'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

Wewe kiranga sio kama huamin Mungu yupo, Lakin Kuna kitu wakitaka, tafadhali njoo huku Zanzibar utakipata na utafurahi nafsi ako
Mie Zanzibar nilimpoteza mpenzi wangu laaziz, kwao palikuwa pale penye hoteli ya Serena sasa.

Ukiweza kunipatia yule mie safari ntafunga wallah na kuslim ntaslimu ila kwa magutu nimpate mtoto wa Kizanzibari.
 
Unaweza kunithibitishia kuwa tuliishia kwa wewe kuniuliza maswali hayo?
Hujui hata kusoma.

Wapi nimesema tulishia kwa mimi kukuuliza maswali hayo?

Ndiyo maana hatuelewani. Hujui kusoma.
 
Usitokwe povu mkuu.

We ndiye unaniambiaga upeo wangu mdogo au sijui ndiyo sina kabisa upeo. Sasa kwakuwa ndiyo unajua kuwa sina upeo basi ndiyo naomba unifafanulie maelezo ya maxime
Don't flatter yourself.Huna ubongo wa kuweza kunitoa povu.

"Unaniambiaga" is not a Swahili word.

Mjini umekuja na mwenge nini?

Learn to spell Swahili first before you step to me.
 
Mie Zanzibar nilimpoteza mpenzi wangu laaziz, kwao palikuwa pale penye hoteli ya Serena sasa.

Ukiweza kunipatia yule mie safari ntafunga wallah na kuslim ntaslimu ila kwa magutu nimpate mtoto wa Kizanzibari.
Utasilimu vipi wakati huamin Mungu, na usinitajie vinyaa hapa, wewe unaona Zanzibar Kuna wanawake wakuoa mtu mpumbavu kama wewe, labda uolewe
 
Kwahiyo unataka kusemaje?

Nataka kusema kama nilivyosema/ulivyosoma, kama hujaelewa changanua kitu gani ili nipate kufanunua ila kiufupi huwezi kuwa na uwezo wa kutatua jambo fulani ambalo Lina madhara kwa watu/jamii ukaiacha wakiangamia halafu ukasema au kudai unawapenda!!! Can you? Why The so called God allowed the devil to exist & misleading us? Lengo lake ni nini mkuu? Kaumba viumbe wake dhaifu halafu yeye huyo huyo atawatia kwenye moto wa milele!!! Kwann hakutuumba wakamilifu tangu mwanzo? Ili tumtumikie.
 
Mie Zanzibar nilimpoteza mpenzi wangu laaziz, kwao palikuwa pale penye hoteli ya Serena sasa.

Ukiweza kunipatia yule mie safari ntafunga wallah na kuslim ntaslimu ila kwa magutu nimpate mtoto wa Kizanzibari.
Duh....we mkaree!

Ndo yule uliyemnunuliaga Porsche kwa cash money ?

Halafu kwa nini kapotea JF siku hizi? Ulizidiwa kete nini ?
 
Ilikuwa naenda kuoa nikapata cold feet.
Dah...we jamaa bana.

Utaachaje kujimilikisha totoz kali namna ile

Usikute hata hukuitafuna wewe.

Sasa Porsche ukanunua kwa cash money na totoz ukaiachaia iende hivi hivi....gotdamnit.

Totoz kama ile kwangu haikatizi halafu ikasalimika.

Hata ingebidi kukausha ATM zote za NBC ningezikausha tu.
 
Sina haja sababu ya kuleta uthibitisho kwasababu hivyo ndivyo wanaoamini Mungu yupo ndio hao hao wanaamini na uwepo wa shetani!
Haaa qatu hawajiwlewi kama wanaenda au wanarudi.

Ukiwabana vizuri wanaweza kujisahau kwamba wao ndiobwanaotetea uwepo wa Mungu na wanaweza kukuambia "lete uthibitisho kwamba Mungu yupo".

Kuna mmoja hapa eti ameniomba nithibitishe kwamba mabaya yapo hapa duniani.

