Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,179
- 19,784
ni kweli mkuuWenye channels uchwara Youtube wameupload kwenye channels zao na hio video now imewapa views nyingi ,maana baada ya kusikia kufungiwa watu wameenda kutizama.
ni kweli mkuuWenye channels uchwara Youtube wameupload kwenye channels zao na hio video now imewapa views nyingi ,maana baada ya kusikia kufungiwa watu wameenda kutizama.
Umesikiza kwa makini verse ya Bill Nas ? tena mule ndio kuna Matusi tele tena inaweza kuwa zaidi ya verse ya Mbosso.Mbona Billnas verse yake ipo Clean tu? Mboso ndiyo ameyetimba na kupaka wese kwenye mkono na kumuonyesha msichana wakido something.
Mshikee huyooAlitaka kunichukulia poa kumbe mi mwenyewe ni mtoto wa town
Mashairi ya huo wimbo ni noma
iWenye channels uchwara Youtube wameupload kwenye channels zao na hio video now imewapa views nyingi ,maana baada ya kusikia kufungiwa watu wameenda kutizama.
wnilikua sijawahi kutizama hiyo video
kwakweli haiko sawa hasa huyo mboso anavyo bonyeza hayo mafuta ya nazi
Whozu sio mfupi mzee wengi huzani mfupi mwili wake ulivyo jamaa toluMtu mfupi na dhalili kama Whozu si rahisi kupata akili!
Mbona wameondoka nayeMboso anaonekana kumbaka mdada na kumpaka mafuta ya Nazi ila wamemuacha
Aseeh...watu Wana ujinga mwingi sanaWenye channels uchwara Youtube wameupload kwenye channels zao na hio video now imewapa views nyingi ,maana baada ya kusikia kufungiwa watu wameenda kutizama.
Duh alikuwa anapaka wese ili amle 713 kweli dem aliyatimbaMbona Billnas verse yake ipo Clean tu? Mboso ndiyo ameyetimba na kupaka wese kwenye mkono na kumuonyesha msichana wakido something.
Waulize Simba fc.Ngoja na mimi niitafute hiyo video niiangalie Kisha nirudi kusakafia comment yangu.
Kumbe mmesema huo wimbo unaitwaje?
BASATA ni upuuz mtupu hamna kitu
Bado akina zuchu and alike na zile nyimbo zao za mahabamahaba . Bora yule mwamba wa kaskazini yeye na hip hop yake anaimba bei ya mkaa na nyimbo zake nyingi hazina mamodo waliokaa kaa nusu uchi mapaja na matiti yakionekana. Wengine wanaimba wanarembulia watu kimahaba hao nao waangaliwe video zao si nzuri
hao wote ni wahuni tu nyimbo zao zidhibitiwe. La sivyo wakaimbe kwa wahuni wenzao kwenye makasino. Bangi mbaya sanaUmesikiza kwa makini verse ya Bill Nas ? tena mule ndio kuna Matusi tele tena inaweza kuwa zaidi ya verse ya Mbosso.
Mifano kama sikosei ; "Amekutana na beki napiga miguu yote" hapa anamaanisha anapiga mbele na kinyume na maumbile nk.
Ulivyoandika haya maneno nayasoma kwa sauti ya mboso khan😁Mshikee huyoo
Hatoki mtu
Nimeupaka mkongo
Sijui nn nn
Yaan 🤣🤣