Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,766
- 145,553
Mie Zanzibar nilimpoteza mpenzi wangu laaziz, kwao palikuwa pale penye hoteli ya Serena sasa.Wewe kiranga sio kama huamin Mungu yupo, Lakin Kuna kitu wakitaka, tafadhali njoo huku Zanzibar utakipata na utafurahi nafsi ako
Ukiweza kunipatia yule mie safari ntafunga wallah na kuslim ntaslimu ila kwa magutu nimpate mtoto wa Kizanzibari.
?