Eti na yeye ni Muislamu anayeamini Quran.

Sasa mimi namuuliza, wewe muislamu, unaamini Allah ni Mungu, unaamini Quran ni kitabu chake. Quran inasema duniani kuna maovu, halafu unataka mimi nikuthibitishie dunia hii ina maovu? Wakati kitabu chako mwenyewe cha dini kinasema dunia hii ina maovu?

Jamaa ni Muislamu lakinibkwa sababu alijuwa anaendekeza brownie points za JF, ilibidi aikane Quran.

Nikamuuliza mara kadhaa hapa, unaiamini Quran? Akawa hataki kujibu. Nikamwambia kwa Muislamu kikataa Quran kwa ajilibya ubishi wa JF ni jambo la ajabu.

Ukichunguza sana utaona hata hawa wanaosema wanaamini Mungu yupo wengi hawaamini kikweli.

Mtu anayeamini Uislamu kweli hawezi kuikana Quran kwa sababu ya ubishi wa JF. Au kuniambia nimthibitishie dunia ina maovu wakati Quran ishasema hivyo.

Sasa ninapoona hii habari ya wewe kuambiwa uthibitishe shetani yupo wakati wanaoamini Mungu vitabu vyao vinasema shetani yupo inafanana na ile ya mimi kuambiwa nithibitishe mabaya yapo na Muislamu.
 
Dah...we jamaa bana.

Utaachaje kujimilikisha totoz kali namna ile

Usikute hata hukuitafuna wewe.

Sasa Porsche ukanunua kwa cash money na totoz ukaiachaia iende hivi hivi....gotdamnit.

Totoz kama ile kwangu haikatizi halafu ikasalimika.

Hata ingebidi kukausha ATM zote za NBC ningezikausha tu.
Ujana kaka. Ujana.

Mipigo ya Harajuku hapo Roppongi kuna sehemu inaitwa "Minato". Jina lenyewe tu ushaambiwa "Minato".
Minato, Tokyo - Wikipedia

Unalishwa matunda yao yale yamekuzwa huku yakipigiwa muziki wa Mozart utasema aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga hajawahi kufika huku.

Hapo bado hujafikishwa ""Kumamoto" Kumamoto - Wikipedia

Basi nisimwage sana mtama kwenye kuku wengi.
 
Revelations 7:8 tels God is the alpha and omega. He had no beginning. Its hard for us to comprehend because we're humans. But God has no beginning. He does however have a name. Psalms 83:18. His name is Jehovah.

Hili swali "Who created God" huulizwa na wapagani na watu wasio na imani na mungu.

Mungu ni suala la imani.

Kuuliza "Who created God" ni kama kuuliza ,"Rangi ya bluu inanukiaje?"
 
Revelations 7:8 tels God is the alpha and omega. He had no beginning. Its hard for us to comprehend because we're humans. But God has no beginning. He does however have a name. Psalms 83:18. His name is Jehovah.

Hili swali "Who created God" huulizwa na wapagani na watu wasio na imani na mungu.

Mungu ni suala la imani.

Kuuliza "Who created God" ni kama kuuliza ,"Rangi ya bluu inanukiaje?"
Hatutaki mahubiri.

Tunataka uthibitisho.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Ujana kaka. Ujana.

Mipigo ya Harajuku hapo Roppongi kuna sehemu inaitwa "Minato". Jina lenyewe tu ushaambiwa "Minato".
Minato, Tokyo - Wikipedia

Unalishwa matunda yao yale yamekuzwa huku yakipigiwa muziki wa Mozart utasema aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga hajawahi kufika huku.

Hapo bado hujafikishwa ""Kumamoto" Kumamoto - Wikipedia

Basi nisimwage sana mtama kwenye kuku wengi.
Eh bana eeh...ina maana mazee ulifunga safari toka Gotham hadi Nippon?

Basi tena...iliyobaki ni historia tu.

Sasa usije tena fanya makosa yale yale kwa Valentina
 
Hatutaki mahubiri.

Tunataka uthibitisho.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Ukitaka kunya mavi ya tembo utapasuka msamba.

Wewe ni punje tu katika hii dunia.

Mungu alikuwa kabla yako na utakufa utamwacha.

Bora ujifanye mjinga ukaamini mungu yupo kuliko ujione mjuaji ukachagua kuamini mungu hayupo halafu siku ya kiyama unakutana na Sir God.

God is alpha & Omega.

Mungu hajaribiwi wala hazibitishwi.
 
Ukitaka kunya mavi ya tembo utapasuka msamba.

Wewe ni punje tu katika hii dunia.

Mungu alikuwa kabla yako na utakufa utamwacha.

Bora ujifanye mjinga ukaamini mungu yupo kuliko ujione mjuaji ukachagua kuamini mungu hayupo halafu siku ya kiyama unakutana na Sir God.

God is alpha & Omega.

Mungu hajaribiwi wala hazibitishwi.
Bado unahubiri.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Thibitiaha.
 
Bado unahubiri.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Thibitiaha.
Mkuu "MUNGU HAZIBITISHWI"

Utakufa utamuacha.Na siku ukija pata janga utakuja tu kumkumbuka Mungu.Na nina hakika utakuja kuandika Ushuhuda wako.

Ni dini gani wewe? Budha? Hindu? Free Mason? Christian Scientology au una abudu Jiwe?
 
Mkuu "MUNGU HAZIBITISHWI"

Utakufa utamuacha.Na siku ukija pata janga utakuja tu kumkumbuka Mungu.Na nina hakika utakuja kuandika Ushuhuda wako.

Ni dini gani wewe? Budha? Hindu? Free Mason? Christian Scintology au una abudu Jiwe?
Bado unahubiri.

Unaruhusiwa kuamininunachoamini, lakininukianza kuhubiri kuulizwa uthibitisho ni sawa.

Mungu hathibitishwi kwa sababu hayupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo kama hayupo.

Ndiyo maana huwezi kuthibitisha Mungu yupo.
 
Bado unahubiri.

Unaruhusiwa kuamininunachoamini, lakininukianza kuhubiri kuulizwa uthibitisho ni sawa.

Mungu hathibitishwi kwa sababu hayupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo kama hayupo.

Ndiyo maana huwezi kuthibitisha Mungu yupo.
Hakuna haja ya malumbano.Jawabu la hoja yako ni rahisi sana..Mimi na wewe tuna tofauti ya imani kuhusu Mungu.Wewe ni atheist mimi ni theist.

Atheism ni hali ya kutokuwa na imani na uwepo wa Mungu.Theism ni hali ya kuwa na imani ya uwepo wa Mungu.Kuna wanao amini Mungu mmoja kama waislam.Kuna wanaoamini Mungu watatu kama wakristu na kuna wanao amini Mungu jike na dume yaani miungu wawili.

Tafiti zinaonyesha atheists(wapagani) wanaweza kufika takribani asilimia nane .mpaka 12 ya watu wote duniani.Mahali kama China Atheists wanaweza kufika mpaka 60% ya wachina wote.

Nimalize kwa kusema kuwa Mungu ni imani.Mungu hazibitishwi.Kama unaona hakuna ushahidi wa uwepo wa Mungu basi wewe ni "Atheists" na mpo wengi tu duaniani.
 
Nilishasema zamani huyu kiranga huwa hatulii kwenye hoja. Anarukaruka sana kama bondia ulingoni kila anapoulizwa uthibitisho wa anavyoviamini au kukubali kama ndio mamlaka yake. Sasa leo anaulizwa athibitishe uwepo wa ubaya eti anajifanya kumshangaa muuliza swali kwa sababu eti alipaswa kutouliza hilo kwa kuwa lipo kwenye Quran anayoiamini!

Sasa kama huo ndio msingi wa majibu kiranga kimantiki, kwa nini anakosa kuelewa Quran hiyohiyo inapotaja habari za Allah?
 
Back
Top Bottom