Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 7,424
- 9,358
Hakuna joint venture?
Ngoja tule mtori nyama ziko chini
Hakuna joint venture?
Shangazi shangazi shangazi 😋
Nawapenda.NN, kuna ni na wadada? Wiki hii umewakalia kombo. Kila toleo ni wao! kulikoni
Sijasema kuna ajabu!Wewe NYANI kuna ajabu gani hapo?
Huwa anaongea kwa hisia kutoka moyoni,.........wengine nahisi wanaongea kinafikiHuyu mtoto wa Rais ndie anaonekana kuwa mpinzani wa kweli toka moyoni wa huu utawala uliopo, wengine wamejiegesha tu kwenye upinzani wajaze matumbo yao.
Mtei katona CCM.ACT - Home of Rejects
Kwa nini CHADEMA wasiunge mkono ACT ? Acha ubinafsi na kujiona ninyi ndio wenye haki tuu ya kusimamisha mgombea urais kupitia Muungano wa Upinzani kwenye kila uchaguzi mkuu.Kuna wakati najiuliza hivi upinzani ni fikira za kusadikika au ni fikira zinazo ishi
Kama kweli chama cha ACT WAZALENDO
Kilikuwa na nia ya kushirikiana na chadema kilipaswa kuachana na mpango huu kilipaswa kiseme tunaungana na chadema kwenye uraisi
Na kwenye ubunge wangetengeneza majimbo ya kimkakati hii ingeonyesha hapa ndio upinzan unakuja na maono ya kukua sasa na nyinyi mnachagua tena wagombea ili wakashindane na ccm au chadema
Inawezekana walio chagua upande mapema hata kama maamuzi yao yalionekana ya kipuuzi kuliko mnao chagua kugawana kura
Au chama cha Act ndio walitaka wasimamishe mgombea na wakati chadema ila raslimali watu
Kweli adui wa upinzan ni wapinzan wenyewe
Naona kama vile unajibu kwa kufokaKwa nini CHADEMA wasiunge mkono ACT ? Acha ubinafsi na kujiona ninyi ndio wenye haki tuu ya kusimamisha mgombea urais kupitia Muungano wa Upinzani kwenye kila uchaguzi mkuu.
Nashukuru kwa ushauri bosi.Mtei katona CCM.
Mbowe katoka CCM.
Lema katoka TLP
Lissu katoka NCCR Mageuzi.
Punguza kunywa kisusio kilicho chacha