Acha kupanua mdomo asubuni asubuhi ww,jibu swali,kwa hiyo hakupigwa risasi?Yako wapi makovu? Acha kupiga ramli,waeleze yako wapi makovu?
binadamu bana sijui kwa nini ni wagumu namna hii,hivi hizi picha tu zinaweza kufanya ujue wapi pana kovu la risasi na wapi hakuna umemgeuza geuza Lissu mwilini{kwenye hizo picha} hukuona makovu?Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.
Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763
Hii imekaaje?
Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.
Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763
Hii imekaaje?
Risasi 38, bado yupo hivyoo ?!Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.
Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763
Hii imekaaje?
Wenye akili zaidi lazima wadadisi !Wenye akili wako busy Na kutafuta pesa, wewe makovu yanakusaidia nini?
Akili si za kutafutia pesa tu, hata kutongoza unatumia akili.Wenye akili wako busy Na kutafuta pesa, wewe makovu yanakusaidia nini?
Ukitaka kwenda kwenye details ndio utataja paja, ni sawa na uambiwe mtu yule halafu uulize jicho linakaa wapipaja linakaa wapi??
Dola 300,000 zimeshatumika kovu utaliona wapi, akirudi Dar hata mbio za marathon km42 ataweza






. Kweli pesa ina nguvu. Angekuwa kapuku huyu angekuwa keshakufa zamani. Tutafuteni pesa kwa nguvu zote aisee !!!Waambie wenzio ambao hawataki kabisa kuhoji jambo lolote kuhusu lisu. Inatia shaka sana
Tofauti kati ya tajiri Na masikini ni namna yao ya kufikiriAkili si za kutafutia pesa tu, hata kutongoza unatumia akili.
Vipi umeambiwa police hawajafanya uchunguz?Wenzangu wakina nani? Kuna watu wengi nanifanana nao mitazamo hapa jukwaani, siwajui wala hawanijui na mawazo na mitazamo yangu kuoona na wao ni coincodence tu na sio jambo la kupangwa kiasi sio rahisi kufanana kwa kila kitu kama gwaride la jeshi.
Ninavyojua Lissu alipigwa risasi, ni ngapi zilimpata mwilini sijadhibitisha mimi binafsi zaidi ya ninazoambiwa. Kwenye picha ninazoona mtandaoni sioni kovu, labda kutokana na mkao wa picha, mpigaji hajapiga hayo maeneo yenye makovu. Kama ni jambo linalohitaji udhibitisho basi seheme zenye makovu zipigwe zionekane pia ili kutoa utata. Swali dogo bwana Misuli, baada ya makovu kuonekana au kutokuonekana polisi wataanza uchunguzi?
Kitu ambavyo huamini ni nini!? Alipigwa risasi au hakupigwa!? Alifanyiwa operation na kutolewa hizo risasi 17 .... au ulitaka umuone amekonda mpaka kichwa kama mgonjwa wa ukimwi ndiyo uamini. Kwa nini usiende Nairobi ujionee mwenyewe!!?Mie niliwahi kubishana ma watu tukiwa nairobi kamkunji,baada ya picha ya lissu ya kwanza kuwa imetoka,kuna mtu alihoji kw nn lissu anaonekana ni mnene na ana afya njema wakt alikuwa anapumua kw mashine na kula kw mpira kw miezi miwili?! Walimpolomoshea matusi ya juu,lkn mie niliwaambia wampe majibu badara ya kutukana.