Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 14,703
- 7,907
Kiranga kashindwa kuleta ithibati,yenye uthibitisho usiokuwa na ukinzani,kama mabaya yapo.
Ndiyo nilikuuliza ikiwa uthibitisho wako ni hadi mie nijibu post yako,je na uthibitisho wa uwepo wa mungu pia ni hadi mungu atakapo onekana?Nimetoa mfano kwenye posts nilizotuma na ukanijibu.
Wewe hujaweza kutoa uthibitisho kwamba Mungu yupo.
Hilo swali nilikujibu nikataja mpaka mirage na oasis jangwani.Ndiyo nilikuuliza ikiwa uthibitisho wako ni hadi mie nijibu post yako,je na uthibitisho wa uwepo wa mungu pia ni hadi mungu atakapo onekana?
Hapana,Kiranga kashindwa kuleta ithibati,yenye uthibitisho usiokuwa na ukinzani,kama mabaya yapo.
What is that spirit u a talking about...? do u mean he is invisible??? And why He and not she???...Well said simplemind...
mwambiage kiranga akuelewe.
God is spirit. God isn't a physical being kama akili ya kiranga itakavyo
Je unataka kutuambia majanga ni kazi ya shetani??? Manake mnasemaga mabaya yote ni ya shetani.... kama Mungu ameumba dunia, mwezi, je, vimbuka, matetemeko ni ya nani???Ikiwa wayaita majanga,una ushahidi gani kama hayo majanga yamesababishwa na nini mpaka yakawa asilia.
Dunia sio kijiji... au umetoa kwenye biblia na hili???Silaha za maangamizi zipo duniani miaka mingi sana,ni kutokana na dunia kutokuwa kijiji kwa mawasiiano ndio tulikuwa hatujui yanayotokea duniani.
Lakini hivi sasa kutokana na dunia kuwa kijiji ndio tunafahamu kila linalotokea duniani.
Ilo neno ww its obvious u speak or write to a second personal songular... vitu ambavyo binadamu anapaswa kuwa concern navyo... ni vile vinavyogusa milango yake mitano ya fahamu.... out of that u can not tell the existence of things which are out of focus... mfano maji ni hayana rangi, hayana harufu na hayana taste... ila unaweza kuyaona.(seeing is the justification of existence)... ushuzi hauna rangi, hauwezi kuuona, hauna ladha, ila una harufu ( harufu ni justification ya existence). Upepo hauna rangi, hauna harufu hauna taste ila unaweza kufeel kuvuma au kwa kusense kwa ngozi...(kuvuma na kusense kwa ngozi ni justification ya existence). I can sense ur existence... by voice, by seeing u. Unawezaje kuja hapa na kusema ozone layer inaexist?? Ndio maana people ar doing researchs to discover such things...behaviour etc. Sasa wew kaa alafu unaend up namwachia Mungu yeye ndio mpangaji wa yote, kumbe uchafu unaokuzunguka ndio unakuletea maradhi....Najua hauna uthibitisho wa kuwa wewe unaishi. Nakama unao ulete hapa.
Jambo baya au zuri halihitaji Mungu kulijua... if I beat u.. u will get hurt and u will respond back or stay out of my way.... mwizi anapokuja kukuibia u will get angry and even cry.. jambo zuri its all about smile, laugh and comfort... jambo baya its all about crying, anger or being unhappy.... u don't need God to recognise these...Naona Kiranga and the co wako wanapiga kelele tu hapa na ujuaji mwingi ila hawajibu maswali ya msingi.
Wako bize kusema ubaya wa majanga at the same time hawasemi kwa nini majanga ni jambo baya. Kama hakuna Mungu:
1. Kwa nini majanga yawe ni kitu kibaya?
2. Wanataka majibu logical ilhali kulingana na falsafa yao sisi ni wanyama tu na hivyo hakuna msingi wa kudai majibu logical
Kama hakuna Mungu basi majanga si jambo zuri wala baya. Kwa sababu bila Mungu hakuna zuri wala baya.
Bila uwepo wa Mungu ambaye ametuumba kwa mfano wake na kutupa utashi silazimiki kujibu logical kama ambavyo mbuzi na kondoo wa bibi wasivyohitaji logic.
Do u mean God yupo below 10km???Who created God? Siyo kiwango cha ubongo wako!
Kama unaweza kuona kilometres 10 tu
Kusikia umbali km 10 tu kunusa mita 500 tu
Unatakaje uwezo was kufikiria ambo haujawekewa kikomo.
Why hiyo limited capacity inatuambia Mungu alisema hivi Mungu alisema vile... mboya haya mambo above ur limited capacity??? Umeyajuaje haya???Hata computer zinaulizana mwanzo wa aliyezitengeneza.the question is immaterial.
Important our brains were made but with a limited capacity.
Hauwezi kukitolea kitu justification kinaexist bila kuhusisha ur five sense organs... otherwise ni masimulizi.Ndiyo nilikuuliza ikiwa uthibitisho wako ni hadi mie nijibu post yako,je na uthibitisho wa uwepo wa mungu pia ni hadi mungu atakapo onekana?
Unakumbuka tukaishia wapi baada ya wewe kunijibu?Hilo swali nilikujibu nikataja mpaka mirage na oasis jangwani.
Ulielewa?
Uliwayawaya tu bila kujibu maswali ya muhimu.Unakumbuka tukaishia wapi baada ya wewe kunijibu?
Mimi nikufafanulie maelezo ya maxime ? Kwa sababu nakujua vizuri upeo wako?
Wewe kiranga sio kama huamin Mungu yupo, Lakin Kuna kitu wakitaka, tafadhali njoo huku Zanzibar utakipata na utafurahi nafsi akoCan you prove God exists?
Unaweza kunithibitishia kuwa tuliishia kwa wewe kuniuliza maswali hayo?Uliwayawaya tu bila kujibu maswali ya muhimu.
Nayarudia.
1. Huwezi kuthibitisha Mungu yupo. Unaweza?
2. Huwezi kuondoa contradiction ya kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote on one hand, on the other hand kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani. Unaweza?
Unakumbuka kwamba hujaweza kuthibitisha Mungu yupo (1) wala kuondoa hiyo contradiction ya (2) ?
Usitokwe povu mkuu.Mimi nikufafanulie maelezo ya maxime ? Kwa sababu nakujua vizuri upeo wako?
Nakujua vizuri wewe ni mke wangu?
Mwanamme unaniambia mwanamme mwenzako nakujua vizuri wakati sijawahi hata kukutia machoni?
Unajua kwa wengine hiyo ni kashfa hapo? Tulikutana wapi mpaka mimi nikujue vizuri upeo wako wewe?
Upeo gani? Unaongelea upeo au kukosa upeo?