Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Naona umekasirika. Ndalichako out.

Naona kijana unaruka ruka kwa shangwe kama vile umeshinda zawadi ya gari katika shindano la bahati nasibu.Aliyekuambia Dr Ndalichako kafukuzwa ni nani?Tuliza boli FaizaFox ameomba tu Sabhatical leave ili akamilishe majukumu yake ya Kimataifa akimaliza tu mtamwona tena Ofisini kwake pale Baraza la Mitihani la Taifa.Kama mlitegemea mngeanza kufaulu bila kusoma kwa juhudi baada ya Dr Ndalichako kuondoka poleni imekula kwenu because Dr Ndalichako is there to stay and she won't leave out of your baseless noises.Study hard my friend and believe me you will make it.
 
Hivi wewe kahaba Faiza Fox unatumiwa na wangapi, Maana mara Nape akutumie na sasa sijui nani tena anakutumia maana inaponekana huyu anayekutumia muda huu anakutumia vibaya. Embu acha huo mchezo mchafu wanaokufanyia maana kesho ni Eid El Hajj usije ukamkosea Mungu wako bure.

Nakumbuka huko NYUMA FaizaFox hakuwa hivyo kabisa,Sijui nani kamharibu siku hizi kaharibika huyo.
 
Ritz na FaizaFoxy
===>Nawaomba sana fanyeni haya ili mlisaidie taifa hili:
a---Watafuteni walimu wanaotoka kwenye shule za kiislamu ambao walishawahi kwenda kusahihisha mitihani ya darasa la saba,kidato cha nne,kidato cha sita,grade A ualimu na Diploma ualimu halafu muwaulize kama kuna chochote ambacho mnahisi kina walakini kuhusu usahihishaji wa mitihani hiyo
b---Waulizeni baada ya kutoka kusahihisha hiyo mitihani uzoefu wanaokutana nao huko unawasidiaje wao katika kuboresha au kuongeza mbinu za ufundishaji ili kuongeza ufaulu katika shule wanazotoka?
c---Fanyeni uchunguzi wa kawaida tu wa kiutawala,miundombinu ikijumuisha majengo,walimu pamoja na mazingira ya kusomea kati ya shule za kikristo na shule za kiislamu
d---Tembelea uwekezaji uliofanyika katika shule ya FEZA (ambayo ni ya waislamu) halafu linganisha mambo yafuatayo
i.Mazingira ya shule ya kiusomaji, Ubora wa walimu
ii.Uongozi wa shule
e---Fanya uchunguzi wa idadi ya shule kama FEZA ambazo waislamu wanazo,
f---Fanya uchunguzi wa idadi ya shule kama FEZA ambazo ziko chini ya makanisa
g---Fanya uchunguzi wa idadi ya shule (nursery,secondary) zilizopo kwenye makanisa na misikitini ukizingatia ubora wa miundombinu (madarasa,maabara,sehemu za michezo) na ubora wa walimu.
h---Fanya uchunguzi wa idadi ya vyuo vikuu kila mkoa vya kiislamu na kikristo ukizingatia ubora wa miundombinu (madarasa) na ubora wa walimu.
i---Kama ukiweza na si vibaya siku moja ingieni kwenye makanisa mkasikilize jinsi wanavyochangishana kuweza kutoa pesa mifukoni kwa ajili ya kuendeleza hizo shule na vyuo vikuu
j---Fanya uchunguzi wa kiwango cha ufaulu kati ya shule hizi (za makanisa na za waislamu)
===>Fanya uchunguzi kuhusu ufaulu katika shule za serikali kuanzia mwaka 1996 hadi 2012
a---Ubora wa shule hizo kuanzia mwaka 1996 kurudi nyuma na 1996 kuja 2012
b---Maslahi na moyo wa kujituma kwa walimu kuanzia 1996 kurudi nyuma na 1996 hadi 2012
c---Uwekezaji uliofanywa na serikali kwenye zile shule zilizokuwepo ie 1996 kurudi nyuma na 1996 hadi 2012
d---Ubora wa maatokeo ya wanafunzi,ubora wa uelewa wa wanafunzi hao hao na kiwango cha ufaulu katika shule za serikali zilizokuwepo kuanzia mwaka 1996 kurudi nyuma na 1996 hadi 2012
===>Unaweza ukaongeza vigezo vyako hapo ambavyo unahisi vinaweza vikaja na majibu ambayo yataweza kutupa picha ya wapi tumepotoka,na wapi tuko sawa.
===>Adui yetu tunamkimbia na anatumia huu udini kutugawa na kututawala kwa kutuchonganisha katika mambo yafuatayo:
a---Kutufanya tugombane sisi wananchi kwa chuki za udini,kwa kuwaaminisha waislamu kuwa wanaonewa wakati wao watawala hwathubutu hata kidogo kutimiza majukumu yao
b---Kuwafanya waislamu wasitimize majukumu yao ya kuwekeza kwenye elimu,huduma za afya na maeneo mengine kwa kuwaaminisha kuwa wananyonywa na kuonenewa na wakristo
c---Kuwafanya wakristo kuchukua tahadhari na kuongeza umakini katika kuwekeza kwenye elimu,huduma za afya na mambo mengine maana wanaona kabisa kuwa kama wasipofanya hivyo hali yao itakuwa mbaya sana.
Tuwe makinsana,tusaidiane jamani,nchi hii ni yetu sote,ukimuacha mtoto wa ndugu hajasoma au hana shughuli ya kufanya unatengeneza jambazi au gaidi wa kesho,lazima twende wote kwa pamoja.
 
Naona kijana unaruka ruka kwa shangwe kama vile umeshinda zawadi ya gari katika shindano la bahati nasibu.Aliyekuambia Dr Ndalichako kafukuzwa ni nani?Tuliza boli FaizaFox ameomba tu Sabhatical leave ili akamilishe majukumu yake ya Kimataifa akimaliza tu mtamwona tena Ofisini kwake pale Baraza la Mitihani la Taifa.Kama mlitegemea mngeanza kufaulu bila kusoma kwa juhudi baada ya Dr Ndalichako kuondoka poleni imekula kwenu because Dr Ndalichako is there to stay and she won't leave out of your baseless noises.Study hard my friend and believe me you will make it.

Tutahakikisha harudi.
 
Kwa kweli siasa itaharibu elimu ya nchi yetu, habari hii imenisikitisha sana ndugu yangu naumia sana

Iharibu mara ngapi?ingawa sijui hasa nani anahusika zaidi,lakini ninajua hakika baraza la mtihani hawatendi haki.Siwezi kusahau walivyonidhulumu alama na kunibambikia alama za chini kisa eti mtihani umevuja Dar adhabu tangu tunapewa watu wa pori. Ndio,japo waliniachia div II.Nimeenda chuo nimekutana na hao vipaji maalum hadi nikawashangaa kwani wepesi sana!kumbe ni mambo ya kubebwa bebwa tu na NECTA.Mi nasikitika sana wenyewe hatujielewi kazi kusifiana tu kwa ujinga.Hili baraza na serikali wote wale wale hakuna mwenye afadhali!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania imecharuka na kueleza kuwa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limekuwa likifelisha wanafunzi wa imani ya dini hiyo.

Jumuiya na taasisi hizo zimemtuhumu Katibu Mtendaji wa Necta, Joyce Ndalichako na watendaji wengine wa baraza hilo kwa madai kuwa wamekuwa wakihujumu matokeo ya mitihani ya wanafunzi wa Kiislamu.

Aidha, wamelaani vikali uvunjaji wa heshima kwa kuchoma moto makanisa wakati wa vurugu zilizotokea visiwani Zanzibar ambapo zimeitaka serikali kuunda tume huru kutoka pande zote makanisa, serikali na kikundi cha Uamsho ili kuwapata waliohusika na uhalifu huo.

Kauli hiyo imetolewa jana kwenye mkutano wa kuzindua waraka wa maoni ya Waislamu katika mchakato wa katiba mpya uliowashirikisha Waislamu wa jiji la Dar es Salaam.

Katibu Mkuu wa Baraza Kuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ramadhani Sanza, akizungumza katika mkutano huo alisema kila mwaka wanafunzi wa Kiislamu wamekuwa na matokeo mabaya hali inayotia mashaka kwamba yanachakachuliwa na Necta.


"Ufaulu mkubwa umekuwa ni kwa wanafunzi wa Kikristo huku wa Kiislamu wakionekana kufanya vibaya, tunajua huo ni mpango maalum unaofanywa na Necta wa kuwadidimiza kitaalum watoto wa Kiislamu na uislamu kwa ujumla," alisema Sanza.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Kiislamu Tanzania, Shabani Mapeyo, alisema Waislamu wanalaami vikali kuchoma moto makanisa wakati wa vurugu zilizotokea visiwani Zanzibar ambapo wameitaka serikali kuunda tume huru kutoka pande zote makanisa, serikali na kikundi cha Uamsho ili kuwapata waliohusika na uhalifu huo.

