Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Kitu ambavyo huamini ni nini!? Alipigwa risasi au hakupigwa!? Alifanyiwa operation na kutolewa hizo risasi 17 .... au ulitaka umuone amekonda mpaka kichwa kama mgonjwa wa ukimwi ndiyo uamini. Kwa nini usiende Nairobi ujionee mwenyewe!!?
Soma vzr unielewe ndio unijibu,usikurupuke tu kunijibu bira kuelewa nilichoandika na kumaanisha.l
 
Mimi siyo mfuasi wa Lissu wala Chadema ila swali lako ni lakipuuzi sana na linasadifu umbumbumbu wako, hayo makovu ulitaka yaonekane maana yaliandikwa na oil chafu au?
Kwani kuna mtu kakwambia ni mfuasi wao bali kauli yako imethibitisha
 
Mie niliwahi kubishana ma watu tukiwa nairobi kamkunji,baada ya picha ya lissu ya kwanza kuwa imetoka,kuna mtu alihoji kw nn lissu anaonekana ni mnene na ana afya njema wakt alikuwa anapumua kw mashine na kula kw mpira kw miezi miwili?! Walimpolomoshea matusi ya juu,lkn mie niliwaambia wampe majibu badara ya kutukana.
Hapo unaona umetoa mwenyewe,!
 
Kwahiyo hakupigwa risasi???? Kunavitu vinaudhi hadi watu wanaweza kuvaa mabomu ili liwalo na liwe
Pole pole ndugu yangu. Hata ukivaa mabomu ni kazi bure. Utaiacha dunia inakwenda tu na hao uliowavalia mabomu wataendelea kufanya kile kile kilichokufanya uvae mabomu...na unaweza kuta hata hao mabikra 72 hawapo !!!
 
Hata wao hawajui makovu yako wapi,kilichobaki ni hasira tu.Hawa jamaa kuwaongoza rahisi sana coz thinking capacity yao iko chini sana.Swali muhim kama hili mtu hataki kuhoji.Huwa nawaambia kuna vitu vingi sana kuhusu lisu ukijiuliza hupat majibu bas tu.
Yaani huo upuuzi unaita swali muhimu!
 
Mimi akili yangu imekataa kabisa kukubali Kuwa Huyu jamaa alipigwa risasi Kumi na sita
 
. Kweli pesa ina nguvu. Angekuwa kapuku huyu angekuwa keshakufa zamani. Tutafuteni pesa kwa nguvu zote aisee !!!
Mitihani inakuja kadiri ulivyo, huwezi shindana na Mungu kwa pesa.
Duwa ni kusema tu, 'Yaa Rabii Mola wetu tupe mitihani tutakayo imudu'
Sema: Amiin !
 
Ukiucheki mguu wa kulia utaona ulivyokaa katika angle ambayo inaonyesha uliumia sana,
nadhani hata kukunjika ni vigumu mpaka ufanyie mazoezi ya kutosha sana
 
Tofauti kati ya tajiri Na masikini ni namna yao ya kufikiri
Kuna maprofesa wana pata pesa ya kula tu, kuna ambao hawakwenda shule wameajiri watu.
Umaskini si fikra tu, bali na kujaliwa pia.
 
Makovu yako kwenye gari yake na yeye yuko hospitali. Nadhani umefurahi sasa
 
Waambie wenzio ambao hawataki kabisa kuhoji jambo lolote kuhusu lisu. Inatia shaka sana
Kama una mashaka katika tukio hili kwamba hakupigwa risasi basi akili yako ni ndogo sana, huwezi kuunganisha haya dot mbili. We unaliona hili tukio ni dogo sana au sio?, na kwamba wewe ni intelligent kuliko TISS yaani wameshindwa kugundua hili igizo wewe ndo umegundua kupitia picha ambazo hukupiga wewe. dahh ndo ma great thinkers wetu wa siku hizi. Mngeweka hoja nyingine hii ni ngumu sana inahitaji kujitoa ufahamu ili uitetee
 
Ili swali kwa watu wa upinzani kwao ni chungu, Ila tabia hii ya maswali ya hivi wanayo sana vijana wa Chadema
 
Back
Top Bottom