'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

We are agreed the origin of the universe is the Big Bing Bang. Question- do we need a God to set it all
up so a Big Bang can bang?
We surely don't. And so long as you don't believe in those stuff the peace of mind is even higher. Hakuna Mungu, hakuna shetani, hakuna uchawi ishi kwa amani. Hapa dunian Mbio zako ndizo zitakazo kuokoa.
 
Mwaka 1969 kikao cha kuzuia silaha za maangamizi,ikiwa kikao kilifanyika cha kwanza rasmi miaka50,iliyopita,je vikao visivyo rasmi vilifanyika miaka mingapi nyuma,kabla hata hatujaambiwa silaha za maangamizi zilianza kutengenezwa lini.
Sasa hapa ndio nimehisi unaishi kwa kutumia illusion. Unaamini kuwa silaha za maangamizi zilianza kutumiaka zamani?

Ebu taja silaha moja kubwa ya maangamizi na useme mwaka iliyoundwa?

Sasa hapa ndio nimehisi unaishi kwa kutumia illusion. Unaamini kuwa silaha za maangamizi zilianza kutumiaka zamani?

Ebu taja silaha moja kubwa ya maangamizi na useme mwaka iliyoundwa?

Sasa hapa ndio nimehisi unaishi kwa kutumia illusion. Unaamini kuwa silaha za maangamizi zilianza kutumiaka zamani?

Ebu taja silaha moja kubwa ya maangamizi na useme mwaka iliyoundwa?
 
Duh! Kutapatapa kubaya sana.

Kuna uhusiano gani kati ya ukamilifu na upendo? Nielezee kidogo.
Mungu ninayesema hayupo ni:

1.Mungu mwenye upendo wote.

2.Mungu mwenye uweza wote.

3.Mungu mwenye ujuzi wote.

Je huyo Mungu wa hivyo yupo?.....mambo yanayotokea humu duniani yanadhihirisha Mungu wa hivyo hayupo.
 
Mwaka 1969 kikao cha kuzuia silaha za maangamizi,ikiwa kikao kilifanyika cha kwanza rasmi miaka50,iliyopita,je vikao visivyo rasmi vilifanyika miaka mingapi nyuma,kabla hata hatujaambiwa silaha za maangamizi zilianza kutengenezwa lini.
Mimi sijakuambia unitajie tarehe ya kuweka vikako vya kuzuia silaha za maangamizi, mimi nakutaka utaje mwaka ambao ndio salaha ya kwanza ilipoundwa.

Mpaka hapa umeshadhihirisha kuwa ni mweupe kichwani kwenye somo la GEOGRAPHY.
 
Naona Kiranga and the co wako wanapiga kelele tu hapa na ujuaji mwingi ila hawajibu maswali ya msingi.

Wako bize kusema ubaya wa majanga at the same time hawasemi kwa nini majanga ni jambo baya. Kama hakuna Mungu:
1. Kwa nini majanga yawe ni kitu kibaya?
2. Wanataka majibu logical ilhali kulingana na falsafa yao sisi ni wanyama tu na hivyo hakuna msingi wa kudai majibu logical

Kama hakuna Mungu basi majanga si jambo zuri wala baya. Kwa sababu bila Mungu hakuna zuri wala baya.

Bila uwepo wa Mungu ambaye ametuumba kwa mfano wake na kutupa utashi silazimiki kujibu logical kama ambavyo mbuzi na kondoo wa bibi wasivyohitaji logic.
 
Sasa kama hayo majanga yanasababishwa na watu, kwa nini yaitwe 'NATURAL DISASTROUS'? huoni kuendelea kubishana na wewe ni kupoteza muda?
Hao wanaotengeneza silaha hizo ndio matukio hayo wanayaita majanga ya asilia,ili kupiteza lengo,unafikiri mwizi anapenda aitwe mwizi,spends aitwe kibaka,ili aonekane siye yeye aliyeiba.
 
Kwa mfano wako huo uumbaji ni gari, boss ni Mungu na dereva ni Mtu, si ndiyo?

