Doppelganger
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,858
- 758
Tanzania haijaishwa na mapunguani!!Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Tanzania haijaishwa na mapunguani!!Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
mama mzazi alie kubeba wewe tumboni hakika anajuta bora hata angebeba chura kidogo ingekuwa na afadhari.lok!nuksi tupu ptuuu!!!!
El shabab
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Huna hoja ya maana??Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Wamesha sema, hujawasikia?Kuna waliomtuhumu Ndalichako kwa kuigeuza NECTA kama Parokia. Has their wish been granted by Charles replacing Joyce? Tusubiri tusikie watasema nini.
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Kama ni Moravian atakwenda na maji hiyo nafasi ni wavatican bwana!.Dr Msonde ni Mkristo tena Moravian mimi amenifundisha O Level namfahamu hadi ukoo wao.
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Mmmmh..Ila black w.i.d.o.w we umezidi bana na uzee wote huo bado zinakuwasha tu.Unaweza kuzaa kweli?Sema yatosha bibi.Tumekuchoka na laana yako ya ubaguzi.Nakukemea vikali sana ilo p.e.p.o likutoke mana unatia kichefuchefu.Wanajifunza kusema ukweli.
Ulitaka wajifunze matusi kama ufanyavyo? Kumbuka; bila mama'ko na baba'ko kuwa na hizo unazozisema usingekuwepo duniani.
Kama kila nafasi lazima ishikwe na Mwislaamu ndiyo msionewe basi mtafika mahali kumtaka hata Polcarp Pengo amalize ili ashike mwislamu.
Pambafu! Kwani umesikia NECTA wanajenga misikiti?!
Hapana, tunataka nafasi hiyo ishikwe na mtu yeyote mwenye uwezo bila kujali dini, rangi au kabila lake. Wewe unayefikiria dini yako bila kujali uwezo utashindwa tu na fitna zako.Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Utakuta mtu wa namna hii anaongoza taasisi flani nyeti kwenye serikali.sikujua kuwa wakati mwingine huwa tunajibishana kwenye hoja za kisiasa na mtu mwenye fikra fupi za namna hii....Ukweli uwezo wako kiakili ni wa kutilia mashaka na una chuki ambazo huwezi kukaa na mtoto ambaye si wako katika nyumba yako....
Kwa comment yako hii,umetia aibu na umeonesha wazi uwezo na upeo wako unapofikia
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Naunga mkono hoja nampendekeza PONDA
shukrani za pekee zimwendee Said Mtanda mbunge wa Mchinga ambaye alitajwa humuhumu jf juzi ku injinia mpango huo .
kwa maana ya kufanya utafiti wacha achukue likizo ili awe free, ni lazimz aitee doctorial yakem na kujiandaa kuwa prof, siamini kama waislam wanaweza kumtoa mtendaji wa serikali kwa mambo yao binafsi labda kuwe na movement behind,ila kuwepo au kuto kuwepo kwa ndalichako baraza la mitihani hakuwafanyi waislam au wakristo kufeli au kufaulu mitihani ta necta, binafsi sioni baya alifanya ndalichako dhidi ya waislam na uislam wenyewe kama atatoka necta itakuwa ni mipango ya kawaita kabisa na sio udini, kumbuka ndalichako ni presidential appointment anaweza kutengua uteuzi wake ni president pekee.
Hiyo nafasi mbona ndogo sana!!
Mkuu wako wa nchi ni muislam..Nini kipya?
Nasikia aliwakwaza sana Viongozi wa juu wa CCM alipokuwa anataka kugomea ku-standerdize ili idadi ya ufaulu iongezeke na kutoa taswila nzuri ya Elimu hivyo kukifanya chama kiendelee kuaminika
===>Ningependelea nafasi hii apewe Muislamu ili tuone kama inawezekana ile shule iliyopo pale SUWATA (Kariakoo) kama inaweza kutoa div i zoteTunasomeshwa kuhusu uadilifu toka madrasah, hapo hautuingii hata umalize vyuo vikuu vyote alivyotembelea Slaa.
Utakuta mtu wa namna hii anaongoza taasisi flani nyeti kwenye serikali.sikujua kuwa wakati mwingine huwa tunajibishana kwenye hoja za kisiasa na mtu mwenye fikra fupi za namna hii....Ukweli uwezo wako kiakili ni wa kutilia mashaka na una chuki ambazo huwezi kukaa na mtoto ambaye si wako katika nyumba yako....
Kwa comment yako hii,umetia aibu na umeonesha wazi uwezo na upeo wako unapofikia
Tena AlshababuaTunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Mu country Tanzania where are we heading?! Only God knows (BTW not Allah kwasababu kule Malaysia ni WAISLAMU tu wanaruhusiwa kutamka neno Allah. Non-muslims ukitamka neno Allah it is an offense punishable before the court of law!)
we bibi kajipange mnaonewa kivipi?? mimi nimesoma na waislam vichwa na kweli walifaulu hivo hivo kwa max za juu tulizotarajia ss unaposema walionewa em fafanua....pepa zinasahihishwa zikiwa na namba za mtihani si majina, hata hivo hamna mtu mmoja anaesahihisha maswali zaidi ya mawili mtihani mzima, ss em niambie huyo director(ndelichako) atafanyaje fanyaje ili kukata max za hao waislam???
kama ni seminary za kiislam kushika mkia, hilo lipo wazi hata katika level ya mock hushika mkia hivo hivo, hata kwa kanda hua hivo hivo na kwote huko husahihishwa na jopo la walimu wanaotoka katika shule hizo ndani ya hiyo kanda(including from those islamic seminary)