Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Last edited by a moderator:
Jamani tuko kwenye maraha ya kumwimbia mtoto, we Block City mbona unampigia mtoto makelele? Ntamwambia red brigade Filipo akutoe nje sasahivi
Kumbe katoto eeh?
Ndo maana hakajaseto dauni...
Hebu kape mawaiza ili katulizane Pacha..
mm namfahamu sana kuliko wewe kwani hujui kuwa watu wa aina hii wanapenda sana sifa hata kama hajasifiwa atajishaua ili nae aonekane mm sitaki hapa nyumbani kwetu aje atamhariibia rangi mtoto wetu bure na hata akija atamshika kwani nitakaa naye chumbani kwangu hashikwi na mtu yeyote huyu baby View attachment 105048ona hapa anavyocheza mabreka wewe View attachment 105048
Sheria za nchi zinasemaje kuhusu haki ya mtoto Block City........nani kakuruhusu kuweka picha za baby boy hapa?
Aaaah wapi nisikie wivu wa nini na ninae ubavuni...!!We nae husikii wivu kwa majonjo ambayo sweetlady kamfanyia bwanako? Ama kweli penzi lako kwa Erickb52 ni la mashaka,halafu na wewe Nicas Mtei wewe.....subiri.
Cc: ndugu yangu nitonye
...umeanza mambo yako...mule mule kwa sana tuu!!We nae husikii wivu kwa majonjo ambayo sweetlady kamfanyia bwanako? Ama kweli penzi lako kwa Erickb52 ni la mashaka,halafu na wewe Nicas Mtei wewe.....subiri.
Cc: ndugu yangu nitonye
Hahahaha...haya,taratibuu lakin lisikukwame!teh teh...wakti wa keki ndio wakti mzuri atii...tena uhakikishe wankatia pande kubwa kubwa ili nipate nguvu ya kuimba uzuri wimbo wa besidei
All women are liars said Einstein!!!!
Sheria za nchi zinasemaje kuhusu haki ya mtoto Block City........nani kakuruhusu kuweka picha za baby boy hapa?
Dear sweetlady
Ninaomba kukushukuru sana kwa kunitakia heri katika siku yangu hii ya kuzaliwa...Pokea thanks zangu!
Sina la kusema...ila umenifanya nirudi kundini kwangu (Chitchat) coz ni miezi kadhaa sasa tangu niwe nje ya jukwaa.
Thanks for your love and care.
Nichukue fursa hii kuwashukuru wanaJF wote toka maujukwaa yote bila kuwasahau mods wote Invisible , Paw , Moderator na wenzao.
Niliwamiss sana wapendwa The Boss thanks sana, watu8 Baba V mimisa Paloma sosoliso PakaJimmy TANMO Heaven to earth babaa Arushaone shem shansarie na mumewe kiwatengu Arabela YNNAH Mamaa KOKUTONA Mamndenyi Bishanga (Miss you mkuu) Slave , Lisa snowhite Blaki Womani (Miss you sister) Filipo Mungi marejesho LiverpoolFC Mr Rocky (Tukutane Meatu tukagawane watoto wetu) ladyfurahia (Sister Upooo?) Nivea (Hajambo KakaKiiza ?) Mrembo by Nature (Miss you), Mentor (Wapi dada yako beibe nasty ?) Block City KakaKiiza (Thanks bro), Lady doctor (Miss kiwowowo) bila kumsahau Preta na mumewe mtu chake Madame B (LongTime mdada) Nicas Mtei(??) charminglady na Elizabeth Dominic (Nawamiss sana jamani) Vin Diesel ???.
Duh ni wengi sana....jamani nawashukuru wote na niliwakumbuka sana.
Dada zangu Fixed Point Roulette na AshaDii nawamiss sana.
Pia ninawashukuru sana wake zangu kwa mapenzi yao ya dhati kwangu....Asante sana Amyner (Miss you) Chocs (You are ma number 1), Kipipi (Mwaaaaah) Remmy (Thanks for caring).
sweetlady thanks a lot kwako na kwa mumeo nitonye ....!
Bishanga tuonane baadae.