Wife kaniroga naogopa kumwambia.

Wife kaniroga naogopa kumwambia.

Jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.

Tambua Mkufu hausimami hata ulishwe pweza
 
hii imekaa vizuri kweli! kila abiria achunge mzigo wake. wife wako yuko makini.
 
usikute yy ndio bingwa wa kutoa lapulapu lake, halafu ww anakubania!!
 
Halafu kule ye anatoa. bas na yeye amloge mkewe isiingize

kama na yeye anampenda amloge tu issingie ... ila wasija kula tigo tu sababu kama mbele aipiti wanaweza amia uani ikawa noma zaidi
 
Unaona enhee anambania mwenzie wakat yy anagawa kama muuza karanga sio vzr aisee ndo maana nawachukia wanaweke

umeonae na me ndo maana nawachukia wanaume sana wanagawa rungu kama lamba lamba
 
Sasa hivi mapenzi ya kuaminiana haman tena dah kaazi kwelikweli.mi nadani suluhisho ni akufanye uwe mwaminifu na sio kukufunga na hizo dawa vipi dokta wake akifa au akibadilisha mawasiliano.
 
Sasa hivi mapenzi ya kuaminiana haman tena dah kaazi kwelikweli.mi nadani suluhisho ni akufanye uwe mwaminifu na sio kukufunga na hizo dawa vipi dokta wake akifa au akibadilisha mawasiliano.

si ndo hapo sasa, hapa ni talaka tu.
 
Dah! Kweli duniani kuna mambo, na yeye anapiga mechi za mchangani au??
 
Nikimwambia si atajua nilitaka kusaliti ndoa.

Tafadhali naomba number ya simu ya mkeo, nina shida naye sana sana tafadhali, maana mimi nikiipata hiyo naona nitaloga za ukoo mzima wa mume wangu, maana kila shemeji yangu, baba mkwe, baba wadogo wa mume wangu wana watoto wa nje, so inaweza ikafaa ukoo wa mume wangu.
 
Jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.
Amaefanya vizuri.
 
Ukute hata hajakuloga ila ni nguvu tu ya maombi ambayo mkeo anaomba kwa ajili yako...
 
Tafadhali naomba number ya simu ya mkeo, nina shida naye sana sana tafadhali, maana mimi nikiipata hiyo naona nitaloga za ukoo mzima wa mume wangu, maana kila shemeji yangu, baba mkwe, baba wadogo wa mume wangu wana watoto wa nje, so inaweza ikafaa ukoo wa mume wangu.

Aah huo ukoo noma....au ndo utaratibu wao wamejiwekea..
 
Back
Top Bottom