'Who created God' is an Illogical Question!

We do have so many things beyond our thinking capacity, things that our minds can't comprehend, logical and illogical staff are normally man illusion or the limitations of their thinking.

Just to mention few of them;
1. Utizame uumbaji wa chanzo ambacho ni mbegu! Tone la manii linageuka kua binadamu, punje ya nafaka inatoa nafaka, ulishajiuliza ni kitu gani huwa nyuma ya hiyo processing?

2. Kwenye tumbo la uzazi hakuna mtu anayeweza kukuambia for sure ni jinsi gani mtoto anapumua akiwa kazungukwa na maji.

HAKUNA anayeweza kukuambia for sure kitu gani kina triga kuanza kwa mapigo ya moyo.

3. Mearly 1/10 of the drivers understand how their vehicle operates yet they enjoy the driving.

Kabla hujamkosoa mwenye Digrii inabidi uwe nayo pia ili muweze kukaa meza moja.

Kabla ya kuanza kujishughulisha na nani kamuumba Mungu jibu kwanza basic thing ambazo ziko katika saraunding yako ukipata majibu unaweza kwenda katika hatua nyingine ya juu.

Sent from my itel W5001P using JamiiForums mobile app
 
Funny thing ni kwamba... issa give and take type thing.

Kwamba, "THE CREATOR IS CREATED BY ITS OWN CREATION"....hakuna cha what came first "the chicken or the egg"

Kama vile, GOD is man's creation, lakini at the same damn time man is GOD's creation...none came first or last. Ukosekano wa kimoja, ni ukosekano wa icho kingine...yani they go hand in hand.

Ndo maana, ukiulizwa wewe ni nani? Utaskia mtu anakuambia "Im a lawyer" mara "Im a father"...mara "Im a man"....na jibu lenyewe linarelate na context ya swali kwa wakati huo....kwa maana mtu huyo huwa vitu vingi at the same time. Yani identity...yake inatokana na vitu avifanyavyo. Hence the "person is a product of its own creation".....yani vitu anavyo vifanya vinamcreate yeye mwenyewe. Wakati hapo hapo yeye ndo anavicreate.

Ndo maana dunia mduara. 🤣🤣🤣

(Takes a sip ya safari kubwa moto alafu lights a cigarette)
 
"Who created God " is an illogical question,no doubt,but not to every one.
Nimeona simulizi za Creation ambapo dunia inajitengeneza yenyewe,bila Mungu kutajwa,halafu,much,much later,Mungu anatokea.
Ulimwengu inajirengeneza wenyewe. Inasimuliwa namna hii: a flash of light comes from one side( positive), another flash of light comes from another side(negative), they approach one another at a tremendous speed. When they collide,there is a big explosion and a universe is started.
 
What's the source of the first cause? Is this one an illogical question? The problem is when we don't know the answer we tend to believe. Let me put faith aside! I want to know the source of the first cause.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Who created God " is an illogical question,no doubt,but not to every one.
Nimeona simulizi za Creation ambapo dunia inajitengeneza yenyewe,bila Mungu kutajwa,halafu,much,much later,Mungu anatokea.
Ulimwengu inajirengeneza wenyewe. Inasimuliwa namna hii: a flash of light comes from one side( positive), another flash of light comes from another side(negative), they approach one another at a tremendous speed. When they collide,there is a big explosion and a universe is started.
Where the flashes of light came from? who created them?
 
Sasa kama unaweza kuamini kuwa mungu alikuwepo bila kuwa created, au bila chanzo.

Unashindwaje kuamini kama Ulimwengu hauna chanzo/Creator??

What is so special with the concept of 'God'?
 
We are agreed the origin of the universe is the Big Bing Bang. Question- do we need a God to set it all
up so a Big Bang can bang?
You are the one who agreed the BBANNG.
WHICH STARTED FROM NOTHING.
SO WHY DO YOU WANT US TO SHOW YOU THE PLANNER OF THE BIG BANG.

LOGICALLY THE BIG BANG
IF IT EXISTED AT ALL,
THEN IT LOOKS LIKE A VERY SMALL BUTTON CLICKED IN A VERY MASSIVE COMPUTERIZED SYSTEM,
By the system ouner .

MR KIRANGA AND HIS FRIEND ,
MR HAWKINS MUST NOTE
THIS:
GOD GREATED THE UNIVERSE,
WE ARE TRYING TO UNDERSTAND THE UNIVERSE,
BUT, BUT, BUT GOD THE CREATOR OF THE UNIVERSE,
IS, IS, IS NOT PART OF THE UNIVERSE.
BUT THE CREATOR OF THE UNIVERSE KNOWS EVERYTHING ABOUT THE UNIVERSE,
EVEN THE MODE
OF THE BIG BANG!!!
 
Habari zenu wana JF. Leo nataka niwaletee ukweli ambao wapinga mungu kama Kiranga huwa hawauelewi. Swali hilo ni hili.

Swali: Je, kama Mungu yupo, nani alimuumba Mungu? (Au ametokea wapi?)

Jibu: Mungu ana sifa ya kutokuwa na mwanzo wala mwisho, hivyo hilo swali halina mantiki. Pia tufanye kuwa Mungu ameumbwa, kwa hiyo logic ni kuwa aliyemuumba naye anatakiwa awe ameumbwa, na kuendelea. Hivyo ni wazi kuwa kutakuwa na miungu infinity kitu ambacho ni Illogical. Hivyo namaliza kwa kusema kuwa, Swali la Who Created God is an illogical question.
Hizi mada huletwa na watu wasiokua waislamu mpk kupelekea wao kumkufuru Muumba wao

Muislamu haswaa ambae anaijua imani yake vizuri hawezi kuzungumza pumba kma hizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom