Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.
Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763
Hii imekaaje?
Mkuu unauliza makovu ya risasi baada ya kuulizia kwanini amevaa deraKuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.
Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763
Hii imekaaje?

Mkuu hapa sioni uchungu wowote wa hili swali kwa upinzani. Hili swali ni la kijinga, kabla ya kuuliza hili swali angeuliza kwanza ni sehemu gani ya miguu iliyopigwa risasi. Kama Lissu alipigwa risasi sehemu za juu ya magoti kwenye hiyo picha utaonaje kovu? Hata mkono wake wa kushoto ulijeruhiwa pia kwa risasi lakini ni vigumu kwenye picha kama hiyo kuona kovu. Kama muuliza swali ana hamu sana ya kuona hayo makovu, aende kumtembelea Lissu huko hospitali na aombe kuona hayo makovu.Ili swali kwa watu wa upinzani kwao ni chungu, Ila tabia hii ya maswali ya hivi wanayo sana vijana wa Chadema
Kwa mwonekano kuna haja gani yakuendelea kukaa wodini? na kama ni lazima Kwanini asirudishwe mwananyamala hospital?Mkuu hapa sioni uchungu wowote wa hili swali kwa upinzani. Hili swali ni la kijinga, kabla ya kuuliza hili swali angeuliza kwanza ni sehemu gani ya miguu iliyopigwa risasi. Kama Lissu alipigwa risasi sehemu za juu ya magoti kwenye hiyo picha utaonaje kovu? Hata mkono wake wa kushoto ulijeruhiwa pia kwa risasi lakini ni vigumu kwenye picha kama hiyo kuona kovu. Kama muuliza swali ana hamu sana ya kuona hayo makovu, aende kumtembelea Lissu huko hospitali na aombe kuona hayo makovu.
What are you trying to say folk?Mbona hata vibao vya DAB havikuacha makovu lakini hiyo haiondoi fact kwamba Jajji alikula mkong'oto?
Mkuu mimi na wewe.siyo madaktari, hatuwezi kujua kwa muonekano tu, kuna mambo mengine yanahitaji utaalamu zaidi ya kuona kwa macho. Kuna watu wengine ukiwakuta hospitali walivyo utadhani wamekwenda kuwaona wagonjwa, kumbe wao ndiyo wagonjwa.Kwa mwonekano kuna haja gani yakuendelea kukaa wodini? na kama ni lazima Kwanini asirudishwe mwananyamala hospital?
hahaaaa mimi nakupendeaga hapo tuWenye akili wako busy Na kutafuta pesa, wewe makovu yanakusaidia nini?
Pamoja na usanii wa madaktari wa hospitali ya mkoa wa Dodoma wakishirikiana na wale wa Nairobi Kenya, spika wa bunge na naibu waziri wa afya. Mbowe na CHADEMA peke yao wasingeweza kufanya huo usanii!!LISU HAKUPIGWA RISASI NI USANIII TU WA MBOWE NA CHADEMA.
Kosa lake ni kama lako tu. Kwa nini atuulize jf yalipo makovu ya Lissu? Kama ana shida na hayo makovu aende hosp.Retired
Lkn kosa lake ni nini huyu mtu!!?? Kuuliza makovu ya risasi yalipo??!! Km yeye hayaoni na wewe unayaona c umwelekeze ayaone,matusi wala hayahitajika pale.