Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,554
- 11,485
Nyama ya hamu meeeen
Usibadili bhana lolha ha ha haa, nitabadilisha kwaajili yako
Erickb52,
Asante kwa salamu zako za shukrani,
Najua kilichokukimbiza cc ni pale ulipofumaniwa na Nicas Mtei,
Karibu hayo tutayaweka sawa.
Pia kwenye jina langu hapo juu naomba uweke mpaka ili
niweze kuwa mbali kidogo na Bishanga, hii ni kwa ajili ya
usalama wangu; ......mkewe wa 10 .... Kongosho
amenitishia maisha.
Enjoy your day mwaya.
Hahahaaha TANMO siku hizi FP anajiita Fixed Point kama zamaniiiiiiiii
Halafu nilikuachia wewe ila nawewe ulivyo mzigo ukatoswa mazima hahahaaa umebaki kuniletea majungu tu huna lolote
Mara Preta mara Fixed Point mara nanii khaaaa
Nyama ya hamu meeeen
Tena nahisi binamu mtamu sana lol
Usibadili bhana lol
mi hapa siongei kitu, ngoja kati ya hawa waje wakujibu.... sweetlady, ladyfurahia, Passion Lady na charminglady
Nyama ya hamu meeeen
Tena nahisi binamu mtamu sana lol
Thank you meeen!
cousin, halafu ndio uliniambia nimchukue Erickb52 anisaidie kazi,,,,,,, kweli kwa style hii kazi zitafanyika kweli?????
Punguza munkari rafiki.