kashinje juma
JF-Expert Member
- Apr 20, 2017
- 706
- 544
Soma vzr unielewe ndio unijibu,usikurupuke tu kunijibu bira kuelewa nilichoandika na kumaanisha.lKitu ambavyo huamini ni nini!? Alipigwa risasi au hakupigwa!? Alifanyiwa operation na kutolewa hizo risasi 17 .... au ulitaka umuone amekonda mpaka kichwa kama mgonjwa wa ukimwi ndiyo uamini. Kwa nini usiende Nairobi ujionee mwenyewe!!?
