Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Mchukuweni chadema mpeni nafasi ya said arfi au zito kabwe.
 
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa inakaimiwa na Dr Charles Msonde aliyekuwa msaidizi wake.

Kwa mujibu wa Profesa Mukandala, ni kwamba Dr Ndalichako ameanza likizo ya utafiti (Sabbatical leave) ya mwaka mmoja kuanzia Oktoba mosi mwaka huu hadi Septemba 30 mwaka 2014 licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwepo shinikizo la kisiasa lilikuwa likimzonga Dr Ndalichako kutakiwa kujiuzulu.

Nawasilisha

Hakika "Siasa uchwara" inatuharibia Nchi!!
 
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa inakaimiwa na Dr Charles Msonde aliyekuwa msaidizi wake.

Kwa mujibu wa Profesa Mukandala, ni kwamba Dr Ndalichako ameanza likizo ya utafiti (Sabbatical leave) ya mwaka mmoja kuanzia Oktoba mosi mwaka huu hadi Septemba 30 mwaka 2014 licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwepo shinikizo la kisiasa lilikuwa likimzonga Dr Ndalichako kutakiwa kujiuzulu.

Nawasilisha

Huyu mama kulinda heshima yake na elimu yake ilikuwa aachie nafasi pale serikali ilipoamua kukarabati alama za matokeo ya mitihani ktk utaratibu wa kichina wa kuangamiza elimu.
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Umesikia Necta ni nyumba ya Ibada? The most pathetic comment I have ever read in this forum, and you call yourself a great thinker, shame.
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Dr. Ndalichako aliteuliwa lini? Uislam ulianza lini?

Bi. Mkubwa nilishakuambia huwaga unafikiria kwa kutumia akili za Kiarabu mno!
 
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa inakaimiwa na Dr Charles Msonde aliyekuwa msaidizi wake.

Kwa mujibu wa Profesa Mukandala, ni kwamba Dr Ndalichako ameanza likizo ya utafiti (Sabbatical leave) ya mwaka mmoja kuanzia Oktoba mosi mwaka huu hadi Septemba 30 mwaka 2014 licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwepo shinikizo la kisiasa lilikuwa likimzonga Dr Ndalichako kutakiwa kujiuzulu.

Nawasilisha

Kama ni kweli bas NECTA imepoteza mtu muhimu sana chuki binafsi za waislamu zisiingilie professionalism this is insane tukiendekeza itikadi hii inchi itaendelea kua maskini daima.
 
Hapana. hao hawawezi nafasi hiyo, tunao wataalaam wanaoiweza hiyo nafasi.

Hivi unajuwa kwanini kaondoka hapo? au unajifanya umesahau?

Mie mwenyewe Muislamu aliyesomea christian seminary. Unaweza kusema tu kuliko kuuliza maswali
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Pole kwa mawazo finyu uliyonayo. Tunakuombea Mungu akupe hekima.
 
Ayaaaaaaa kumbe ndo lengo hilo haya sasa majanga

Uliona idara ipi inayoongozwa na Muislaa ikawa majanga? tunaona maendeleo tu. Hata nchi, alivyoshika nyerere ni majanga ya kufa watu, alipoingia Mwinyi "ruksa" "ruksa" 'ruksa". Kuingia Nkapa, mama yangu wee! hapo ndio mpaka nyumba za Serikali wakauziana kwa bei poa! Kuingia Kikwete? maendeleo kwa kwenda mbele, mabarabara, mashule, vyuo vikuu, utalii, biashara, wageni maarufu. Mambo waa waa!

Na huko nna uhakika akishika Muislaam tutaona mafanikio makubwa sana, ndugu zetu nyie bado, imani yenu haiwafundishi kuongoza mnafundishwa kuongozwa tu (kondoo).
 
the devil is within them.
No, I think the devil is amongst us all. Instigating hatred and fear among people is the work of satan. Ukikaa na muislam atakuambia Uislam ni dini ya amani. Ukikaa na mkristo anakuambia msingi mkuu wa dini yake ni upendo. Huku kunyoosheana vidole kunatoka wapi kama si kazi ya shetani!
 
Sisi wa lile dhehebu tulidhani sasa atawekwa "mwenzetu" kukaimu na baadaye kuthibitishwa, kuna holaaa! Kwa mwendo huu, vita yetu na necta haitakwisha asilani.

uislamu na ukristo tangu lini ukaboresha au kuongeza ufanisi kwenye masuala ya msingi hasa elimu.?.unapoandika na kupost jambo humu jf jipange usikurupuke tu,au hujui kuwagawa watu kwa misingi ya dini ni dhambi?..uwe muislam au mkristo kama huwezi,huwezi tu.....
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

kupunguza machungu ni kuleta mtu mwenye sifa za kiutendaji zaidi ya ndalichako na si kutazama udini kama unavyoshauri.zaidi tutaongeza matatizo kama tutatumia kigezo cha udini.
 
Uliona idara ipi inayoongozwa na Muislaa ikawa majanga? tunaona maendeleo tu. Hata nchi, alivyoshika nyerere ni majanga ya kufa watu, alipoingia Mwinyi "ruksa" "ruksa" 'ruksa". Kuingia Nkapa, mama yangu wee! hapo ndio mpaka nyumba za Serikali wakauziana kwa bei poa! Kuingia Kikwete? maendeleo kwa kwenda mbele, mabarabara, mashule, vyuo vikuu, utalii, biashara, wageni maarufu. Mambo waa waa!

Na huko nna uhakika akishika Muislaam tutaona mafanikio makubwa sana, ndugu zetu nyie bado, imani yenu haiwafundishi kuongoza mnafundishwa kuongozwa tu (kondoo).

uislamu na ukristo tangu lini ukaboresha au kuongeza ufanisi kwenye masuala ya msingi hasa elimu.?.unapoandika na kupost jambo humu jf jipange usikurupuke tu,au hujui kuwagawa watu kwa misingi ya dini ni dhambi? .bado kidogo utaanza kulete hoja ya kama angekuwa mfupi/mrefu mambo yangebadilika.!!
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

ningekuwa na uwezo ningekupendekeza wewe ushike hiyo nafasi.
 
Kuna waliomtuhumu Ndalichako kwa kuigeuza NECTA kama Parokia. Has their wish been granted by Charles replacing Joyce? Tusubiri tusikie watasema nini.

Huyo anakaimu tu na yeye tunamtazama, ataendeleza parokia au atabadilika na kubadilisha mambo humo? akiendeleza na yeye hakai.

Hatutazami jina la mtu tunatazama vitendo vyake.
 
Never expected this from you madam, You can do better.
kweli ni kauli ya kusikitisha ikiwa ni dalili kuwa elimu yetu itaendelea kuwa na utata.
Hata hivyo Dr. Ndalichako hii inaweza kumshushia hadhi na hata yale mazuri aliyoyafanya huenda yakafunikwa, uamuzi sahihi ilikuwa ni kujiuzuru wakati ule walipofuta matokeo halali ya kitaaluma kwa misingi ya kisiasa.

 
Umesikia Necta ni nyumba ya Ibada? The most pathetic comment I have ever read in this forum, and you call yourself a great thinker, shame.

tena big shame. Anadhani pale ni sehemu ya kuswalia. Huyu m-dini sana ukisoma coment zake zote unachoka na kujiuliza kama ni akili ya m-tz tena great thinker.
 
Back
Top Bottom