Wife kaniroga naogopa kumwambia.

Wife kaniroga naogopa kumwambia.

Hahaha JF NEVER BORING!
Ila ni matumizi mazuri sana ya uganga, sema angeweza pata ya kufanya usitamani kabisa haki mimi ningenunua hata kwa milioni nikiwekee mwenyewe ili nisitamani mabinti wengine zaid ya gf wangu tu!
Sema tatizo ya dawa uliyopewa ww bado kutamani kupo! Hio sio fresh!
 
Jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.

haaa husband..nimekuwa speechless!
 
Tit for tat is a fair game,mwekee seal na yeye,
 
Jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.

Naww mroge usipokuwepo inaziba ukirudi access inakuwepo
 
Nyie mnao isifia hiyo dawa hebu niambieni siku huyo mwana mke wa jmaa akifa jamaa atabaki katika hali gani@annie
 
Unataka umwambie ili iweje???
Huoni kajali sana maisha yako, ya familia na watoto?
Hii pia inaonesha kabisa hujatulia. Maana kama ulimuita akaja ukakaa sawa kwanini utafute mwingine wakati mnaweza kupanga kukutana hasa yeye kuja??
Muheshimu sana huyo mwanamke japo ametumia njia mbadala ambayo muda fulani ukae mkiwa mmetulia umueleze kwa upendo mkubwa atakuelewa

ANGALIZO:

Uwe na uhakika kuwa kakuroga kweli.
Maana possible questions kama;
unauhakika? Thibitisha hayatakosa kwenye mazungumzo haya
 
Jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.

angekuwa hajakufanyizia ungeweza kumwambia.jikaze
 
Mkeo ana akili sana .Tena amekuroga kwa jina lipitalo majina note yaani Yesu.
 
jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.

aiseee
 
Back
Top Bottom