gasgas
Noted. Kwa sasa ngoja tusubiri jamaa aje na proof ya msahafu wake uitwao truth table. Akishindwa kuthibitisha kile ambacho ni authority yake asiendelee kuuliza kuhusu Mungu!
Hawezi kuja na proof hiyo unayotaka aje nayo, atageuza maneno na kuanza kutuchezea mchezo wa lugha ili atoke kilingeni, na hatimaye atakimbilia kuuliza maswali. Anapenda kuuliza, lakini hataki kuelewa, na mbaya zaidi anapoulizwa badala ya kujibu atakuja na uchambuzi wa maneno, muundo wa sentensi, n.k.
Huyu ni muumini wa dini ya Wakana Mungu ambaye bila shaka anatumika kupotosha wengine wenye uelewa mdogo. Kuna kusudi analotumikia si bure.