afungiwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BARD AI

    Zuchu afungiwa kufanya shughuli za Sanaa Zanzibar

    Baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni la Zanzibar, limemfungia msaanii wa kizazi kipya Zuhura Othman Masoud maarufu Zuchu kuendesha shughuli zote za sanaa visiwani Zanzibar. Mbali na kumfungia kuendesha shughuli za sanaa, pia imepiga marufuku redio na televisheni za Zanzibar kupiga nyimbo...
  2. Suley2019

    Zuchu afungiwa kujihusisha na shughuli za sanaa Zanzibar

    Baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni la Zanzibar, limemfungia msaanii wa kizazi kipya Zuhura Othman Masoud maarufu Zuchu kuendesha shughuli zote za sanaa visiwani Zanzibar. Mbali na kumfungia kuendesha shughuli za sanaa, pia imepiga marufuku redio na televisheni za Zanzibar kupiga nyimbo...
  3. Suley2019

    Pogba afungiwa miaka minne kutojihusisha na soka

    Paul Pogba ameadhibiwa kwa kufungiwa kutojihusisha na soka kwa miaka minne baada ya kuthibitika kutumia dawa za kusisimua misuli. Hii inamaanisha kuwa Kiungo huyu wa kati mwenye umri wa miaka 30 aliyechini ya Club ya Juventus, sasa hatoruhusiwa kucheza soka hadi mwaka 2028, mitandao imeripoti
  4. JanguKamaJangu

    Paul Pogba afungiwa kujihusisha na soka kwa mika minne kwa kutumia Dawa za kusisimua Misuli

    Paul Pogba 'afungiwa kujihusisha na soka kwa MIAKA MINNE kwa kutumia dawa za kusisimua misuli' - inaonekana kukatisha maisha ya nyota wa Juventus, ambaye wakati mmoja alikuwa mwanasoka ghali zaidi duniani katika klabu ya Man United. === === Former Manchester United midfielder Paul Pogba has...
  5. Papaa Mobimba

    Je, ndio mwisho wa Paul Pogba kisoka? Afungiwa kutojihusisha na soka kwa miaka 4 kutokana na matumizi ya dawa za kusisimua misuli

    Paul Pogba ambaye atatimiza umri wa miaka 31 mwezi Machi mwaka huu amefungiwa kutojihusisha na soka kwa miaka minne kutokana na matumizi ya dawa za kusisimua misuli. Mpaka adhabu yake iishe atakuwa ametimiza umri wa miaka 35, umri ambao wachezaji wengi wanatundika daluga. Mchezaji huyo mwenye...
  6. Cicadulina

    CAF yamfungia mechi 8 Kocha wa Taifa Stars, huku TFF ikimsimamisha. Aliishutumu Morocco kwa kupanga mechi

    Shirikisho la soka barani Afrika CAF limemfungia mechi nane Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania Adel Amrouche kwasababu ya shutuma zake alizozitoa dhidi ya Morocco Adhabu hiyo ulitolewa jana na Kamati ya Nidhamu ya CAF baada ya malalamiko yaliyowasilishwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu la...
  7. J

    Refa mwingine tena atiwa hatiani na kamati ya Ligi kwa kuipendelea Yanga, afungiwa kuchezesha soka

    Huu ni mfululizo wa maamuzi yenye dosari ya kuipendelea Yanga unaofanywa na marefa katika ligi yetu, Kamati ya ligi naona umeamua kutokucheka na kima, ili kuokoa ligi yetu kumezwa na rushwa kutoka kwa wawekezaji wahuni wanaotumia njaa za marefa na wachezaji wa timu ndogo
  8. BARD AI

    Whozu afungiwa miezi 6, Mbosso na Billnass wafungiwa miezi 3. Wote wapigwa faini Tsh. Mil. 3. Wimbo wa 'Ameyatimba' umewaponza

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemtaka Msanii Whozu kushusha mara moja video ya wimbo wake wa ‘Ameyatimba’ kwenye digital platform zote, pia limemtoza faini ya Tsh. milioni 3 na limemfungia kujishughulisha na kazi za sanaa kwa muda wa miezi 6 kuanzia leo November 04, 2023 kutokana na wimbo...
  9. Cicadulina

    Bondia Hassan Mwakinyo afungiwa kujihusisha na mchezo wa ngumi mwaka mmoja

    Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania (TPBRC) imemfungia Bondia Hassan Mwakinyo kujihusisha na mchezo wa ngumi nje na ndani ya Tanzania kwa muda wa mwaka mmoja na faini ya shilingi milioni 1 Hatua hiyo imekuja kutokana na kugomea pambano lake lililokuwa lifanyike septemba 29.2023, Dar es...
  10. JanguKamaJangu

    Clatous Chama wa Simba afungiwa kucheza mechi tatu

    Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) limetangaza kuchuku hatua hiyo pamoja na kumtoza faini ya Tsh. 500,000 kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa Ruvu Shooting, Abal Kassim Suleiman. Tukio hilo lilitokea wakati wachezaji hao hawagombei mpira, jambo ambalo llisababisha mwamuzi wa...
  11. Heavy Metal

    Chama afungiwa mechi tatu na faini ya Tsh. Laki 5

    Mchezaji wa Simba Clatous Chama amefungiwa mechi tatu na faini ya Tsh. 500,000/- kwa kumkanyaga kwa maksudi mchezaji wa Ruvu Shooting Abal Kassim Suleiman katika mchezo uliohusisha timu hizo kwenye uwanja wa Azam Chamazi Complex.
  12. OKW BOBAN SUNZU

    Refa wa Yanga afungiwa miezi sita

    Florentina Zabron nje miezi 6 Mwamuzi Florentina Zabron ameondoshwa kwenye ratiba za michezo ya Ligi Kuu kwa kipindi cha miezi 6 ijayo kutokana na kuionea Klabu ya Geita Gold ilipocheza na Yanga SC pale CCM Kirumba Mwanza. My Take Kumekuwa na tetesi za Utopolo kuwawezesha marefa wanaofungiwa...
  13. Sildenafil Citrate

    Morrison apigwa “Ban” ya Mechi 3

    Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania imemfungia michezo mitatu na kumtoza faini ya Shilingi 1,000,000 mchezaji wa timu ya Yanga SC, Bernald Morrison kwa kumkanyaga kwa makusudi mchezaii wa Azam, Lusajo Mwaikenda aliyekuwa ameanguka chini wakati wa harakati za...
Back
Top Bottom