'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

Uwezo wa ufahamu wa binadamu una kikomo chake,ukifika wakati wa kufikia ugunduzi huo,watakuja kukuambia ,vinasababishwa na binadamu.Ikiwa ukame unasababishwa na kukata miti ovyo ,kwa nini matetemeko na vimbunga visisababishwe na binadamu anayetumia silaha Kali za maangamizi.Pembe zote za dunia kuna vita,kwa nini isiwe hizi silaha kali ndio zinazosababisha majanga.
Ukisema hivyo unamaanisha miaka 1000 iliyopita kulikuwa hakuna tetemeko maana hakukuwa na matumizi ya silaha Kali..
 
Who created God? Siyo kiwango cha ubongo wako!
Kama unaweza kuona kilometres 10 tu
Kusikia umbali km 10 tu kunusa mita 500 tu
Unatakaje uwezo was kufikiria ambo haujawekewa kikomo.
 
Hata computer zinaulizana mwanzo wa aliyezitengeneza.the question is immaterial.
Important our brains were made but with a limited capacity.
 
Haina tabu nitajifunza tu mkuu.

Lakini sasa hebu fafanua nilichokuomba ufafanuzi.
Mimi nimesema Mungu mwenye upendo wote, uweza wote na ujuzi wote hayupo.Kama Mungu hana moja ya sifa hizo hapo juu hawezi kuwa mkamilifu.
 
Ikiwa Mungu ndio muweza wa yote kwann amemuacha shetani atupotoshe ?! Kwann asingemuua/kumuangamiza ili watu wote wamuabudu yeye?! Na kwann alituumba wadhaifu na juu ya hilo akaruhusu shetani atupotoshe! ...Nitarudi.
 
Mimi nimesema Mungu mwenye upendo wote, uweza wote na ujuzi wote hayupo.Kama Mungu hana moja ya sifa hizo hapo juu hawezi kuwa mkamilifu.


Kwahiyo ukamilifu ni kuwa na moja ya hizo sifa? Au ukamilifu ni nini hasa?
 
Ikiwa Mungu ndio muweza wa yote kwann amemuacha shetani atupotoshe ?! Kwann asingemuua/kumuangamiza ili watu wote wamuabudu yeye?! Na kwann alituumba wadhaifu na juu ya hilo akaruhusu shetani atupotoshe! ...Nitarudi.
Kwahiyo unataka kusemaje?
 
Can you prove god exists?

Demons do not exist. There are mental health issues which people with neither the training nor the qualifications call demonic possession.

Next time you want a conversation with me reply to my post or tag me. Otherwise I may not see your post.
Wewe huamini kuwa Mungu yupo. Wala huamini kwamba mapepo yapo. Je, hao watu wanaopandisha mapepo wanaweza kutibiwa hospitali za wagonjwa wa akili? Je, hao wanaowaombea wakapona ambao unawaita "people with neither training nor qualifications" unawaelezeaje? Je, wanatumia ujuzi gani na wameupata wapi?
 
Ukisema hivyo unamaanisha miaka 1000 iliyopita kulikuwa hakuna tetemeko maana hakukuwa na matumizi ya silaha Kali..
Nafikiri unaelewa maana ya B.C.,na unaelewa miaka ilivyokuwa zamani ikihesabiwa vipi na sasa ikihesabiwa vipi.
 
Ikiwa Mungu ndio muweza wa yote kwann amemuacha shetani atupotoshe ?! Kwann asingemuua/kumuangamiza ili watu wote wamuabudu yeye?! Na kwann alituumba wadhaifu na juu ya hilo akaruhusu shetani atupotoshe! ...Nitarudi.
Lete uthibitisho wa kuwako shetani.
 
Kwa hiyo tukiulizwa nini chanzo cha majanga asilia? tuseme ni matumizi ya silaha?

Kwa nini Mungu amuumbe mtu akiwa na ujuzi wa kutengeneza silaha za maangamizi?
Toa ushahidi wa Mungu,kumfanya mtu atengeneze silaha za maangamizi,kutoka chanzo unachokiamini wewe.
 
Toa ushahidi wa Mungu,kumfanya mtu atengeneze sikaha za maangamizi,kutoka chanzo unachokiamini wewe.
Inaonekana matatizo ya ubongo yanakuathiri kila idara.Jifunze kuandika kwa ufasaha kwanza ndipo uulize swali.
 
SOMA MWANZO 3 ni fupi. ili uwe uelewe ninaongelea nini
Kama utakumbuka nimewahi kuleta uzi wa makosa 10 aliyotenda Mungu, kosa la kwanza na kubwa kabisa ni kumuumba Shetani.Kwa nini Mungu alimuumba Shetani ili hali alijua Shetani atakuja kuasi na kumpotosha Binadamu?

Kwa nini Mungu aliumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Kwa nini Mungu asingemwekea Binadamu immunity dhidi ya dhambi na dhidi ya mbinu za Shetani?
 
Back
Top Bottom