'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

Wewe unayeona vipimo ni kitu muhimu unaweza kumpima Mungu?
Kwa sasa nasubiri proof ya Truth table ambayo ndio msahafu wako. Kama hauwezi ku prove Msahafu wako mwenyewe, ya nini kurukia kwa Mungu? Mimi nilishasema siwezi kumpima Mungu, mbona huelewi?

Wewe sasa tuletee Proof za Truth Table ambayo ndio authority yako!
 
gasgas tunajitahidi kuwaonyesha hawa jamaa kuwa dini yao ya hakuna Mungu ni dini kama zingine. Wanaiamini tu bila ushahidi wowote. Tunawasaidia pia wengine wasiangukie katika mtego wa ukana Mungu!
Knock yourself out then bro

Last time I went on arguing with these guys
He kept saying there are contradictions, contradictions

Nikamwambia let's sit together tuone side zote mbili. Side inayosema hizo ni contradictions na side inayosema hizo siyo contradictions, ila with further analysis of scriptures zinazungumzia kitu kimoja sema it needs diligent and integration ya scriptures kuelewa

Unajua akanijibuje
"Nimeshawahi soma vyote hivyo,kuna contradictions, contradictions"

Nikamwambia, assume basi mimi nipo wrong, wewe upo right tukasome wote. May be nikagain something

"Hamna kuna contradictions contradictions. God can't have contradictions"

Huyu ndio mtu anayetumia logic jamani. Highest level of logic there is lol.
He exemplifies the behavior of a scientist very well.
And solves things scientifically
Based on one side of the argument


Baada ya hapo nikaamua niachane na kureason naye, it's a waste of time.
When judgement day comes the record will show i did what i could.
There are a million other people out there who need this message, itawaokoa

This guy doesn't need it.
He's got it all figured out
 
Kwa sasa nasubiri proof ya Truth table ambayo ndio msahafu wako. Kama hauwezi ku prove Msahafu wako mwenyewe, ya nini kurukia kwa Mungu? Mimi nilishasema siwezi kumpima Mungu, mbona huelewi?

Wewe sasa tuletee Proof za Truth Table ambayo ndio authority yako!
Huwezi kutaka proof kutoka kwangu tu wakatibwewe hata maswalibyangu hujibu.

Unaweza ju prove Mungu yupo? Unaweza kumpima Mungu?
 
Knock yourself out then bro

Last time I went on arguing with these guys
He kept saying there are contradictions, contradictions

Nikamwambia let's sit together tuone side zote mbili. Side inayosema hizo ni contradictions na side inayosema hizo siyo contradictions, ila with further analysis of scriptures zinazungumzia kitu kimoja sema it needs diligent and integration ya scriptures kuelewa

Unajua akanijibuje
"Nimeshawahi soma vyote hivyo,kuna contradictions, contradictions"

Nikamwambia, assume basi mimi nipo wrong, wewe upo right tukasome wote. May be nikagain something

"Hamna kuna contradictions contradictions. God can't have contradictions"

Huyu ndio mtu anayetumia logic jamani. Highest level of logic there is lol.
He exemplifies the behavior of a scientist very well.
And solves things scientifically
Based on one side of the argument


Baada ya hapo nikaamua niachane na kureason naye, it's a waste of time.
When judgement day comes the record will show i did what i could.
There are a million other people out there who need this message, itawaokoa

This guy doesn't need it.
He's got it all figured out
Unakataa Mungu wenu hana contradictions?
 
Mpaka sasa hakuna mtu aliyethibitisha kwamba Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na uoendo wote yupo.

Kwa sababu hayupo.
 
Unakataa Mungu wenu hana contradictions?
Brother
I did rest my case kwako wewe the other time

Ulishaniuliza this question a number of times and i gave you my answer
Na nilishakwambia kwambia kuwa if unataka kudiscuss this with me, there's a route to follow, we analyze both sides of the argument

You refused to go that road and now i have decided not to discuss these matters with you anymore unless you change your mind and decide to study these things with me
 
Brother
I did rest my case kwako wewe the other time

Ulishaniuliza this question a number of times and i gave you my answer
Na nilishakwambia kwambia kuwa if unataka kudiscuss this with me, there's a route to follow, we analyze both sides of the argument

You refused to go that road and now i have decided not to discuss these matters with you anymore unless you change your mind and decide to study these things with me
But you are discussing the matter with me right now!

