Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.

Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763

Hii imekaaje?
Itakua anajifanya tu hakuguswa na risasi.
 
Tomaso nae kama wewe tu sishangai awe peke'ake kutaka aone alama za misumari kwenye viganja vya mikono ya Yesu. Kuna wakupuuza we ni wa kwanza
 
Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.

Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763

Hii imekaaje?
Wanadanganya hakupigwa risasi mkuu, alimwagiwa maji ya baridi tu,
Najua umefurahi sana
 
Pole yake,

Kuna watanzania mamia kwa maelfu waliopata ajali za kila namna Ila hawageuzi makovu yao kuwa alama za kuombea kura.

Tumpime kwa uwezo wake Kama kiongozi mzalendo wa nchi hili Jambo ambalo Hana na sio kwa Hali yake aliyonayo baada ya kupitia aliyopitia.
Huwa nakufananisha na jingalao.

Wewe na yeye ni mke na mume ?
 
Kuna watu mna uelewa mdogo basi tu,Kovu uone ili iweje? Fanya yenye faida na wewe
 
Back
Top Bottom