Hongera zako, kakuepushia mabalaa kibao,Jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.
ila hilo ka kumwuliza liko easy, mwambie kuna jamaa yako
kafanyiziwa na mkewe akienda nje ngoma haisimami, ila kwa
mkewe tu, ila cha kusikitisha huyo mkewe anagawa tunda kama
hana akili nzuri. Kama ni yeye utamsikia atakapo kuja juu.