'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

badala ya kuandika hivi ni bora ungeandika vishawishi dhabiti vya uwepo wa Mungu uwenda mtu akajua kwamba yupo
..Kuna haja Ya Hoja Kweli kuprove existance Ya Mungu,kila kitu kinachokuzunguka ni Prove Ya existance Yake!!
 
Kwa hiyo tetemeko la Kagera na Hurricane ya Haiti ni man made?
Uwezo wa ufahamu wa binadamu una kikomo chake,ukifika wakati wa kufikia ugunduzi huo,watakuja kukuambia ,vinasababishwa na binadamu.Ikiwa ukame unasababishwa na kukata miti ovyo ,kwa nini matetemeko na vimbunga visisababishwe na binadamu anayetumia silaha Kali za maangamizi.Pembe zote za dunia kuna vita,kwa nini isiwe hizi silaha kali ndio zinazosababisha majanga.
 
Ili Mungu awe Mkamilifu lazima awe na upendo, nilipotaka unipe ushahidi wa ukamilifu, wewe ulinipa mfano wa tajiri ambaye wote tulikubaliana kuwa hana upendo.Basi hata Mungu hawezi kuwa mkamilifu kama hana upendo.
Prove to me your existence
 
Uwezo wa ugahamu wa binadamu una kikomo chake,ukifika wakati wa kufikia ugunduzi huo,watakuja kukuambia ,vinasababishwa na binadamu.Ikiwa ukame unasababishwa na kukata miti ovyo ,kwa nini matetemeko na vimbunga visisababishwe na binadamu anayetumia silaha Kali za maangamizi.Pembe zote za dunia kuna vita,kwa nini isiwe hizi silaha kali ndio zinazosababisha majanga.
Matumizi ya silaa za maangamizi yalianza lini na majanga asilia yalianza lini?
 
Matumizi ya silaa za maangamizi yalianza lini na majanga asilia yalianza lini?
Silaha za maangamizi zipo duniani miaka mingi sana,ni kutokana na dunia kutokuwa kijiji kwa mawasiiano ndio tulikuwa hatujui yanayotokea duniani.
Lakini hivi sasa kutokana na dunia kuwa kijiji ndio tunafahamu kila linalotokea duniani.
 
Inakuwaje ambaye humjui sifa zake,useme hayupo,inatakiwa kwanza umjuwe,halafu ndio useme yupo au hayupo.
Nimekuambia utaje sifa za Mungu unayesema yupo? wacha kujizunguka mwenyewe.

Go straight to the point, taja sifa za Mungu unayesema yupo!
 
Silaha za maangamizi zipo duniani miaka mingi sana,ni kutokana na dunia kutokuwa kijiji kwa mawasiiano ndio tulikuwa hatujui yanayotokea duniani.
Lakini hivi sasa kutokana na dunia kuwa kijiji ndio tunafahamu kila linalotokea duniani.
Sasa hapa ndio nimehisi unaishi kwa kutumia illusion. Unaamini kuwa silaha za maangamizi zilianza kutumiaka zamani?

Ebu taja silaha moja kubwa ya maangamizi na useme mwaka iliyoundwa?
 
Hili ndilo swali la kishenzi kabisa kuliona JF Intelligence.Kwa hiyo anayebandika haya mabandiko unayo ya quote ni nani?
Najua hauna uthibitisho wa kuwa wewe unaishi. Nakama unao ulete hapa.
 
..Kuna haja Ya Hoja Kweli kuprove existance Ya Mungu,kila kitu kinachokuzunguka ni Prove Ya existance Yake!!
Hebu nithibitishie kuwa kila kitu kinachonizunguka ni prove ya existance yake
 
Kwanza unakubali kwamba unaamini contradiction?

Huwezi kutaka nikujibubwewe tu wakati wewe hutaki kunijibu mimi.
Habari za contradiction unazileta wewe ila mie siamini mungu mwenye contradiction.

Unasema nataka kujibiwa mie tu wakati hadi sasa hujanijibu bali umekazana kulazimisha tuongelee contradiction na kulikwepa swali langu.
 
Tajiri ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
Unataka tuangalie sifa zote za mungu katika kila tukio? maana unajua kuwa mungu ana sifa zaidi ya uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote.

Hapa tunazungumzia ukamilifu ila kama unataka tuzungumzie ukamilifu kwa kuhusisha sifa zote za mungu basi sawa.
 
Ili Mungu awe Mkamilifu lazima awe na upendo, nilipotaka unipe ushahidi wa ukamilifu, wewe ulinipa mfano wa tajiri ambaye wote tulikubaliana kuwa hana upendo.Basi hata Mungu hawezi kuwa mkamilifu kama hana upendo.
Duh! Kutapatapa kubaya sana.

Kuna uhusiano gani kati ya ukamilifu na upendo? Nielezee kidogo.
 
Back
Top Bottom