With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

Ndio umwache sasa mke wangu aisee kwanini unamfuatafuata?

Hivi mkeo Chocs hajakuambia mahusiano yetu aise ni binamu yangu so nina haki ya kuchat nae na kutoka nae bana

binamu upo? hakika nimekumiss sana binamu.......haswa vile unavonipaga sababu ya kucheka!!! barikiwa binamu yangu!


Binamu Paloma nimekumissije aise wacha tuu bana
Nipo binamu yaani sijakuona siku kadhaa mpaka karibu nipate bp na oilcom na shell na total kwa wakati mmoja
 
Last edited by a moderator:
Dear sweetlady
Ninaomba kukushukuru sana kwa kunitakia heri katika siku yangu hii ya kuzaliwa...Pokea thanks zangu!
Sina la kusema...ila umenifanya nirudi kundini kwangu (Chitchat) coz ni miezi kadhaa sasa tangu niwe nje ya jukwaa.
Thanks for your love and care.
Nichukue fursa hii kuwashukuru wanaJF wote toka maujukwaa yote bila kuwasahau mods wote Invisible , Paw , Moderator na wenzao.

Niliwamiss sana wapendwa The Boss thanks sana, watu8 Baba V mimisa Paloma sosoliso PakaJimmy TANMO Heaven to earth babaa Arushaone shem shansarie na mumewe kiwatengu Arabela YNNAH Mamaa KOKUTONA Mamndenyi Bishanga (Miss you mkuu) Slave , Lisa snowhite Blaki Womani (Miss you sister) Filipo Mungi marejesho LiverpoolFC Mr Rocky (Tukutane Meatu tukagawane watoto wetu) ladyfurahia (Sister Upooo?) Nivea (Hajambo KakaKiiza ?) Mrembo by Nature (Miss you), Mentor (Wapi dada yako beibe nasty ?) Block City KakaKiiza (Thanks bro), Lady doctor (Miss kiwowowo) bila kumsahau Preta na mumewe mtu chake Madame B (LongTime mdada) Nicas Mtei(??) charminglady na Elizabeth Dominic (Nawamiss sana jamani) Vin Diesel ???.
Duh ni wengi sana....jamani nawashukuru wote na niliwakumbuka sana hasa The secretary (Salamu kwa mtoto).
Dada zangu Fixed Point Roulette na AshaDii nawamiss sana.
Pia ninawashukuru sana wake zangu kwa mapenzi yao ya dhati kwangu....Asante sana Amyner (Miss you) Chocs (You are ma number 1), Kipipi (Mwaaaaah) Remmy (Thanks for caring).
sweetlady thanks a lot kwako na kwa mumeo nitonye ....!
Bishanga tuonane baadae.

Mdogo wangu beibe nasty anakuhusu nini!???
 
Last edited by a moderator:
and laying is a proffessional like any any other ,so not all are lairs and not all are solders

Kosea njia utaelekezwa, lakini usikosee lugha...tuliza kichwa unapoandika comment ya jf. #sijakuelewa Nivea
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom