tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,671
- 19,186
Tumia jumper cable kuboost
Jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.
amu sasa unaquote vibaya,sijasema kaliwa,nimesema dawa inaingizwa Pemba kupitia Unguja!Hata ile dawa ya kung'ang'aniana inawekwa huko pia,ukiona umeng'ang'ania jua mkeo kawekewa dawa!Hahahaaaa amu,unauliza ubishi Kigoma,inawezekana wako wataalamu wengi lakini mimi pia ni mtaalamu!Ukiwa tayari ni PM! MziziMkavu pia naamini dawa anayo ila sifahamu masharti yake!
.... sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.
Huyo mwanamke hakufai hata kidogo, chukua hatua mapema, upo hatarini.
huwezi amini,hii stori menichekesha sana,is it atrue story au you just saying for fun
Jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.
Mwambie aongeze dawa ili ukitamani demu wa nje tu uanguke kifafa.
siri za ndaniJamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.
Wew ni mshamba tu, Unaona sifa kuelezea watu utumbo wako.Labda anataka uwe unafanywa sio wew kufanya,Tehtehteh
Tumia jumper cable kuboost
ha ha ha mtarimbo umelala doro...mkeo amakupenda