With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

sweetlady

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
16,947
8,409
Happy birthday to you
Happy birthday to you
Happy birthday dear Erickb52
Happy birthday to you!!!


How old are you now
How old are you now
Happy birthday, happy birthday
Happy bitthday to you!!!



Dear Erickb52

Hoping that this day will be a special one for you,

A day for looking forward to the things life holds in store,

A day to hope your future brings just what you are wishing for and

May you find joy in every moment, every hour of your special day


Happy Birthday!!!!


Wapendwa wana chit chat na jf kwa ujumla, naomba niwaite kwa itifaki tuje tuungane na kufurahi pamoja na ndungu/rafiki yetu kipenzi Erickb52 katika siku hii muhimu sana kwake....... Namwita

Baba kipenzi watu8 na mama mpendwa measkron

Baba wa mwanangu Nicas Mtei

Mabinti wa baba na mama kipenzi charminglady, Passion Lady na WiseLady

Madada binamu Lady doctor na ladyfurahia

Pacha wangu wa ukwee TANMO.... ...bila kumsahau kaka mpendwa Davie S.M

Swahiba wangu wa rohoni Husninyo (nakumiss sana ujue eeh)

Mawifi wapendwa AshaDii, Blaki Womani na @FP

Wake wenza King'asti, marejesho na Lily Flower

X husb Vin Diesel na nitonye

Jirani yangu wa pekee Preta

Makamanda wa ukweli Crashwise, Filipo, LiverpoolFC, Mungi, Arushaone, Mwita Maranya, Yericko Nyerere, Fidel80, Mzee wa Rula, PakaJimmy, @MD 25, Ben Saanane, Ruttashobolwa, Masanilo, Mr Rocky na Baba V

Jamani kwenye hii party magamba pia mnakaribishwa kwa moyo mkunjufu Ritz, Rejao (upo kaka?) FaizaFoxy, HAMY-D, zomba, M23, njia panda, babayako na wengineo .....ila hala hala msijekuja na mabomu manake huu sio mkutano wa chadema na plz suti za kijani na manjano ni marufuku

Mashosti nyie haswaaa ndio mwatakiwa kwaajili ya kupokezana kumbeba baby boy Erickb52..... Madame B, Paloma, Mamndenyi, amu, Arabela, @YINNAH, cacico, BADILI TABIA, Nivea, sister, Mrembo by Nature, Kongosho, snowhite, Kipipi, KOKUTONA, Elizabeth Dominic, Lisa, mimisa, Dena Amsi, The secretary, Heaven on earth, Queen Kan , Chocs na wengineo


Wakaka pia uwepo wenu ni wa muhimu sana Kaizer, Asprin (hivi wewe ni kaka au mjomba? Sikumbuki vizuri ujue), Mtambuzi, The Boss, BAK, KakaKiiza, MziziMkavu, uporoto01, Nyani Ngabu, Slave, Katavi, Chimbuvu, Bishanga, kiwatengu, sosoliso, Mtoto halali na hela, Mentor, Bujibuji, Dark City, figganigga, Eiyer, sijui nini na wengineo..... Shemeji Paw sijakusahau nakuona macho yalivyokutoka mwambie na Invisible nae anakaribishwa sana!

Wapendwa kama sijakumention am sorry but hiyo haimaanishi kuwa hujakaribishwa kumwimbia mtoto Erickb52, nyote mnakaribishwa

Erickb52 tunakupenda na tunafurahi pamoja na wewe, Mungu akupe maisha marefu........ Mwaaaaaaaaaaah!
 
Last edited by a moderator:
Happy Birthday Sweetheart
May you grow healthier and wiser too
Wishing you joy and Happiness my Erickb52
 

Attachments

  • images (12).jpg
    images (12).jpg
    9.1 KB · Views: 143
  • download (6).jpg
    download (6).jpg
    7.8 KB · Views: 251
Last edited by a moderator:
Kwa niaba ya mahabuba wangu Lady doctor, tunakutakia kila la kheri katika kumbukumbu yako ya kuzaliwa swahiba wangu Erickb52.

Siku hazigandi ni mwaka jana tu tulisherehekea miaka yako 73 sasa ushagonga 74 !!



MUNGU akupe maisha marefu best.
 
Last edited by a moderator:
Happy Birthday kijana, Mungu amekufikisha leo punguza kuchovyachovya ili na mwakani tusherehekee tule na kunywa kama leo...
 
Back
Top Bottom