Mapeyo alisema kila upande uliohusika na kadhia hiyo kwa maana ya Wakristo, Waislamu na Serikali ushushe munkari na badala yake busara itumike ili kumpata muhusika wa uhalifu huo.

Mapeyo alisema atakayebainika kuhusika na jambo hilo achukuliwe hatua kali bila ya kujali wadhifa wake iwe katika chama, dini ama serikali.

"Fitina iliyopandikizwa baina ya Wakristo na Waislamu, Watanzania Bara na Wazanzibar zisipoangaliwa kwa umakini zinaweza kuvuka mipaka na kuenea nchi nzima na kuharibu hali ya nchi, hivyo ndugu zangu Waislamu tuwe makini tusije tukachokozwa na tukaingia katika vurugu hizo kirahisi," alisema Mapeyo.

Naye Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, akizungumzia suala la sensa, alitaka iundwe tume huru ambayo inawashirikisha Waislamu na Wakristo kabla ya Juni 20 mwaka huu.
Dada FaizaFoxy
===>Mimi mbona sioni sababu iliojatwa hapo?namoba unionyeshe!
 
Pumba zote za nini hizo? soma hapa: Home
FaizaFoxy
===>Adui yetu tunamuogopa kumtaja.
1---Walimu wabovu kuanzia vyuo vikuu mpaka kindergaten
2---Maadili kwenye elimu hakuna,uchakachuaji kwenye mitihani ya vyuo vikuu ni balaa tupu GPA feki za kutosha tu zimejaa kwenye vyuo vyetu,ukija kwenye shahada ya pili ndio balaa kabisa msomi mwenye elimu ya shahada ya pili ni sawa na wa kidato cha nne,hajui kitu mpaka unamuonea huruma.
3---Maslahi mabovu ya walimu (ambao wengi wao hawana ubora wa kutosha,wale ambao ni bora wamebakisha si zaidi ya miaka mitano kustaafu)
4---Nchi hii imejaa miti na mapori ya kutosha,jiulize kwa nini hatuna madawati ya kwenye shule zetu?
5---Jiulize kwa nini watoto wa hao viongozi hawasomeshi watoto wao shule za kata kama sisi?
6---Hao viongozi wenzenu ambao ni waislamu kwa nini hawapeleki watoto wao kwenye shule zenu za kiisalmu wanang'ang'ani kwenda Mazinde Juu,Kifungiro nk?
Wanatufitini tu hawa,sisi tunagombana wakati wao wanaendelea kututawala.
 
Uliona idara ipi inayoongozwa na Muislaa ikawa majanga? tunaona maendeleo tu. Hata nchi, alivyoshika nyerere ni majanga ya kufa watu, alipoingia Mwinyi "ruksa" "ruksa" 'ruksa". Kuingia Nkapa, mama yangu wee! hapo ndio mpaka nyumba za Serikali wakauziana kwa bei poa! Kuingia Kikwete? maendeleo kwa kwenda mbele, mabarabara, mashule, vyuo vikuu, utalii, biashara, wageni maarufu. Mambo waa waa!

Na huko nna uhakika akishika Muislaam tutaona mafanikio makubwa sana, ndugu zetu nyie bado, imani yenu haiwafundishi kuongoza mnafundishwa kuongozwa tu (kondoo).
FaizaFoxy sina tatizo lolote na muislamu yeyote kuongoza kitengo chochote ili mradi awe na vigezo vinaavyotosheleza kuongoza kitengo hicho tatizo langu mimi ni kumuondoa mkristo halafu umuweke muislam ina maana hapo hata leo Ndalichakoakisilimu akawa muislamu wewe hautakuwa na shida naye tena? mimi nilizani tunatakiwa tumwondoe mtu asiye na vigezo na tuweke mtu mwenye vigezo bila kujali dini yake Mbona waziri waelimu ni Muislamu? kama tatizo ni ukristo wa Ndalichako kwa nini msitumie uislam wa Kawambwa kumdhibiti Ndalichako? mimi nadhani tuangalie qualification za mtu tusiangalie dini.
LIPUMBA anasema ilibidi wamsaidie JK ili kuokoA jahazi siyo kwa sababu alikuwa na vigezo vya uraisi kwa kuwa tu alikuwa muislam lakini baadae alikiri kuwa lengo lao halikufanikiwa walitegemea JK atawabeba waislamu kwa sababu ni muislam wakasahau kuwa nchi inaongozwa kwa katiba ya Tanzania na sio Qurani wala Biblia
Alisema hawaoni matunda ya jitihada walizofanya kumnusuru Rais Kikwete asishindwe, kwani hata chini ya uongozi wake, Waislamu wameendelea kutothaminiwa.
msikilize hapa Lipumba Prof. Lipumba akiwa Msikitini na Siasa za Tanzania - YouTube
 
Last edited by a moderator:
Hivi zile namba za mtihani zinaonyesha jina la mwenye namba hiyo kuwa ni dhehebu gani? Sasa huo uonevu unatolewaje? Au ni kwenye ule ule mtihani wa dini tu?


Hiyo inakuwa favoured kwa shule zenye mchanganyiko wa Waislam na Wakristo lakini sio zenye Waislam watupu mfano Ubungo Islamic, Ridhwaa n.k
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Acha ujinga wewe Fox,hatuitaji dini hapo,tunahitaji elimu na ufanisi! kwan uislamu ndio unakuja kufanya kaz au ni mtu?
 
Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake. Sasa unadhani hiyo nafasi ikishikiliwa na muislamu huyo muislamu atawafanyia mitihani?

Kinawaza Ngono TU, Tutaingiza hata mtaala wa Vigodoro Kuwaridhisha.
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Acha ujinga na uchochezi wewe Fox,hatuitaji dini hapo,tunahitaji elimu na ufanisi! kwan uislamu ndio unakuja kufanya kaz au ni mtu?
 
Nafikiri sasa hapa itakuwa ni furaha kwetu kwani ni HITMA kwa kwenda mbele.

Haina haja ya kusoma maana mchawi wetu ametoka.
Ngoja niandae kanzu na kipedo changu kwani sasa necta kuingia kama masjid vile.

Tulianza na costech, ujenzi, nssf na sasa tumekamata baba lao necta.

mtakoma mwaka huu !!

no kibalaghashia no credit in your exams!!
Kwa staili Ile ile ya westagate mall !


*jina la mama yake mtume mohamad ni..........

*mtume alikufa mwaka gani vile............

*alitoka macca kwenda madina lini........

*alipigana vita kwa muda gani ili kuueneza uislam.............

* binamu yake aliyekuwa mkristo alikuwa nani............. na je katika vita ya kueneza dini ya kiiislamu alibahatika kumuua ?.............
 
Tutahakikisha harudi.

Unafurahisha kijiwe cha kahawa tu wewe FaizaFox.Dr Ndalichako atarudi na kama mtajifanya kuandamana FFU watawashughulikia tu kwa virungu mpaka akili zenu ziwakae sawa...Au mlisahau kilichompata yule........wenu?
 
Nafikiri sasa hapa itakuwa ni furaha kwetu kwani ni HITMA kwa kwenda mbele.

Haina haja ya kusoma maana mchawi wetu ametoka.
Ngoja niandae kanzu na kipedo changu kwani sasa necta kuingia kama masjid vile.

Tulianza na costech, ujenzi, nssf na sasa tumekamata baba lao necta.

mtakoma mwaka huu !!

no kibalaghashia no credit in your exams!!
Kwa staili Ile ile ya westagate mall !


*jina la mama yake mtume mohamad ni..........

*mtume alikufa mwaka gani vile............

*alitoka macca kwenda madina lini........

*alipigana vita kwa muda gani ili kuueneza uislam.............

* binamu yake aliyekuwa mkristo alikuwa nani............. na je katika vita ya kueneza dini ya kiiislamu alibahatika kumuua ?.............
magohe
===>Hapo hamfanyi haki kabisa,tueimishane jamani,kuna kuna watu wanatuchonganisha wakati wao hawatimizi wajibu wao?
Tumuulize FaizaFoxy mambo kama haya:
1---Ameshawahi kuzitembelea shule kama Ilboru,Mzumbe,Kibaha na Tabora Boyz hivi karibuni?
2---Anajua kuwa idadi ya watoto wanaochaguliwa katika shule hizo wanaoripoti kwa wakati huu ambao wanakuwa wamefaulu sana ni wa ngapi?
3---Kama ni wote kwa nini?kama sio wote kwa nini?
4---Watoto hao wasioripoti kwenye shule hizo (Ilboru,Mzumbe,Kibaha,Tabora Boyz) wanaenda kusoma shule gani?
 
Nasema ndalichakn kapunzike umeshatimiza majukumu yako uliyotumwa. Ngoja tuangalie na huyu aliyekuwa anakukaimu ataendeleza au ataacha sasa?. Tumelia na tumechoka sasa.
 
Back
Top Bottom