Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

tz udini umetawala......matokeo ya dr kikwete haya....
 
Nasikia aliwakwaza sana Viongozi wa juu wa CCM alipokuwa anataka kugomea ku-standerdize ili idadi ya ufaulu iongezeke na kutoa taswila nzuri ya Elimu hivyo kukifanya chama kiendelee kuaminika
Aiseee kuumbeee .ndo umenijuza wa kwetu.Labda ngoja wepewe wa upande wa pili ili nao wafaulu kama kweli ndo kigezo cha ufaulu. Apewe Hijjat Faza Foksii (Ali Shabaabu bini Boko Haramu)

 
Hakuna wahitimu wengi wa vyuo vikuu kama wakati huu wa Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete. Hilo liwanawauma sana, gap ya 83/17 inazidi kuondoka. Na bado.

kwa hiyo sheikh alhaji Jakaya Mrisho Halfani Kikwete kawabeba waislam? NEC yenu CCM iko kudidimiza ukristo?
 
Naona hoja zimewaishia ngoja nikachungulie Ikulu, washapata Juice?
 
Hakuna wahitimu wengi wa vyuo vikuu kama wakati huu wa Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete. Hilo liwanawauma sana, gap ya 83/17 inazidi kuondoka. Na bado.

FaizaFoxy,

Mie sitii neno nakusoma na miwani ya 3D huku nakula zangu Faluda, endelea kumwaga data na facts za haja.
 
Last edited by a moderator:
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Nchi hii waislam mbumbumbu type ya FaizaFoxy na Ponda ndiyo wanakwamisha maendeleo ya nchi.
 
Nachukia wanoutumia Ukristo kuwaumiza Waislaam, kama Nyerere na Ndalichako.

msimamo wa NEC ya CCM ni kudondosha ukristo! Kikwete kafanya favour kwa waislam, hongereni! Watanzania mnaosoma mjue msimamo wa CCM hapa
 
Huwa nacheka sana linapokuja suala la Waislam na serikali Chadema wote wanarudi CCM teh teh te!!

Halafu mnaota ndoto eti mtaitoa madarakani CCM.
Kwani CCM inauadui na Waislam?
 
FaizaFoxy,

Mie sitii neno nakusoma na miwani ya 3D huku nakula zangu Faluda, endelea kumwaga data na facts za haja.

mjumbe mwingine wa NEC ya CCM tayari keshafika. Angalieni mjue msimamo wa ndani wa CCM
 
Last edited by a moderator:
Nchi hii waislam mbumbumbu type ya FaizaFoxy na Ponda ndiyo wanakwamisha maendeleo ya nchi.

Miaka 24 mfululizo Nyerere alileta maendeleo yepi? zaidi ya kuiwacha nchi hohehahe!
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Mwambieni ponda afanye application. Atafaa sana kwenye hiyo nafasi.
 
Huu mjadala wa kizuzu kabisa kwani hauna maana yeyote.Wengi waliojadili humu wana kitu inaitwa UPUNGUFU WA KINGA KIFIKRA.Tatizo katika wanafunzi kufeli nchi hii haijawahi na haitawahi kusababishwa na necta bali serikali na sera zake mbovu za kutomjali mtoto wa maskini wa taifa hili.
 
Back
Top Bottom