Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Kuna watu wangesikia Tundu Lissu amepigwa risasi kafariki Dunia wangefurahi sana.

Mungu Baba wa Mbinguni wasamehe hao wenye mawazo potofu kama huyu mleta mada.

Muimarishe Mh Tundu Lissu apate kupona na kurudia afya yake aendelee na majukumu yake.

Roho zote za visasi na husda zipate kushindwa Ameen.
 
Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.

Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763

Hii imekaaje?
Inaelekea ulihusika
 
Mkuu hata mimi naamini kwamba Lissu kapigwa risasi, na kwa mujibu wa maelezo kuna risasi zilipiga mguu wa kushoto, mkononi na maeneo mengine ya mwili wake. Ila hata mimi kwa hizi picha sioni mahali penye kovu. Wangalau mpiga picha angejitahidi kupiga mguu huo wa kushoto vizuri ili kuondoa shaka shaka. Na kama ametibiwa vizuri kiwango cha kutuoonyesha makovu ni suala la kupata maelezo ya kidaktari. Hata mimi sioni haja ya kubishana iwapo tunataka kupata ukweli. Ni vyema hao wanaompiga Lissu picha wakapiga na eneo lenye makovu ili kutoa hii shaka inayojitokeza, bado hutajafikia kuzuia wenye kutaka kuhoji maana hata mimi napenda kuhoji na kupata majibu sahihi.
Waambie wenzio ambao hawataki kabisa kuhoji jambo lolote kuhusu lisu. Inatia shaka sana
 
..mbona hamkumkagua Mzee Kikwete makovu ya upasuaji aliofanyiwa?

..hivi mnataka kubishana mpaka kama TL amepigwa risasi au la?

..kwanini msiulize Madaktari wa serekali waliomtibu Dodoma walimkuta na risasi wapi?

Cc tindo
Mkuu huhitaji kuishi kama mpiga ramli.Tumeambiwa lisu alipigwa Risasi 38 na 8 ndo zilizompata.Zingine mikononi na zingine miguuni.Tulitegemea ktk picha tuone maeneo aliyopigwa na hakukuwa na shida ya kuficha coz ni accessible. Ni swali lenye logic kabisa,huhitaj kukarr kila kitu hata yesu aliwaonesha wale matomaso makovu ndo wakaamini.Kingine Mbowe anadai Bado Risasi moja haijatolewa,hiyo risasi haijatolewa wapi?Kumbuka tukio limetokea mwezi wa Tisa huko now ni miez minne kasoro,ni kweli inawezekana risasi kukaa mda wote huu?
 
Matomaso waende na Nairobi au wansubiri akirudi Tz kwani kwa kawaida ya " Matomaso" hawaamini mpaka .......kama alivyokuwa Tomaso (original)
Mbona mnakua wakali na mnaforce watu wakariri?Kwa kupenda kiki,hayo makovu yangekuwepo mngeyasambaza kwenye mitandao na kupiga kelele sana.Huyo lisu inatakiwa akahojiwe na akina zuhura Yunus.
 
Mkuu huhitaji kuishi kama mpiga ramli.Tumeambiwa lisu alipigwa Risasi 38 na 8 ndo zilizompata.Zingine mikononi na zingine miguuni.Tulitegemea ktk picha tuone maeneo aliyopigwa na hakukuwa na shida ya kuficha coz ni accessible. Ni swali lenye logic kabisa,huhitaj kukarr kila kitu hata yesu aliwaonesha wale matomaso makovu ndo wakaamini.Kingine Mbowe anadai Bado Risasi moja haijatolewa,hiyo risasi haijatolewa wapi?Kumbuka tukio limetokea mwezi wa Tisa huko now ni miez minne kasoro,ni kweli inawezekana risasi kukaa mda wote huu?
Hahaha... Enhe ukiona then what?
Kwa taarifa nilizopata ni kuwa lisu hakupigwa risasi..ila alipigwa kwa maparachichi
 
Baadhi ya sehemu alizopigwa risasi zilidhurika sana kiasi cha madaktari kutoa nyama na ngozi sehemu nyingine na kuweka sehemu zilizodhurika. Huwezi kuona kovu hapo......
Jamaa ana akili ya ujima
 
Mbona mnakua wakali na mnaforce watu wakariri?Kwa kupenda kiki,hayo makovu yangekuwepo mngeyasambaza kwenye mitandao na kupiga kelele sana.Huyo lisu inatakiwa akahojiwe na akina zuhura Yunus.


Mimi si katika hao
ila nionavyo ni kama ninyi mnatuchosha hapa katika jukwaa kwa kuleta malumbano yenu halafu kila mmoja wenu analazimisha (sio kutamani /kushawishi) jukwaa zima liwe upande wake.
 
Mimi si katika hao
ila nionavyo ni kama ninyi mnatuchosha hapa katika jukwaa kwa kuleta malumbano yenu halafu kila mmoja wenu analazimisha (sio kutamani /kushawishi) jukwaa zima liwe upande wake.
Hoja ni yako wapi makovu? Mbona ni swali simple sana na mwenyekiti anadai kuna risasi moja bado hawajaitoa hahahahah msiwafanye watanzania wapumbavu.
 
Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.

Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763

Hii imekaaje?
Muulize speaker ambaye alikuwepo Dodoma pale hospitali,au nenda Kenya ukaichunguze miguu yake,na usiporidhika mmiminie nyingine ili yaonekane makovu unayoyapenda.
 
Wenzio waliacha uchawi 2017 wewe uchawi wako umevuka nao mwaka mpaka unawangia makovu ya risasi...chaaa!
 
Hoja ni yako wapi makovu? Mbona ni swali simple sana na mwenyekiti anadai kuna risasi moja bado hawajaitoa hahahahah msiwafanye watanzania wapumbavu.


Matomaso waende na Nairobi au wansubiri akirudi Tz kwani kwa kawaida ya " Matomaso" hawaamini mpaka .......kama alivyokuwa Tomaso (original)
 
Swali la kitabibu peleka jukwaa la JF Doctor...

Btw kovu huweza kufutwa lisionekane...
 
Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba hakupigwa risasi?
 
Jibu ni rahisi sana. Onyesha kovu lilipo na sio kuleta usanii wa kumfanya Lissu Mtaji wa Sacco's yenu.
 
Jibu ni rahisi sana. Onyesha kovu lilipo na sio kuleta usanii wa kumfanya Lissu Mtaji wa Sacco's yenu.
kawaambie waliotoa camera kule dodoma wakuoneshe makovu
 
Back
Top Bottom