Ebu niambi mtu(dereva) anachangia vipi kutokea tetemeko la nchi na milipuko ya kivolkano(ajali)?
uliza swali vizuri, Kwa nini kile ambacho kilikuwa kizuri kimekuwa kibaya? Nini kilitokea? Kwa nini sasa Mtu afe, Mimea ipukutike, Mimea iwe na miba, na taabu zote hizi. Maswali yako lazima yaende kwa mtiririko na Ili Tujue unaelewa ulikotoka au unavurumisha maswali hambayo hayana connectivity
 
Mfanonunafananisha visivyofanana.

Mwajiri hana uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote.

Mungubana uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote.

Mfano wako ungekuwa sawa kama ungeongelea muajiri wako, ambaye kaumba ulimwengu wote, mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote akupe hilo gari halafu upate ajali.

Tungeuliza imekuwaje muajiri huyo aumbe ulimwengu ambao ajali inawezekana kuwepo wakati ambapo alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao ajali ahiwezekani kufanyika?

Which is essentially the question I have asked about God.

This question is unanswered.
Wewe umekimbia jukumu lako, Jibu kule ulikoishia kwanza ndio uingi huku. Usiwe kama popcon kwenye sufuria la Moto, We need linear discusion
 
Mungu ninayesema hayupo ni:

1.Mungu mwenye upendo wote.

2.Mungu mwenye uweza wote.

3.Mungu mwenye ujuzi wote.

Je huyo Mungu wa hivyo yupo?.....mambo yanayotokea humu duniani yanadhihirisha Mungu wa hivyo hayupo.
Haujajibu swali nililokuuliza.
 
Mungu ninayesema hayupo ni:

1.Mungu mwenye upendo wote.

2.Mungu mwenye uweza wote.

3.Mungu mwenye ujuzi wote.

Je huyo Mungu wa hivyo yupo?.....mambo yanayotokea humu duniani yanadhihirisha Mungu wa hivyo hayupo.
Naona umerithi maswali ya Kiranga ambayo hata akijibiwa bado hataki majibu maana ataishiwa na maswali kama akikubali majibu alopewa
 
Hao wanaotengeneza silaha hizo ndio matukio hayo wanayaita majanga ya asilia,ili kupiteza lengo,unafikiri mwizi anapenda aitwe mwizi,spends aitwe kibaka,ili aonekane siye yeye aliyeiba.
Silaha za maangamizi zilianza kuundwa mwaka gani?
 
uliza swali vizuri, Kwa nini kile ambacho kilikuwa kizuri kimekuwa kibaya? Nini kilitokea? Kwa nini sasa Mtu afe, Mimea ipukutike, Mimea iwe na miba, na taabu zote hizi. Maswali yako lazima yaende kwa mtiririko na Ili Tujue unaelewa ulikotoka au unavurumisha maswali hambayo hayana connectivity
Kwa nini duniani kuna mabaya?

Kwa nini kuna dhambi?

Kwa nini kuna majanga asilia?...tuanzie hapo.
 
Mfanonunafananisha visivyofanana.

Mwajiri hana uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote.

Mungubana uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote.

Mfano wako ungekuwa sawa kama ungeongelea muajiri wako, ambaye kaumba ulimwengu wote, mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote akupe hilo gari halafu upate ajali.

Tungeuliza imekuwaje muajiri huyo aumbe ulimwengu ambao ajali inawezekana kuwepo wakati ambapo alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao ajali ahiwezekani kufanyika?

Which is essentially the question I have asked about God.

This question is unanswered.
Nimempa mfano mwepesi tu, lakini kitu kingine kwa kuuchunguza ulimwengu, Tunaona relationship kati ya Mungu na Planet Earth tu. Lakini Universe yenye diameter zaidi ya Centrions of Lightyears nalo ni kisio la chini mno. Na watafiti wamegundua tu kama 1/10000000000000000 ya universe. Unajuaje kama Mwajiri anawafanyakazi wengi na wao hawajavunja kanuni na wanaendelea na utaratibu kama dunia ilivyokuwa kabla ya kukiuka maagizo. Bibilia inatupa Summary ya historia ya planet earth as a minute member of complex universe.
 
Back
Top Bottom