Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,445
- 2,507
nlikuwa nasubiri post ya udini kama hii nijue msimamo wenu
kwa hivo akiwekwa muislamu ndio watafaulu sana wanafunzi au?
Nampongeza aliemteua anaekaimu kwa sasa
Bakwata undeni baraza lenu la mitihani na mjitenge na NECTA kama mnaona mnaonewa
nlidhani bibie Faiza ana upeo kumbe kichwani zero kabisa
kwa hivo akiwekwa muislamu ndio watafaulu sana wanafunzi au?
Nampongeza aliemteua anaekaimu kwa sasa
Bakwata undeni baraza lenu la mitihani na mjitenge na NECTA kama mnaona mnaonewa
nlidhani bibie Faiza ana upeo kumbe kichwani zero kabisa
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.