Wife kaniroga naogopa kumwambia.

Wife kaniroga naogopa kumwambia.

Aisee no PM namba ya Mkeo anielekeze pa kuipata
 
halafu kaka na inawezekana pia wife wako wala hajakuroga, labda ni ibada zake tu zinafanya kazi...muhimu unatakiwa KUACHA KABISA kumcheat mkeo..PERIOD!
Jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.
 
Kama kakuroga na yeye mroge akienda kwa dume papuchi isifunguke.

au ikifunguka dume akitaka kuingiza akikaribia tu, pampucci inatoa short ya nguvu 33kv mpaka jamaa anapoteza fahamu kwa muda
 
Kama kuna anayejua hiyo dawa anipm.
cc MziziMkavu
amu masharti yake unayaweza?Moja ya masharti ni kuwa dawa hiyo inaingizwa Pemba(kwenye papuchi) na dushelele la mtaalamu (inapakwa kwenye dushelele then dushelele linazamishwa huko Gold mine),ukiwa tayari ni PM!
 
Last edited by a moderator:
unipe mawazo jinsi ya kumwambia ili na mimi niwe nacheza mechi za ugenini siku moja moja.

Hehehe....kwani mkuu kuna umuhimu wowote kucheza mechi za ugenini?
 
Pole bt hongera kwa shem, kajitahidi! Mwambie naye ajiloge mfanane!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.

DU!! hii sasa balaa je ikitokea umetengana naye au ame RIP ina maana haitasimama milele? Hiyo dawa ni komesha tuombe tu asiwape wanawake wengine.
 
Huyo mwanamke hakufai hata kidogo, chukua hatua mapema, upo hatarini.
 
Ukiweka utani kando kama ni kweli amekufanyia hivyo siyo vizuri kabisa. Mkeo atakuwa ni mshirikina. Kama uko bongo nenda hapo kkkt kimara korogwe pana maombi kila ijumaa jumamosi na jpili. Nenda ukafunguliwe na hilo pepo. Mtumishi atakueleza kila kitu na atakushauri pia. Pole lakini.
 
Aiseee meams Molembe mke wake aliliwa?sasa nikupm wewe ndo mtaalamu?
amu masharti yake unayaweza?Moja ya masharti ni kuwa dawa hiyo inaingizwa Pemba(kwenye papuchi) na dushelele la mtaalamu (inapakwa kwenye dushelele then dushelele linazamishwa huko Gold mine),ukiwa tayari ni PM!
 
Last edited by a moderator:
Aiseee means Molembe mke wake aliliwa?sasa nikupm wewe ndo mtaalamu?
amu masharti yake unayaweza?Moja ya masharti ni kuwa dawa hiyo inaingizwa Pemba(kwenye papuchi) na dushelele la mtaalamu (inapakwa kwenye dushelele then dushelele linazamishwa huko Gold mine),ukiwa tayari ni PM!
 
Last edited by a moderator:
Aiseee means Molembe mke wake aliliwa?sasa nikupm wewe ndo mtaalamu?
amu masharti yake unayaweza?Moja ya masharti ni kuwa dawa hiyo inaingizwa Pemba(kwenye papuchi) na dushelele la mtaalamu (inapakwa kwenye dushelele then dushelele linazamishwa huko Gold mine),ukiwa tayari ni PM!
 
Last edited by a moderator:
Aiseee means Molembe mke wake aliliwa?sasa nikupm wewe ndo mtaalamu?
amu sasa unaquote vibaya,sijasema kaliwa,nimesema dawa inaingizwa Pemba kupitia Unguja!Hata ile dawa ya kung'ang'aniana inawekwa huko pia,ukiona umeng'ang'ania jua mkeo kawekewa dawa!Hahahaaaa amu,unauliza ubishi Kigoma,inawezekana wako wataalamu wengi lakini mimi pia ni mtaalamu!Ukiwa tayari ni PM! MziziMkavu pia naamini dawa anayo ila sifahamu masharti yake!
 
Last edited by a moderator:
....pakaa pilipili ukiwa na ka kicheche,, itasimama tuu...
 
Kaka kuwa mwaminifu kwa ndoa yako

Mwambie ulitaka kumsaliti ukakutana na hali hiyo but hutarudia tena kumsaliti omba akufungue ni hatari ikakaa muda mrefu hata yeye anweza asiipate tena

unipe mawazo jinsi ya kumwambia ili na mimi niwe nacheza mechi za ugenini siku moja moja.
 
Back
Top Bottom