoti kwa wakati huu ambao wanakuwa wamefaulu sana ni wa ngapi?
3---Kama ni wote kwa nini?kama sio wote kwa nini?
4---Watoto hao wasioripoti kwenye shule hizo (Ilboru,Mzumbe,Kibaha,Tabora Boyz) wanaenda kusoma shule gani?

kaka utapoteza muda wako bure kuelimisha juha kama hilo.

hao jamaa huwa ni akili kuambiwa siku zote, kuchanganya za kwao huwa ni sawa na kuwatwisha zigo la misumari.

Ni mabaguzi hayo!!

Si kosa lao lakini ni mfumo tu na mambo wanayorithishwa bila wao kuyajua athari zake.
 
Kesho ni idd al hajji wtt wanafanya mitihani na form 2 tarehe 25/12/2013 watoto watafanya mtihani wa form 4 ndio uzuri wa serikali isiyo na dini
 
kaka utapoteza muda wako bure kuelimisha juha kama hilo.

hao jamaa huwa ni akili kuambiwa siku zote, kuchanganya za kwao huwa ni sawa na kuwatwisha zigo la msumari.

Ni mabaguzi hayo!!

Si kosa lao lakini ni mfumo tu na mambo wanayorithishwa bila wao kuyajua athari zake.
magohe
===>Kuna siku wataelewa tu,kuna vitu hawavifuatilii,na wanapovifuatilia wakipata ukweli huwa hawapeani feedback kwa wao kuona aibu,
Mathalani
Kuna kipindi waliunda kikosi kazi chao kwenda NECTA kujua ukweli kuhusu ufaulu na mfumo mzima wa usahihishaji wa mitihani,sidhani kama walikuja kutoa majibu ya kile walichoambiwa au kukutana nacho huko,ni vizuri kuwakumbusha ili wajue wapi wanakosea,ili twende sawa.
 
Last edited by a moderator:
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Unaonaje ukiongea na mwenye nnchi ili akupigie Chapuo nafasi hiyo uishike wewe?huenda ukakamilisha matarajio yako na nafsi yako ikapata amani.
 
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa inakaimiwa na Dr Charles Msonde aliyekuwa msaidizi wake.

Kwa mujibu wa Profesa Mukandala, ni kwamba Dr Ndalichako ameanza likizo ya utafiti (Sabbatical leave) ya mwaka mmoja kuanzia Oktoba mosi mwaka huu hadi Septemba 30 mwaka 2014 licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwepo shinikizo la kisiasa lilikuwa likimzonga Dr Ndalichako kutakiwa kujiuzulu.

Nawasilisha

Huyu mama hana tatizo. Ni mtu anayeheshimu na kuithamini taaluma yake.Tatizo ni siasa. Masisiem yamemuondoa ili yamweke ndiyo mzee (kilaza) atakayebariki ujinga wao wa `big results now' bila kushughulikia matatizo makubwa yanayoikabili sekta ya elimu nchini kama vile madai ya waalimu yaliyopuuzwa kwa muda mrefu sasa huku yakichota zaidi ya 10million kwa kusinzia bungeni.
 
NECTA ni kitengo cha Kanisa Katoliki

Lakini taratibu tutaibadilisha kuwa Tasisi ya uma
inshallah
 
NECTA ni kitengo cha Kanisa Katoliki

Lakini taratibu tutaibadilisha kuwa Tasisi ya uma
inshallah

Kwa hiyo kwa kuondolewa Ndalichako kitakuwa kitengo cha Bakwata au Answar Sunna? Sasa ni bora liende.
 
Hao ndiyo move ya Nape na Kinana pale Shinganga kuwa Watawajibusha Waziri wa Elimu kwa hali hiyo wameanza na Ma Ndalichako, siasa hizi bwana baada ya Kuanza na Waziri wao wanaanza na Mtendaji ngoja tuone move itaishia wapi
 
Hao ndiyo move ya Nape na Kinana pale Shinganga kuwa Watawajibusha Waziri wa Elimu kwa hali hiyo wameanza na Ma Ndalichako, siasa hizi bwana baada ya Kuanza na Waziri wao wanaanza na Mtendaji ngoja tuone move itaishia wapi
mwitendeone
===>Du kama ni hivi,basi nchi hii kuna ombwe la uongozi,NECTA wanapima waliofundishwa?alieshindwa kuwafundisha hawa waliofeli ndio anatakiwa awajibike au atuambie sababu ya kushindwa kwao kujibu mtihani.
 
Last edited by a moderator:
Sisi wa lile dhehebu tulidhani sasa atawekwa "mwenzetu" kukaimu na baadaye kuthibitishwa, kuna holaaa! Kwa mwendo huu, vita yetu na necta haitakwisha asilani.

................mwanamke hapigani 'vita' ! yake maneno na umbea !:busu
 
Dada FaizaFoxy unaitendea haki elimu yako endelea kuwapa darsa mama sisi tunakusoma vizuri hapahapa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom