Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar

NN, kuna ni na wadada? Wiki hii umewakalia kombo. Kila toleo ni wao! kulikoni
 
Huyu mtoto wa Rais ndie anaonekana kuwa mpinzani wa kweli toka moyoni wa huu utawala uliopo, wengine wamejiegesha tu kwenye upinzani wajaze matumbo yao.
 
Huyu mtoto wa Rais ndie anaonekana kuwa mpinzani wa kweli toka moyoni wa huu utawala uliopo, wengine wamejiegesha tu kwenye upinzani wajaze matumbo yao.
Huwa anaongea kwa hisia kutoka moyoni,.........wengine nahisi wanaongea kinafiki
 
Hakika Tundu Lissu ni turufu pekee kwenye uchaguzi huu, ndiyo watawala wanamuwinda sana amekuwa mwiba sana.

Msikilize
 
Kuna wakati najiuliza hivi upinzani ni fikira za kusadikika au ni fikira zinazo ishi

Kama kweli chama cha ACT WAZALENDO

Kilikuwa na nia ya kushirikiana na chadema kilipaswa kuachana na mpango huu kilipaswa kiseme tunaungana na chadema kwenye uraisi

Na kwenye ubunge wangetengeneza majimbo ya kimkakati hii ingeonyesha hapa ndio upinzan unakuja na maono ya kukua sasa na nyinyi mnachagua tena wagombea ili wakashindane na ccm au chadema

Inawezekana walio chagua upande mapema hata kama maamuzi yao yalionekana ya kipuuzi kuliko mnao chagua kugawana kura


Au chama cha Act ndio walitaka wasimamishe mgombea na wakati chadema ila raslimali watu

Kweli adui wa upinzan ni wapinzan wenyewe
Kwa nini CHADEMA wasiunge mkono ACT ? Acha ubinafsi na kujiona ninyi ndio wenye haki tuu ya kusimamisha mgombea urais kupitia Muungano wa Upinzani kwenye kila uchaguzi mkuu.
 
Kwa nini CHADEMA wasiunge mkono ACT ? Acha ubinafsi na kujiona ninyi ndio wenye haki tuu ya kusimamisha mgombea urais kupitia Muungano wa Upinzani kwenye kila uchaguzi mkuu.
Naona kama vile unajibu kwa kufoka

Naomba nikuulize kwann chadema iunge upande wa act?

Ukinipa jibu nitaungana na wewe katika hoja unayo taka iwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom