Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
Umenifurahisha eti aka-renew! Ili iwe na nguvu tena siyo?
Haswaaaa! Kitu kiendelee kugomea mechi za ugenini
Umenifurahisha eti aka-renew! Ili iwe na nguvu tena siyo?
kakusaidia ingawa unasema kakuroga , ni style nzuri hiyo , mimi mwenyewe mke wangu ana mambo kama hayo kila nikimtongoza mwanamke kama ana matatizo ya kimwili basi kitu hakifanyi kazi , siku 2 3 unasikia yule dada ana ngoma , ni msaada mzuri ingawa mimi si kwa wote , mpende mkeo mtadumuJamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.
Jamani mwenzenu nipo mbali
kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi,
huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa
nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho
naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu
kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza
nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa
nitaanzaje.