You even mentioned my case in discussion with others.

Surely you do not expect me to let you eat your cake and still have it too now, do you?
 
gasgas
Noted. Kwa sasa ngoja tusubiri jamaa aje na proof ya msahafu wake uitwao truth table. Akishindwa kuthibitisha kile ambacho ni authority yake asiendelee kuuliza kuhusu Mungu!
 
gasgas
Noted. Kwa sasa ngoja tusubiri jamaa aje na proof ya msahafu wake uitwao truth table. Akishindwa kuthibitisha kile ambacho ni authority yake asiendelee kuuliza kuhusu Mungu!
Wewe njoo na proof ya kwamba Mungu yupo kwanza, huwezi kunitaka mimi nijibu maswali yako tu wakati wewe hujibu yangu.

Unasema vipimo ni kitu muhimu kwako.

Nimekuuliza unaweza kumpima Mungu?

Hujajibu.

Unaji contradict.

Huku unasema vipimo ni kitu muhimu halafu hapo hapo unakubali uwepo wa Mungu ambaye huwezi hata kumpima!
 
gasgas
Noted. Kwa sasa ngoja tusubiri jamaa aje na proof ya msahafu wake uitwao truth table. Akishindwa kuthibitisha kile ambacho ni authority yake asiendelee kuuliza kuhusu Mungu!
Ngoja tuone
To me he's a lost cause.
Arguing with him is an exercise in futility.
Plenty of sweat, and yet one soul still unsaved in the end
I will pray though, pray for him
Thats a stronger weapon
 
Uthibitisho wenye uthibati kwakonukoje? Viwango ganinvinatakiwa ili kusema huu ni uthibitisho wenye uthibati ili nijue kablabya kujupa uthibitusho?

Na wewe unaweza kutoa uthibutusho wenye uthibati huo huo kuthibitisha kwamba Mungu yupo?
Kwa hiyo huna uthibitisho wowote,wenye ithibati,usio kinzana.Kama huna,itakuwa na uthibitisho wako wa Mungu haupo,hauna uthibati usio na ukinzani,wenye kukinzana na upande unaokinzana nao.
 
Kwa hiyo huna uthibitisho wowote,wenye ithibati,usio kinzana.Kama huna,itakuwa na uthibitisho wako wa Mungu haupo,hauna uthibati usio na ukinzani,wenye kukinzana na upande unaokinzana nao.
Uthibitisho wenye ithibati ndio ukoje kwa misingi yako? Na unawezaje kuthibitisha uthibitisho huo ndio madhubuti kabisa?

Sitaki kukupa uthibitisho halafu ukaukataa.

Halafu, nikikuoa uthibitisho huo utaweza kunipa uthibitisho kama huo wa kuwepo kwa Mungu?

Unataka uthibitisho usiokinzana wakati wewe mwenyewe huwezi kuondoa ukinzano katika uwepo wa Mungu wako?

Unaweza kuondoa ukinzano huu kwanza katika dhana ya kuwepo kwa Mungu wako kabla ya kunitaka mimi nitoe uthibitisho usiokinzana?
 
Mpaka sasa hakuna mtu aliyethibitisha kwamba Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na uoendo wote yupo.

Kwa sababu hayupo.
Teh teh teh. Haujaweza kuthibitisha kweli wa Uwepo wa Truth Table. Kwa sababu haipo. Na kwa sababu Truth Table Haipo na ndio inayothibitisha uwepo wa logic kwako, Logic Haipo! Kwa sababu hakuna Logic hauwezi ku prove wala ku disprove chochote. Na kwa sababu hiyo hakuna sababu ya wewe kuuliza swali lolote linalohusu logic mpaka utakapothibitisha kuhusu Truth Table.

Case Closed!
 
First things first can he draw a truth table? Can he formulate one?
Usikute he is just throwing random terms he picked from an atheist website

Teh teh teh. Haujaweza kuthibitisha kweli wa Uwepo wa Truth Table. Kwa sababu haipo. Na kwa sababu Truth Table Haipo na ndio inayothibitisha uwepo wa logic kwako, Logic Haipo! Kwa sababu hakuna Logic hauwezi ku prove wala ku disprove chochote. Na kwa sababu hiyo hakuna sababu ya wewe kuuliza swali lolote linalohusu logic mpaka utakapothibitisha kuhusu Truth Table.

Case Closed!
 
Back
Top Bottom